kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Waziri Mayai Wa Maradhi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Requests World Bank Funds To Cushion Iran War Shock

    Kenya has requested rapid financial support from the World Bank to help it manage the shocks from the war in Iran, its central bank governor ‌told Reuters on Thursday. Like other nations that are heavily reliant on energy imports, the East African country is scrambling to stave off shortages of...
  2. Waziri Mayai Wa Maradhi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chinese National Jailed In Kenya For Attempted Smuggling Of 2,200 Ants

    A Kenyan court on Wednesday mandated that a Chinese individual pay a fine of 1 million shillings ($7,746) and sentenced him to 12 months in prison for attempting to smuggle live ants out of the country. The magistrate in the case stated that a severe penalty was necessary to deter others...
  3. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Fuel Prices Drop , Relief ama Serikali PR Tu?

    Wakenya wamepata good news kidogo baada ya Energy and Petroleum Regulatory Authority (EPRA) kutangaza kushuka kwa bei ya mafuta kuanzia April 16 hadi May 14, 2026. Kulingana na taarifa, bei ya Super Petrol imeshuka kwa KSh 9.37 per litre na Diesel kwa KSh 10.21 per litre ndani ya Nairobi. Hii...
  4. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Meli yenye Bendera ya Kenya yazuiliwa Tanzania, KMA yathibitisha uchunguzi unaendelea

    Mamlaka ya Usafiri wa Majini Kenya, Kenya Maritime Authority (KMA), imethibitisha kuwa meli yenye bendera ya Kenya imezuiliwa nchini Tanzania, huku uchunguzi ukianzishwa kubaini chanzo cha tukio hilo. Katika taarifa rasmi, KMA ilisema meli hiyo, inayojulikana kama M/V Sea Mfalme, inashikiliwa...
  5. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Earn in Dollars, Pay in Kenya? New KRA Ruling Sparks Debate

    A landmark court ruling has opened the door for the Kenya Revenue Authority (KRA) to tax foreign earnings made by Kenyan remote workers—triggering debate among freelancers, digital professionals, and the wider public. The ruling affirms that income earned by Kenyan residents, regardless of where...
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chama cha Wamiliki wa Matatu chaongeza nauli kutokana na gharama za uendeshaji kupanda

    Chama cha Wamiliki wa Matatu (MOA) kimetangaza rasmi ongezeko la nauli nchi nzima, kikieleza kuwa gharama za uendeshaji zimepanda kwa kiasi kikubwa ambacho hakiwezi kuhimiliwa na wasafirishaji pekee. Rais wa chama hicho, Albert Karakacha, amebainisha kuwa dizeli ndiyo nishati kuu inayotumiwa na...
  7. Waziri Mayai Wa Maradhi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania A Rise In Active Taxpayers In Kenya

    The number of engaged taxpayers in Kenya has surged to an all-time high, indicating a consistent expansion of the country's tax base over the past seven years. As per the most recent statistics from the Kenya Revenue Authority, there are now an estimated 9.87 million active taxpayers...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Matonya aendelea kusota rumande Kenya, amlilia Diamond Platnum amsaidie

    Wakati Msanii mkongwe wa Bongo Flava kutoka nchini Tanzania, Sefu Shabani, maarufu kama Matonya akiendelea kushikiliwa na mkono wa sheria huko nchini Kenya, ndugu wa karibu anayefahamika kama Omary ambaye yuko nchini Kenya ameelezea kukwama kwa mawasiliano na kuomba msaada wa haraka kutoka kwa...
  9. Waziri Mayai Wa Maradhi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bongo Fleva Sensation And Vaileti Hit Maker Matonya Charged With Rape In Kenya

    Tanzanian musician Sefu Shabani, better known by his stage name Matonya, has been detained in Kenya after being accused of rape. According to a statement released on X by Kenya's Director of Public Prosecutions (DPP), the 43-year-old disputed the charge when he appeared in court in the seaside...
  10. Waziri Mayai Wa Maradhi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Four Suspects Arrested Over Murder Of Scottish Businessman In Kenya

    The murder of a Scottish businessman whose body was discovered in a sack in Kenya has led to the arrest of four men. On February 24 of last year, Campbell Scott, 58, was discovered dead in Makongo Forest, roughly 60 miles (96.5 km) from Nairobi, where he had been residing. The four suspects...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mwandishi Kenya: Serikali ya Tanzania inaniwinda sababu haipendi tunavyofanya

    Serikali ya Tanzania inaniwinda mimi binafsi, kwasababu haipendi tunafanya na tunasema ukweli, Serikali ile ya Tanzania ni ya kiimla haikuchaguliwa na Wananchi wa kweli, ni serikali ambayo imeiba kura na wakaua watu. Sisi kama Maskani tukiangazia wanatuwinda, wametutumia mpaka mademu...
  12. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Starlets On Fire! India Wamechapwa Je, Australia Watazima Moto Fainali Wednesday?

    Hii si mchezo bana! Harambee Starlets wameonyesha wako serious kwa FIFA Series 2026 Wameichapa India 2-0 clean, mchezo ukaanza na pressure ya juu kama rent ya Nairobi. Dakika ya 2 tu, boom! Martha Amunyolet anafungua score mapema India hawajapumua. Kenya wakacontrol tempo, defense iko solid...
  13. Red black

    JamiiForums Tanzania Iani Dialo from kenya Radio presenter wangu Bora wa muda wote huyu jamaa ana IQ kubwa sana.

    Aliwahi kufanya kazi EA redio katika kipindi cha EAST AFRICA DRIVE ndinga mpya town akiwa na David rwenyagira. Jamaa ana madini sana.
  14. A

    JamiiForums Tanzania Ndugu zetu wa Kenya wanataka integration ya software kama Haki za binadamu sio hardware kama passport

    Ndugu zetu wa Kenya wanataka integration ya software kama Haki za binadamu sio hardware kama passport au mambo ya common market, hayo yatakuwa Tu yenyewe tukiwa, tunataratibunnzuri za maisha.
  15. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Kenya wameichafua Toyota Probox Kimataifa!

    Probox ni gari maarufu sana East Africa, nadhani ni kwasababu ya durability, space kubwa ya kubeba mizigo na abiria etc. Sasa ndugu zetu Wakenya sijui wanazitumia vibaya? Maana kwenye page ya Wikipedia imeonekana kama madereva wake ni reckless na hawafuati sheria, pia inatumiwa na corrupt...
  16. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake na singles wanabeba mzigo wa rushwa Kenya EACC Survey yafichua ukweli mchungu

    Kenya imeamka na reality check mob sana baada ya Ethics and AntiCorruption Commission (EACC) kutoa survey mpya ya 2025 na findings zake ni eyeopening kabisa. Kulingana na report, wanawake na watu single ndio wanatoa bribes mara nyingi zaidi kuliko wanaume au wale wako kwa ndoa. Why? Simple wao...
  17. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dormant Voi Rail Line Back to Life as Kenya Targets Trade Growth with Tanzania

    Kenya Railways has taken a major step toward restoring a historic transport link after reviving the century-old metre gauge railway line connecting Voi to Tanzania, signaling a renewed push for regional trade and economic integration. The 130-kilometre Voi–Taveta railway line, which had...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mwanamuziki Matonya ashtakiwa kwa ubakaji nchini Kenya

    Msanii wa Bongo Flava, Matonya (Sefu Shabani Ramadhan), amefunguliwa mashtaka ya ubakaji mjini Mombasa, Kenya kufuatia tukio linalodaiwa kutokea Aprili 7, 2026. Matonya, anayejulikana kwa nyimbo kama “Vaileti” na “Anita”, alikanusha mashtaka hayo mahakamani na kuachiwa kwa dhamana ya shilingi...
  19. ChoiceVariable

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Yapata Aibu Nyingine Ni Baada ya Uganda Kukataa Kuwapa Msaada wa Mafuta

    My Take Wakaombe Kwa Beberu USA wanakoshoboka huku wakisifiwa na desperate and useless Chadema fans 😂😂👇👇 Kiukweli Uganda wamejua kunifurahisha. Tanzania ya Samia tuna Akiba ya miezi 3 na matenki yakikamilika tutakuwa na Akiba ya mwaka mzima. ----- Uganda 🇺🇬 has turned down Kenya’s 🇰🇪 request...
  20. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania World Bank Warns of Rising Inflation Risk in Kenya as Iran Conflict Threatens Growth

    The World Bank has raised fresh concerns over Kenya’s economic outlook, warning that the ongoing Iran conflict could trigger higher inflation and slow economic growth, particularly for oil-importing countries like Kenya. In its latest assessment, the Bank noted that geopolitical tensions in the...
Back
Top Bottom