Uwekezaji soko la hisa kenya(NSE)

Uwekezaji soko la hisa kenya(NSE)

Mundele Makusu1

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2021
Posts
2,627
Reaction score
3,721
Wakuu habari za majukumu

Kwa Yoyote mwenye Ufahamu au uelewa zaidi juu ya namna ya kuwekeza katika soko la HISA Kenya anisaidie ushauri na mawazo.Pia kama kuna soko zuri zaidi la Kenya kwenye HISA naomba nisaidiwe

Asante
 
Wakuu habari za majukumu

Kwa Yoyote mwenye Ufahamu au uelewa zaidi juu ya namna ya kuwekeza katika soko la HISA Kenya anisaidie ushauri na mawazo.Pia kama kuna soko zuri zaidi la Kenya kwenye HISA naomba nisaidiwe

Asante



  1. Chagua broker aliyeidhinishwa nchini Kenya (mfano investment bank au stockbroker anayeshughulikia wawekezaji wa kimataifa).
  2. Fungua CDS Account (Central Depository System account). Hii ndiyo akaunti ya kuhifadhi hisa zako kielektroniki. Utahitaji pasipoti, picha, na nyaraka za utambulisho.
  3. Jaza fomu za KYC (Know Your Customer) na uthibitishe anuani yako.
  4. Tuma fedha kwenye akaunti ya broker kupitia benki ya Tanzania au njia nyingine zinazokubaliwa na broker.
  5. Weka oda ya kununua hisa kama za:
 
  1. Chagua broker aliyeidhinishwa nchini Kenya (mfano investment bank au stockbroker anayeshughulikia wawekezaji wa kimataifa).
  2. Fungua CDS Account (Central Depository System account). Hii ndiyo akaunti ya kuhifadhi hisa zako kielektroniki. Utahitaji pasipoti, picha, na nyaraka za utambulisho.
  3. Jaza fomu za KYC (Know Your Customer) na uthibitishe anuani yako.
  4. Tuma fedha kwenye akaunti ya broker kupitia benki ya Tanzania au njia nyingine zinazokubaliwa na broker.
  5. Weka oda ya kununua hisa kama za:
Asante Sana mkuu, Msaada wako ni Njia kwa wengine pia
 
Swali la nyongeza hakuna namna kwa muwekezaji WA kimataifa kuweza kununua HISA moja kwa moja kama ilivyosoko la DSE kwa hapa Tanzania...Nimefikiri hivi kwasababu naona Kenya na Tanzania ni kama ndugu WA Afrika Mashariki
 
Back
Top Bottom