Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Wagombea Urais William Ruto kutokea Umoja wa Vyama vya Kenya na Raila Odinga

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,800
11,961
Mheshimiwa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete akiwa Kiongozi ya Timu ya Uangalizi ya Uchaguzi wa Kenya, ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, kwa nyakati tofauti, amekutana na kufanya mazungumzo na Wagombea Urais William Ruto kutokea Umoja wa Vyama vya Kenya Kwanza, na Raila Odinga wa Umoja wa Vyama vya Azimio la Umoja. Mgombea wa wa Azimio la Umoja Raila Odinga, aliambatana pia na Mgombea wake Mwenza Martha Karua.
IMG-20220807-WA0031.jpg
IMG-20220807-WA0033.jpg
IMG-20220807-WA0035.jpg
IMG-20220807-WA0032.jpg
IMG-20220807-WA0034.jpg
IMG-20220807-WA0036.jpg
 
Odinga ni Kenyata project, akiwa Rais ni sawa sawa na muendelezo wa U Rais wa Kenyatta.
 
Mheshimiwa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete akiwa Kiongozi ya Timu ya Uangalizi ya Uchaguzi wa Kenya, ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, kwa nyakati tofauti, amekutana na kufanya mazungumzo na Wagombea Urais William Ruto kutokea Umoja wa Vyama vya Kenya Kwanza, na Raila Odinga wa Umoja wa Vyama vya Azimio la Umoja. Mgombea wa wa Azimio la Umoja Raila Odinga, aliambatana pia na Mgombea wake Mwenza Martha Karua.
View attachment 2317337View attachment 2317338View attachment 2317339View attachment 2317341View attachment 2317342View attachment 2317343
UCHAGUZI wa Tanzania Magufuli aliuvuruga Wastaafu wote walikuwa KANDO wote KIMYA
 
Hivi huyu, anaenda kuwafundisha nini Wakenya? Yeye na chama chake si ndiyo mabingwa ya kudhurumu kwenye uchaguzi!!!!?
Hao Wakenya, ndio wanaopaswa kuja kusimamia uchaguzi wetu!
Anaenda kuwafundisha wizi wa akili bila wananchi kupigana, mpongeze kwenye hilo kwamba ccm inaiba wazi wazi na bado wananchi wanakubali na maisha mengine yanaenda. "Ona jema katika ubaya" by Amos mwijonge
 
Mheshimiwa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete akiwa Kiongozi ya Timu ya Uangalizi ya Uchaguzi wa Kenya, ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, kwa nyakati tofauti, amekutana na kufanya mazungumzo na Wagombea Urais William Ruto kutokea Umoja wa Vyama vya Kenya Kwanza, na Raila Odinga wa Umoja wa Vyama vya Azimio la Umoja. Mgombea wa wa Azimio la Umoja Raila Odinga, aliambatana pia na Mgombea wake Mwenza Martha Karua.
View attachment 2317337View attachment 2317338View attachment 2317339View attachment 2317341View attachment 2317342View attachment 2317343
Wanaharibu uchaguzi wa Bongo halafu wanaenda kusimamia uchaguzi wa wenzao !!!!?
 
Back
Top Bottom