kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Influenza

    COVID-19 in Kenya: 90 more people test positive, total rises to 3,305

    90 more people have tested positive for COVID-19 in Kenya bringing the total number of positive cases in the country to 3,305. Health CAS Rashid Aman said all the new patients are Kenyans: 62 are male while 28 are female. The youngest of them is 14 years old while the oldest is 80 years old...
  2. M

    Kenya: Polisi washutumiwa kuwaua watu 15 kiholela

    Kenya: Polisi washutumiwa kuwaua watu 15 kiholela Mamlaka inayoangazia utendakazi wa polisi nchini Kenya IPOA, Jumatano ilisema kwamba Wakenya wapatao 15 wameuawa na polisi katika taifa hilo la Afrika Mashariki katika kipindi hiki ambacho kumewekwa marufuku ya kutoka nje usiku, kati ya masharti...
  3. Cannabis

    Polisi watatu Kenya wakamatwa kwa kumburuza mwanamke kwa pikipiki

    Polisi watatu wamekamatwa nchini Kenya baada ya mmoja wa polisi hao kuonekana akimchapa na kumburuza mwanamke mmoja kwa pikipiki. Mwanamke huyo anadaiwa kuhusiana na tuhuma za wizi mjini Nakuru. Mwanamke huyo amelazwa hospitali baada ya kuumia miguuni na mikononi. Mwanamke huyo amekiambia...
  4. Teargass

    Kenya total paved roads hit 21,000km in 2019

    Kenya total tarmaced roads increased by 1500km in one year to 21,000km in 2019. In 2018, Kenya had a total of 18,600km of paved roads in the entire country. This was three two times what Tanzania had the same year. Paved roads are expected to 23,000km in 2020
  5. President of China

    Naomba watalaam wa pande zote Kenya na Tanzania musaidie. GDP inapatikanaje?

    Salamu wa JF. Naomba matusi yasiwepo. GDP (gross domestic product) inapatikanaje? Mpaka mashirika ya kimataifa wanatoa ripoti. Kwa upande wangu nikichukulia neno domestic product inakuwa na maana ya mazao yatokanao na uzalishaji wa ndani. Ninaomba kujua hao wataalamu wa mashirika ya kimataifa...
  6. Analogia Malenga

    Kenya: Polisi sita kushtakiwa kwa mauaji waliyotekeleza wakati wa 'marufuku ya kutembea usiku'

    Wakenya wapatao 15 wameuawa na polisi nchini Kenya katika kipindi hiki ambacho kumewekwa marufuku ya kutembea usiku ili kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona, ripoti huru ya mamlaka inayoangazia makosa ya polisi katika taifa hilo (IPOA) imesema. Polisi sita sasa watashtakiwa kwa makosa ya...
  7. Chachu Ombara

    Serikali Kenya yatangaza wagonjwa wapya 127 wa COVID 19 na kufikisha idadi ya 2,989

    127 more people have tested positive for coronavirus in Kenya bringing the total to 2,989. Health CAS Rashid Aman said 2,247 samples were tested in the last 24 hours. 124 of the new cases are Kenyans while three are foreigners: 84 are male and 33 are female. The youngest patient is a...
  8. J

    Why is Kenya more famous than most other African countries? Is this true or exaggeration

    Why is Kenya more famous than most other African countries? This is an interesting question, I’ve also found myself wondering why Kenya is so well known compared to most other African countries, so I did a bit of digging, and here’s what I found: History It is considered the cradle of...
  9. T

    Mapambano ya Corona: Kenya yapata msaada wa $78M kutoka Umoja wa Ulaya (EU)

    Katika kupambana na madhara ya corona Kenya imeendelea kupokea misaada kutoka nchi mbali mbali Duniani ili kusaidia sekta ambazo zitaathirika zaidi. Hadi sasa Kenya imeshapokea msaada wa Dollar Millions 350 kutoka umoja wa ulaya na nchi moja moja za ulaya zimeichangia Kenya Dollar Million 33...
  10. Influenza

    Wagonjwa 95 waongezeka, baada ya sampuli 1,096 kupimwa ndani ya saa 24. Jumla ya visa yafikia 2,862

    Health Chief Administrative Secretary Dr. Rashid Aman on Monday announced that a record 97 patients were in the last 24 hours discharged from various health facilities in the country after recovering from COVID-19. Dr. Aman, speaking during the daily coronavirus briefings at Afya House in...
  11. Dr Akili

    Ona katiba mpya ya Kenya inavyowatesa Wakenya

    Kamwe fahari wawili hawawezi kaa zizi moja. Katiba yao mpya iliweka fahari zaidi ya watatu katika zizi moja. Ona sasa mambo ya utawala wa nchi unavyokuwa mgumu.
  12. Kevin85ify

    Kenya: Technical Colleges giving Universities a run for their money

    Over 2500 students who qualified to go to University in the class of 2019, have opted to go to technical colleges and pursue diplomas Kenyan Technical colleges have also started gaining recognition globally with Railway Training Institute in Nairobi undergoing a major refurbishment into the...
  13. joto la jiwe

    Madereva wa Kenya waomba Serikali yao kuingilia kati kumaliza mgogoro na Tanzania

    Trucks caring goods are parked at Isebania border at Kenya customs parking yard on May 19, 2020. Six truck drives from Kenya were denied access to Tanzania, [Caleb Kingwara, Standard] Kenyan truck drivers urge the state to intervene and facilitate their release after being detained in...
  14. MK254

    Kenya yanusuru mabaharia saba wa Tanzania waliokuwa wanazama

    Walikua wanasafiri kutokea Tanga kuelekea Pemba............ Seven Tanzanian fishermen escaped death by a whisker after Kenyan government rushed to their rescue when their boat capsized in the Indian ocean. The group made a distressed call near Mtwapa along the Kenyan Coastline after their...
  15. M

    Kenya acha wizi wa mlima Kilimanjaro, tumeamua kukuumbua

    Bila aibu kwa miaka mingi sana sasa, Wakenya wana watangazia wazungu na wote duniani mlima Kilimanjaro upo Kenya. Wazungu wote waliodanganywa hivyo wamechukia sana baada ya kuwalazimu kulipia viza za nchi mbili na kupoteza muda mwingi na pesa zao. Huu ni ushenzi wa kijinga na wivu mkubwa...
  16. Trubarg

    SGR Kenya yakalia kuti kavu: Wafanyabiashara Uganda wakataa kulazimishwa kutumia Naivasha ICD

    Wakati serikali ya kenya wakitoa waraka wakutaka matumizi ya ICD ya Naivasha yawe lazima kwa mizigo inayoelekea Kampala ili kuboost matumizi ya SGR yao ambayo Sasa imekua Kama White Elephant. CURBING VIRUS SPREAD: Transport CS James Macharia joins other government officials in...
  17. MK254

    Hawa hapa ndio wenye elimu Tanzania, hadi aibu, halafu ndio wanalilia na kung'ang'ania kuingia Kenya bila kupimwa

    Jana Rais Magufuli alihutubia kongomano la walimu waliosongamana na kupumuliana full mijasho bila tahadhari yoyote kama wanavyoonekana kwenye hii picha, hamna cha barakoa au kuzingatia umbali wa kila mmoja, hawa hapa ndio utategemea wawe na kauelewa kiaina kuhusu sayansi na masuala ya kirusi...
  18. Magonjwa Mtambuka

    Wizi wakithiri saa za curfew huko Kenya

    Hawa wakenya (manyang'au) akili yao sijui ikoje. Sasa wanaanza kulia lia kwa sababu wezi wanafanya yao nyakati za curfew. Ni hasara tupu wanajipa.
  19. vulcan

    Ukulima wa kisasa Kenya

  20. vulcan

    Tazama mambo yanayoendelea Kenya

    Kiambu na maeneo yake ==== Kambu is a Town just some few kilometres from the city of Nairobi, it inhabited mostly by the a Gikuyu community. The Town has some expansive coffee and Tea farms on the outskirts of the town even though most of the farm land are being converted to real estate.
Back
Top Bottom