M MINOCYCLINE JF-Expert Member Apr 2, 2015 8,011 16,748 Jan 19, 2021 #4 YEHODAYA said: Click to expand... Tumeshachoka sasa na hizi Kelele za 24/7 baina ya hizi nchi mbili kama vipi ili kumaliza ubishi Mkemia na Teja watie Saini zao tu tuanze Kuzichapa.
YEHODAYA said: Click to expand... Tumeshachoka sasa na hizi Kelele za 24/7 baina ya hizi nchi mbili kama vipi ili kumaliza ubishi Mkemia na Teja watie Saini zao tu tuanze Kuzichapa.
funzadume JF-Expert Member Jan 28, 2010 13,559 21,040 Jan 19, 2021 #6 Mama Anna ni kiongozi bora sana. Ana busara, weledi na sio mtu wa kukurupuka. Ni RC bora sana kuwahi kutokea
Mama Anna ni kiongozi bora sana. Ana busara, weledi na sio mtu wa kukurupuka. Ni RC bora sana kuwahi kutokea
W Wo shi niubi JF-Expert Member Aug 14, 2015 1,268 1,652 Jan 19, 2021 #7 Mpelekeni yule RC wa Tanga akamalize hli, au aliacha kuwa mkuu wa mkoa? wakenya wanataka RC kama yule.
Mpelekeni yule RC wa Tanga akamalize hli, au aliacha kuwa mkuu wa mkoa? wakenya wanataka RC kama yule.