kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Magonjwa Mtambuka

    Makali ya Corona huko Kenya

    Kazi takribani millioni nne kupotea. Ni kilio na kusaga meno. Kwisha kazi yao, Kushobokea wazungu kunazidi kuwaponza. ===== Makali ya janga la COVID -19 yanazidi kushuhudiwa nchini huku wafanyikazi wengi wakipoteza ajira kila uchao. Hoteli ya Fairmont ndiyo kampuni ya hivi punde kutangaza...
  2. Analogia Malenga

    Chuo Kikuu cha Oxford kufanya majaribio ya chanjo ya COVID-19 Kenya

    Kulinagana na taarifa zilzitolewa ni kwamba chuo kikuu cha Oxford kipo mbioni kufaanikisha chanjo dhidi ya virusi vya corona na kutaraji kuifanyia majaribio nchini Kenya kwa watu wazima. Taarifa hizo zinaendelea kufahamisha kuwa chanjo hiyo itatolewa kwa watu wenye umri wa zaidi ya miaka...
  3. M

    Haiwezakani siye tusiwe na korona wakati Kenya wana visa zaidi ya 1600, jihadhari

    Kenya inaendelea kupima na kupambana na korona wakati siye tunajidanganya imekwisha. Leo hii wamegundua visa 147, hii inaonyesha Korona bado ipo na inaongezeka badala ya kupungua. Najua wanaopenda kusikia habari nzuri wakati wa majanga kujiriwadha, na kama wenye akili ya kutuliza wajinga kwa...
  4. beth

    Wizara ya Afya yatangaza visa vipya 147, jumla ya maambukizi yafikia 1,618

    Waziri wa Afya ametangaza visa vipya 147 vilivyothibitika baada ya sampuli 2,831 kupimwa ndani ya saa 24 zilizopita. Maambukizi mapya yamerekodiwa kutoka kaunti 11 ambapo Nairobi ina visa (90), Mombasa (41), Kiambu (3), Nyeri (2) na Uasin Gishu (2). Vingine vimetokea Kajiado, Kilifi, Embu, Homa...
  5. B

    Kuna nchi zipo vizuri ila huwa hawapigi kelele sana kama Majirani zetu

    Abidjan ni mji mkuu wa nchi ya Ivory Coast na pia mji kubwa zaidi nchini humo. Abidjan is also known as the Paris of Africa , Abidjanis the biggest and most important city of Cote d'Ivoire. With a population of around 4,000,000 people, it is the second largest city in West Africa after Lagos and...
  6. Analogia Malenga

    Benki Kuu Kenya: 75% ya biashara ndogo na za kati zitafungwa hadi mwezi Juni

    BENKI KUU KENYA YASEMA 75% YA BIASHARA ZA NDOGO NA KATI ZITAKUFA Gavana wa Benki Kuu ya Kenya Zaidi ya 75% ya biashara ndogo na biashara za kati zipo hatarini kufungwa kutokana na ukosefu wa pesa Hii ni kutokana na shughuli kuzorota kutokana na kuwa na tishio la janga la #CoronaVirus Ukuaji...
  7. Analogia Malenga

    Kenya: Amchinja mjomba wake na kumpelekea kichwa shangazi yake

    Polisi wa Mwatate kaunti ya Taita Taveta wanamshikilia mtu mmoja anayetuhumiwa kumkata kichwa mjomba wake Kijana huyo wa miaka 20 ameripotiwa kumchinja mjomba Mei 27, wake na kupeleka kichwa kwa mke wa mjomba wake huyo, ambaye alikimbia baada ya kukiona Sababu za kufanya tukio hilo...
  8. kavulata

    Kenya tumieni takwimu kwenye lockdown ya CORONA

    COVID-19 imeua watu 55 Kenya tangu Mwezi March 2020 hadi May 2020. Kabla ya kuendelea na lockdown ya CORONA toweni takwimu ya vifo kutokana na magonjwa mengine Kama Malaria, TB, HIV, ajali za bodaboda katika kipindi Cha kuanzia March- May 2020 same period ili kuona Ni ugonjwa gani umeua wakenya...
  9. Influenza

    Kenya: Watanzania watatu wakamatwa na kuwekwa Karantini, mmoja akimbia. Wadaiwa kuingia nchini humo kinyemela

    Mtanzania mmoja amekimbia na wenzake watatu wamekamatwa na kuwekwa Karantini baada ya kuingia katika Kaunti ya Homa Bay kinyemela siku ya Jumatatu. Aliyekimbia alijifanya anaongea na simu wakati wakihojiwa na Mkuu wa eneo la Kagan Kusini, Sospeter Oyugi katika Kituo cha biashara huko Rangwe...
  10. Geza Ulole

    Kenya yaendelea kuzuia Watanzania kuingia Taveta na kufanya biashara

    Wafanyabiashara katika mpaka wa Holili uliopo Wilaya ya Rombo wamelalamikia kitendo cha wao kunyimwa kuingia nchini Kenya kufanya baishara na kutakiwa kuagiza mizigo kwa njia ya simu huku wao wakiingia nchini na kufanyabiashara bila kubughudhiwa. ======= nomasana, sam999, NairobiWalker...
  11. Kichuguu

    Kenya Kuna Wabunifu: Angalia Barakoa Zao

    Corona imeingia Kenya na kuleta opportunities mpya kwa wanchi; angalia barakoa walizotoa
  12. Kevin85ify

    Kenya: Africa Is Talking , Africa's Largest Unified Communication Platform

    Business APIs in Africa are getting a boost from global venture capital thanks to a new $8.6 million round for Africa’s Talking—a Kenyan based enterprise software company. The new financing was led by IFC Venture Capital, with participation from Orange Digital Ventures and the investor that’s...
  13. Kevin85ify

    Kenya: Gumzo Africa's First Video Conferencing App

    Gaming Startup Usiku Games has launched what they describe as the first “made in Africa for Africa” video conferencing system. Dubbed Gumzo, which is Kiswahili for chatting, the new platform promises better quality calls with unlimited attendees at affordable prices. Currently, the company says...
  14. Analogia Malenga

    Kenya mtoto auzwa kwa Tsh. 65,000

    Binti wa miaka 17, wa kidato cha pili mkazi wa Butere Kaunti ya Kakamega, amelazimika kumuuza mwanaye mara baada ya kujifungua, baada ya kufukuzwa na baba yake mlezi kwa kuwa na ujauzito huo. Taarifa zinasema binti huyo alifukuzwa kwa kuwa alipewa mimba na nduguye wa karibu hivyo mtoto ambaye...
  15. Mjomba Fujo

    Picha zinatisha: Maasai watwangana na jamii ya Kipsigis Narok nchini Kenya, wanne wapoteza maisha

    Mgogoro wa mifugo umeleta mapigano ya jamii hizi mbili zenye uhasama wa muda mrefu.
  16. M

    How Tanzania is Overtaking Kenya as Regional Economic Powerhouse..

    It is no doubt Tanzania is strongly coming up as a real competitor and perhaps an emerging producer of the East African community. It is also true that the ease and cost of doing business in Tanzania is cheaper than it is in Kenya. Periodic electoral chaos in Kenya associated with ethnic...
  17. Symonjerry

    Kupiga chabo

    SIASA Sent using Jamii Forums mobile app
  18. C

    IMF: Tanzania Rapidly Closing its Economy gap with Kenya

    Kenya’s status as East Africa’s economic powerhouse is at stake as Tanzania races closely behind, with a higher growth rate that is increasingly narrowing the gap between the two economies. Tanzania has added impetus to its economic firepower, growing by an impressive seven per cent over the...
  19. Sinister

    Kenya most integrated country in COMESA, AU report

    Rwanda and Zambia came second and third respectively; with Eswatini, and Sudan scoring being the least integrated into the region. Overall, the Index shows that levels of integration on the continent are relatively low with an average score of 0.327 out of 1. The report observed that although...
  20. Hata Sina kinyongo

    Wamiliki wa maroli nchini Kenya wazuia maroli yao kuvuka kwenda Uganda kwa hoja ya madereva wa Kenya kunyanyapaliwa

    Ukistaajabu ya Musa... Kile Tanzania ilichokipinga kwa unyanyasaji walio kuwa wanafanyiwa madereva wa Tanzania kwenye mipaka ya na Kenya ndicho Kenya imekifanya huko Malaba mpaka baina ya Kenya na Uganda. Wamiliki wa maroli Kenya wamezuia maroli yao kuvuka upande wa Uganda hadi pale...
Back
Top Bottom