Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,989
William Ruto (UDA)
50.49%
7,176,121 Votes
Raila Odinga (AZIMIO)
48.85%
6,942,930 Votes
George Wajackoyah (RPK)
0.44%
61,969 Votes
David Waihiga (AGANO)
0.23%
31,987 Votes
==============
Wakati Wakenya wakisubiri majibu ya Uchaguzi wa Urais, upande wa timu ya Raila Odinga wamedai kuwa matokeo yalidukuliwa.
Saitabao Ole Kanchory ambaye ni Mkuu wa Kampeni wa Odinga amesema:
“Tuna ripoti za Kiintelijensia kuwa mfumo wao ulidukuliwa na kwamba baadhi ya maafisa wa IEBC walitenda makosa ya uchaguzi na baadhi yao walipaswa kukamatwa lakini hawakukamatwa.”
==================
Presidential candidates George Wajackoyah of Roots Party and David Mwaure of Agano Party arrive at Bomas.
Matokeo ya kura za Urais yanatarajiwa kutangazwa muda wowote kuanzia leo Agosti 15, 2022
Kenya: Tume yafafanua matokeo ya kura kupishana, sababu takwimu si rasmi
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imetoa ruhusa kwa Vyombo vya Habari vya #Kenya kutoa takwimu zao kulingana na vyanzo vyao lakini matokeo rasmi ni yale ambayo yatatangazwa na IEBC baada ya zoezi la kuhesabu kura kukamilika.
Wafuatiliaji wengi wamepatwa na ukakasi wa kuamini matokeo yapi ni sahihi, lakini hiyo ni kwa kuwa hii ni mara ya kwanza kwa IEBC kutoa ruhusa kwa Vyombo vya Habari kutoa ripoti ya takwimu wanazokusanya katika vituo vya kura.
=================
MCHEKESHAJI ASHINDA UBUNGE
Msanii wa kuchekesha Felix Odiwor "Jalang’o" ambaye pia alikuwa mtangazaji wa redio ameshinda nafasi ya Ubunge wa Lang’ata kupitia tiketi ya ODM katika Uchaguzi Mkuu Nchini Kenya.
Jalang’o amepata kura 38,948 dhidi ya Nixon Korir aliyekuwa alitetea nafasi ya Ubunge aliyepata kura 36,836 kupitia tiketi ya UDA.
Matokeo ya Urais yanayoendelea hadi kufikia Saa 11:00 Jioni, Agosti 11, 2022 kwa mujibu wa Kituo cha Citizen Digital:
Matokeo ya Urais yanayoendelea hadi kufikia Saa 9:22 Alasiri, Agosti 11, 2022 kwa mujibu wa Kituo cha Citizen Digital:
Matokeo ya Urais yanayoendelea hadi kufikia Saa 8:17 Mchana, Agosti 11, 2022 kwa mujibu wa Kituo cha Citizen Digital:
Matokeo ya Urais yanayoendelea hadi kufikia Saa 4:36 Asubuhi, Agosti 11, 2022 kwa mujibu wa Kituo cha Citizen Digital:
Matokeo ya Urais yanayoendelea hadi kufikia Saa 4:33 Asubuhi, Agosti 11, 2022 kwa mujibu wa Kituo cha Nation Kenya:
Matokeo ya Urais yanayoendelea hadi kufikia Saa 4:02 Asubuhi, Agosti 11, 2022 kwa mujibu wa Kituo cha Nation Kenya:
Matokeo ya Urais yanayoendelea hadi kufikia Saa 3:49 Asubuhi, Agosti 11, 2022 kwa mujibu wa Kituo cha Citizen Digital:
50.49%
7,176,121 Votes
Raila Odinga (AZIMIO)
48.85%
6,942,930 Votes
George Wajackoyah (RPK)
0.44%
61,969 Votes
David Waihiga (AGANO)
0.23%
31,987 Votes
==============
Wakati Wakenya wakisubiri majibu ya Uchaguzi wa Urais, upande wa timu ya Raila Odinga wamedai kuwa matokeo yalidukuliwa.
Saitabao Ole Kanchory ambaye ni Mkuu wa Kampeni wa Odinga amesema:
“Tuna ripoti za Kiintelijensia kuwa mfumo wao ulidukuliwa na kwamba baadhi ya maafisa wa IEBC walitenda makosa ya uchaguzi na baadhi yao walipaswa kukamatwa lakini hawakukamatwa.”
==================
Presidential candidates George Wajackoyah of Roots Party and David Mwaure of Agano Party arrive at Bomas.
Matokeo ya kura za Urais yanatarajiwa kutangazwa muda wowote kuanzia leo Agosti 15, 2022
Kenya: Tume yafafanua matokeo ya kura kupishana, sababu takwimu si rasmi
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imetoa ruhusa kwa Vyombo vya Habari vya #Kenya kutoa takwimu zao kulingana na vyanzo vyao lakini matokeo rasmi ni yale ambayo yatatangazwa na IEBC baada ya zoezi la kuhesabu kura kukamilika.
Wafuatiliaji wengi wamepatwa na ukakasi wa kuamini matokeo yapi ni sahihi, lakini hiyo ni kwa kuwa hii ni mara ya kwanza kwa IEBC kutoa ruhusa kwa Vyombo vya Habari kutoa ripoti ya takwimu wanazokusanya katika vituo vya kura.
=================
MCHEKESHAJI ASHINDA UBUNGE
Msanii wa kuchekesha Felix Odiwor "Jalang’o" ambaye pia alikuwa mtangazaji wa redio ameshinda nafasi ya Ubunge wa Lang’ata kupitia tiketi ya ODM katika Uchaguzi Mkuu Nchini Kenya.
Jalang’o amepata kura 38,948 dhidi ya Nixon Korir aliyekuwa alitetea nafasi ya Ubunge aliyepata kura 36,836 kupitia tiketi ya UDA.
Matokeo ya Urais yanayoendelea hadi kufikia Saa 11:00 Jioni, Agosti 11, 2022 kwa mujibu wa Kituo cha Citizen Digital:
Matokeo ya Urais yanayoendelea hadi kufikia Saa 9:22 Alasiri, Agosti 11, 2022 kwa mujibu wa Kituo cha Citizen Digital:
Matokeo ya Urais yanayoendelea hadi kufikia Saa 8:17 Mchana, Agosti 11, 2022 kwa mujibu wa Kituo cha Citizen Digital:
Matokeo ya Urais yanayoendelea hadi kufikia Saa 4:36 Asubuhi, Agosti 11, 2022 kwa mujibu wa Kituo cha Citizen Digital:
Matokeo ya Urais yanayoendelea hadi kufikia Saa 4:33 Asubuhi, Agosti 11, 2022 kwa mujibu wa Kituo cha Nation Kenya:
Matokeo ya Urais yanayoendelea hadi kufikia Saa 4:02 Asubuhi, Agosti 11, 2022 kwa mujibu wa Kituo cha Nation Kenya:
Matokeo ya Urais yanayoendelea hadi kufikia Saa 3:49 Asubuhi, Agosti 11, 2022 kwa mujibu wa Kituo cha Citizen Digital: