Nilichojifunza Uchaguzi wa Kenya: Tuwape nafasi Matajiri na Watafutaji

Lord denning

JF-Expert Member
Jun 3, 2015
13,226
26,047
Siasa za Kenya sizitofautishi sana na siasa za Marekani! Wao wanaamini sana katika kumpa nafasi mtu anayeonesha ana uwezo wa kutafuta pesa na kupambana kupata pesa! Ndo mana inawezekana hata kiuchumi wako vizuri kuzidi sisi ingawa na sie tunajikongoja kuwafikia

Wakenya sio waumini sana wa ngonjera za sijui nichagueni mimi sio mwizi, mimi sio fisadi kwa sababu wanajua watu wanaopenda kujivika hizo sifa sio watu wenye akili za kimaendeleo na hawawezi kuhimiza vizuri maendeleo yao!

Kutoka kwa Jomo Kenyata mpaka kwa Daniel Arap Moi, kuja kwa Kibaki mpaka kwa Uhuru Kenyata na sasa naona Hustler William Ruto anaenda kubeba ndoo.

Wote ni watu wenye ukwasi ambao wako proud na ukwasi wao na wanatumia ukwasi wao kama njia ya ku motivate watu wengine kuwa na ukwasi.

Tanzania tujifunze hili kutoka Kenya mambo ya mtu kujisifia umaskini na kujiona ndo ticket k ya kuwa kiongozi tuachane nayo.

Kuanzia saivi tuanze kuangalia maisha ya mtu kama anajiweza kiuchumi vizuri, ana mali anazoziendesha vizuri, ana nyumba nzuri na ya kisasa na ana biashara nzuri ambayo ana imanage vizuri kama kigezo cha kumpa mtu uongozi.

Suala la kuteua sijui mtu hohehae asiye na mbele wala nyuma huku tukitegemea apandishe uchumi wetu liwe mwisho kuanzia leo.
 
Hata huku ifike mahala kuanzia ngazi ya Ubunge, either uwe na account inasoma 5bil ambazo umezipata nje ya siasa au uwe na elimu kuanzia degree na uwe umeshafanya kazi kwa hata miaka 10 kwenye level za utendaji na uongozi.
Naunga mkono hoja

Kuna watu ukiwasikiliza hadi unajiuliza huyu amekuwaje waziri au mbunge? Yaani ni empty head kabisa alafu kazi kubwa wanaoifanya ni kuwapiga fitna waliofanikiwa kwa kuwaita mafisadi sijui wezi
 
Naunga mkono hoja

Kuna watu ukiwasikiliza hadi unajiuliza huyu amekuwaje waziri au mbunge? Yaani ni empty head kabisa alafu kazi kubwa wanaoifanya ni kuwapiga fitna waliofanikiwa kwa kuwaita mafisadi sijui wezi
Napendekeza waziri wa sekta fulani angalau awe na degree au masters inayohusiana na sekta anayoisimamia!
 
Siasa za Kenya sizitofautishi sana na siasa za Marekani! Wao wanaamini sana katika kumpa nafasi mtu anayeonesha ana uwezo wa kutafuta pesa na kupambana kupata pesa! Ndo mana inawezekana hata kiuchumi wako vizuri kuzidi sisi ingawa na sie tunajikongoja kuwafikia

Wakenya sio waumini sana wa ngonjera za sijui nichagueni mimi sio mwizi, mimi sio fisadi kwa sababu wanajua watu wanaopenda kujivika hizo sifa sio watu wenye akili za kimaendeleo na hawawezi kuhimiza vizuri maendeleo yao!

Kutoka kwa Jomo Kenyata mpaka kwa Daniel Arap Moi, kuja kwa Kibaki mpaka kwa Uhuru Kenyata na sasa naona Hustler William Ruto anaenda kubeba ndoo.

Wote ni watu wenye ukwasi ambao wako proud na ukwasi wao na wanatumia ukwasi wao kama njia ya ku motivate watu wengine kuwa na ukwasi.

Tanzania tujifunze hili kutoka Kenya mambo ya mtu kujisifia umaskini na kujiona ndo ticket k ya kuwa kiongozi tuachane nayo.

Kuanzia saivi tuanze kuangalia maisha ya mtu kama anajiweza kiuchumi vizuri, ana mali anazoziendesha vizuri, ana nyumba nzuri na ya kisasa na ana biashara nzuri ambayo ana imanage vizuri kama kigezo cha kumpa mtu uongozi.

Suala la kuteua sijui mtu hohehae asiye na mbele wala nyuma huku tukitegemea apandishe uchumi wetu liwe mwisho kuanzia leo.

Siasa za Kenya sizitofautishi sana na siasa za Marekani! Wao wanaamini sana katika kumpa nafasi mtu anayeonesha ana uwezo wa kutafuta pesa na kupambana kupata pesa! Ndo mana inawezekana hata kiuchumi wako vizuri kuzidi sisi ingawa na sie tunajikongoja kuwafikia

Wakenya sio waumini sana wa ngonjera za sijui nichagueni mimi sio mwizi, mimi sio fisadi kwa sababu wanajua watu wanaopenda kujivika hizo sifa sio watu wenye akili za kimaendeleo na hawawezi kuhimiza vizuri maendeleo yao!

Kutoka kwa Jomo Kenyata mpaka kwa Daniel Arap Moi, kuja kwa Kibaki mpaka kwa Uhuru Kenyata na sasa naona Hustler William Ruto anaenda kubeba ndoo.

Wote ni watu wenye ukwasi ambao wako proud na ukwasi wao na wanatumia ukwasi wao kama njia ya ku motivate watu wengine kuwa na ukwasi.

Tanzania tujifunze hili kutoka Kenya mambo ya mtu kujisifia umaskini na kujiona ndo ticket k ya kuwa kiongozi tuachane nayo.

Kuanzia saivi tuanze kuangalia maisha ya mtu kama anajiweza kiuchumi vizuri, ana mali anazoziendesha vizuri, ana nyumba nzuri na ya kisasa na ana biashara nzuri ambayo ana imanage vizuri kama kigezo cha kumpa mtu uongozi.

Suala la kuteua sijui mtu hohehae asiye na mbele wala nyuma huku tukitegemea apandishe uchumi wetu liwe mwisho kuanzia leo.
Kenya ni Mabepari Hilo Haina ubishi.

Hata Marekani na ulaya ni Mabepari, hawana tatizo na TAJIRI kugombea ikiwa tu, atakuwa Hana DOA ktk utajiri wake, awe clean kulipa MAPATO na KODI.

Huku kwetu hatujui ikiwa tu WAJAMAA au Mabepari.

Matajiri wa huku ni WAKWEPA Kodi, wanatumia pesa walizopata kupitia kukwepa Kodi kununua wapiga kura.

Hivyo ktk muktadha huo lazima matajiri wachukiwe sababu utajiri wao Si halali, mfano wanaotupandishia Bei za mafuta ktk biashara zao za mafuta ndo wabunge wetu na mawaziri.

Ni kheri achaguliwe msomi, asiye na kitu awe kiongozi, KATIBA mpya na Sheria nzuri zimdhibiti.

Ameeeen
 
Napendekeza waziri wa sekta fulani angalau awe na degree au masters inayohusiana na sekta anayoisimamia!

Ongezea na uzoefu kiutendaji kwa muda usiopungua 5yrs, maana wengi unakuta hawana hata exposure, unawakuta wanaongea theory tu na wamejaza theory tu kwenye vichwa vyao.
 
Kenya ni Mabepari Iko wazi na Kila mtu analijua Hilo.

Kenya ni Mabepari Hilo Haina ubishi.

Hata Marekani na ulaya ni Mabepari, hawana tatizo na TAJIRI kugombea ikiwa tu, atakuwa Hana DOA ktk utajiri wake, awe clean kulipa MAPATO na KODI.

Huku kwetu hatujui ikiwa tu WAJAMAA au Mabepari.

Matajiri wa huku ni WAKWEPA Kodi, wanatumia pesa walizopata kupitia kukwapa Kodi kununua wapiga kura.

Hivyo ktk muktadha huo lazima matajiri wachukiwe sababu utajiri wao Si halali, mfano wanaotupandishia Bei za mafuta ktk biashara zao za mafuta ndo wabunge wetu na mawaziri.

Ni kheri achaguliwe msomi, asiye na kitu awe kiongozi, KATIBA mpya na Sheria nzuri zimdhibiti.

Ameeeen
Msomi asiye na kitu akichaguliwa atakusaidia nini?

Mtu ambaye hana akili na utafutaji na maendeleo atakusaidia nini wewe? Ndo mana kila siku mnahangaika kutotendewa haki na tra na brela maana mtu anakuwa waziri wa fedha na hata hajawai kufanya biashara au hana hata biashara inayolipa kodi ili ajue kwa namna gani anatakiwa kuboresha mazingira ya wafanyabiashara
 
Back
Top Bottom