Kenya yaingia katika recession; GDP yapungua, watu milioni 3 wakosa ajira

GREAT VISIONAIRE

JF-Expert Member
Sep 28, 2012
365
453
Madhara ya covid 19 yameishambulia kenya na kuwa nchi ya kwanza kwa sub saharan africa kuingia katika recession tokea miaka 30 iliyopita.

Miezi mitatu ya mwisho october mpaka december 2020, GDP ya Kenya ilishuka kwa 5.5% na uzalishaji katika sekta za usafirishaji, viwanda, biashara vilishuka kwa asilimia 60, na hivyo kusababisha watu takribani milioni 2.8 kukosa ajira.

Mwezi wa December bunge la kenya liliomba mkopo imf wa dola billioni 2.3 ili kusaidia kulipa mishahara ya wafanyakazi kwa sababu serikali haikuwa na pesa za kuendesha shughuli na kulipa mishahara. Changamoto iliyojitokeza bungeni ni kuwa walishafikia kikomo cha mikopo kwa 90% ya GDP na hivyo ili kupata mkopo wa imf wa dola bilioni 2.3 ilibidi warekebishe sheria kuongeza kiwango cha mkopo kwa asilimia dhidi ya GDP.

Hata hivyo imf iliwaonya na kuiambia serikali ya kenya kuacha kuficha madeni kwa maana kuna madeni ya majimbo walikuwa hawayaripoti na ikiwa yakiongezwa basi deni kwa gdp itafikia 98% kabla ya deni jipya waliloliomba la dola billioni 2.3.

Hata hivyo imf imesema uchumi wa nchi ya kenya utakuwa kwa kasi kuanzia mwaka 2021.Wakati huohuo gavana wa kenya bwana Njoroge ameonyesha wasiwasi wake kuhusu uchumi wa kenya kwa mwaka 2021 kuwa na hali mbaya zaidi.

Imf ambao wanaonekana ni taasisi inayotoa taarifa zisizo sahihi kwa mwaka 2020 ilionyesha uchumi wa kenya kukua kwa asilimia 7.1% ikiongoza afrika mashariki lakini hali ikawa tofauti kwa uchumi kushuka kwa asilimia 10.

Huu ni mwanzo na tutapata hakika. Wakati huohuo kenya inajiandaa kupokea chanjo za covid 19.

 
Bongolala statistics department, asilimia 10% umetoa wapi?

Nchi ya kwanza africa kuingia recession kwa maika 30?

Propaganda husaidia praise team wajiskie vizuri , hamna shida endeleeni hivo hivo
 
Hiyo 10% umeitoa wapi? Maanake 'contraction' ambayo wanaizungumzia ni ya jumla ya 1.1% ya GDP ya Kenya kwenye Q2 pamoja na Q3 mwaka wa 2020. Hayo yote ni kwasababu ya athari za janga la kidunia la COVID-19. Alafu ole wenu kama ndoto yenu ya kuipiku Kenya haikutimia ndani ya muda huo. Prediction za World Bank na mashirika mengine ya kiuchumi yanaashiria kwamba mwaka wa 2021 uchumi wa Kenya utakua kwa asilimia ya juu zaidi ya nchi yeyote nyingine barani Afrika.
 

Kenya’s economy slumped into recession after 18 years in September​


By Kepha Muiruri For Citizen Digital
time updated
Published on: January 28, 2021 08:26 (EAT)


Kenya's economy slumped into recession after 18 years in September

File image of Nairobi City. PHOTO| COURTESY

In Summary​

  • The contraction in growth was preceded by the first GDP contraction since September 2008 with GDP slumping by 5.5 per cent (revised from -5.7 per cent) between April and June.
  • While the government had moved to lessen restrictions on enterprise following the initial COVID-19, the retention of tough measures including a night time curfew alongside the closure of schools continues to inhibit economic activity.
  • The accommodations and restaurant sector for instance marked a 57.9 per cent contraction in growth following up a steeper 83.2 per cent decline in Q2 while the education sector shrunk by 41.9 per cent.
The Kenyan economy sunk to its first recession after exactly 18 years in September 2020 with gross domestic product (GDP) falling by 1.1 per cent in the third quarter.

The contraction in growth was preceded by the first GDP contraction since September 2008 with GDP slumping by 5.5 per cent (revised from -5.7 per cent) between April and June.

While the government had moved to lessen restrictions on enterprise following the initial COVID-19, the retention of tough measures including a night time curfew alongside the closure of schools continued to inhibit economic activity.

“The contraction was much lower than that recorded during the previous quarter largely against a backdrop of partial easing of COVID-19 containment measures that facilitated gradual resumption of a number of economic activities,” KNBS said in its quarter 3 GDP report published on Wednesday.

The hospitality and education sectors continued to bear the brunt of the pandemic as travel remained interrupted and school gates were shut.

The accommodations and restaurant sector for instance marked a 57.9 per cent contraction in growth following up a steeper 83.2 per cent decline in Q2 while the education sector shrunk by 41.9 per cent.

Other sectors to witness contraction in the period included manufacturing (-3.2%), wholesale & retail (-2.5%) and other services (-4.5%).

Moreover taxes on products declined by 4.2 per cent on the back of tax relief measures by government to cushion against the effects of the COVID-19 on the economy.

The economy however continued to find respite in the resilient agriculture sector which registered a higher 6.3 per cent growth from 5 per cent at the same time in 2019.

The standout performance was supported by increases in tea production, exports of fruit and sugar production according to the statistician’s office.

The solid growth in agriculture was supplemented by expansion in other sectors including construction (16.2%), ICT (7.3%), mining (18.2%), finance (5.3%) and real estate (5.3%).

According to the KNBS, Kenya’s last recession — defined loosely as two consecutive quarters of declining GDP growth — was registered between June and September 2002.

The recession definition however defers in various quarters with the US National Bureau of Economic Research (NBER) describing recession as a significant decline in economic activity spread across the economy and lasting more than a few months.

This effect is mirrored in real GDP growth, incomes, employment, industrial production and wholesale & retail sales.

The third quarter contraction however carried mixed signals with employment for instance rebounding with 1.8 million jobs created after 1.7 million job losses in the Q2.

The economy is however projected to have recovered in the fourth quarter to December anchoring better prospects for 2021 growth.

“Leading indicators for the Kenyan economy point to a recovery particularly in the fourth quarter of 2020, from the disruptions earlier in the year. This recovery is supported largely by strong performance in the agriculture and construction sectors, resilient exports, and continued recovery in manufacturing and services,” the Central Bank of Kenya (CBK) said in a statement on Wednesday.

“Against this performance and the favourable global outlook, the economy is expected to rebound strongly in 2021, supported by recovery in the services sectors particularly education, manufacturing, resilient agriculture and the ongoing policy support through the Government’s economic recovery plan.”

 
This was in 2020 july to September during the pandemic. Mi bongolala saa hii iko 5th orgasm . Wtf.

2021 mambo ni tofauti
Screenshot_20210129-153127_Chrome.jpg
Screenshot_20210129-153131_Chrome.jpg
 
Madhara ya covid 19 yameishambulia kenya na kuwa nchi ya kwanza kwa sub saharan africa kuingia katika recession tokea miaka 30 iliyopita.

Miezi mitatu ya mwisho october mpaka december 2020, GDP ya Kenya ilishuka kwa 5.5% na uzalishaji katika sekta za usafirishaji, viwanda, biashara vilishuka kwa asilimia 60, na hivyo kusababisha watu takribani milioni 2.8 kukosa ajira.

Mwezi wa December bunge la kenya liliomba mkopo imf wa dola billioni 2.3 ili kusaidia kulipa mishahara ya wafanyakazi kwa sababu serikali haikuwa na pesa za kuendesha shughuli na kulipa mishahara. Changamoto iliyojitokeza bungeni ni kuwa walishafikia kikomo cha mikopo kwa 90% ya GDP na hivyo ili kupata mkopo wa imf wa dola bilioni 2.3 ilibidi warekebishe sheria kuongeza kiwango cha mkopo kwa asilimia dhidi ya GDP.

Hata hivyo imf iliwaonya na kuiambia serikali ya kenya kuacha kuficha madeni kwa maana kuna madeni ya majimbo walikuwa hawayaripoti na ikiwa yakiongezwa basi deni kwa gdp itafikia 98% kabla ya deni jipya waliloliomba la dola billioni 2.3.

Hata hivyo imf imesema uchumi wa nchi ya kenya utakuwa kwa kasi kuanzia mwaka 2021.Wakati huohuo gavana wa kenya bwana Njoroge ameonyesha wasiwasi wake kuhusu uchumi wa kenya kwa mwaka 2021 kuwa na hali mbaya zaidi.

Imf ambao wanaonekana ni taasisi inayotoa taarifa zisizo sahihi kwa mwaka 2020 ilionyesha uchumi wa kenya kukua kwa asilimia 7.1% ikiongoza afrika mashariki lakini hali ikawa tofauti kwa uchumi kushuka kwa asilimia 10.

Huu ni mwanzo na tutapata hakika. Wakati huohuo kenya inajiandaa kupokea chanjo za covid 19.

Afadhalu hata Kenya wana guts za kutoa takwimu.

Sisi huku kwetu ukitoa takwimu unatakiwa kusema tuko vizuri, vinginevyo utapata tabu sana.
 
Hiyo 10% umeitoa wapi? Maanake 'contraction' ambayo wanaizungumzia ni ya jumla ya 1.1% ya GDP ya Kenya kwenye Q2 pamoja na Q3 mwaka wa 2020. Hayo yote ni kwasababu ya athari za janga la kidunia la COVID-19. Alafu ole wenu kama ndoto yenu ya kuipiku Kenya haikutimia ndani ya muda huo. Prediction za World Bank na mashirika mengine ya kiuchumi yanaashiria kwamba mwaka wa 2021 uchumi wa Kenya utakua kwa asilimia ya juu zaidi ya nchi yeyote nyingine barani Afrika.
Weka ushahidi hapa kwmb prediction inaonesha uchumi wenu utakua zaidi ya nchi zote Afrika.
 
Eti 6.4% itoke wapi iyo 6% yn magonjwa, njaa, rushwa, ufisadi, mikopo ya kipuuzi na bado uchumi ukue, kwmb Mungu baba yenu au sio

 


Kenya’s economy slumped into recession after 18 years in September​


By Kepha Muiruri For Citizen Digital
time updated
Published on: January 28, 2021 08:26 (EAT)


Kenya's economy slumped into recession after 18 years in September's economy slumped into recession after 18 years in September

File image of Nairobi City. PHOTO| COURTESY

In Summary​

  • The contraction in growth was preceded by the first GDP contraction since September 2008 with GDP slumping by 5.5 per cent (revised from -5.7 per cent) between April and June.
  • While the government had moved to lessen restrictions on enterprise following the initial COVID-19, the retention of tough measures including a night time curfew alongside the closure of schools continues to inhibit economic activity.
  • The accommodations and restaurant sector for instance marked a 57.9 per cent contraction in growth following up a steeper 83.2 per cent decline in Q2 while the education sector shrunk by 41.9 per cent.
The Kenyan economy sunk to its first recession after exactly 18 years in September 2020 with gross domestic product (GDP) falling by 1.1 per cent in the third quarter.

The contraction in growth was preceded by the first GDP contraction since September 2008 with GDP slumping by 5.5 per cent (revised from -5.7 per cent) between April and June.

While the government had moved to lessen restrictions on enterprise following the initial COVID-19, the retention of tough measures including a night time curfew alongside the closure of schools continued to inhibit economic activity.

“The contraction was much lower than that recorded during the previous quarter largely against a backdrop of partial easing of COVID-19 containment measures that facilitated gradual resumption of a number of economic activities,” KNBS said in its quarter 3 GDP report published on Wednesday.

The hospitality and education sectors continued to bear the brunt of the pandemic as travel remained interrupted and school gates were shut.

The accommodations and restaurant sector for instance marked a 57.9 per cent contraction in growth following up a steeper 83.2 per cent decline in Q2 while the education sector shrunk by 41.9 per cent.

Other sectors to witness contraction in the period included manufacturing (-3.2%), wholesale & retail (-2.5%) and other services (-4.5%).

Moreover taxes on products declined by 4.2 per cent on the back of tax relief measures by government to cushion against the effects of the COVID-19 on the economy.

The economy however continued to find respite in the resilient agriculture sector which registered a higher 6.3 per cent growth from 5 per cent at the same time in 2019.

The standout performance was supported by increases in tea production, exports of fruit and sugar production according to the statistician’s office.

The solid growth in agriculture was supplemented by expansion in other sectors including construction (16.2%), ICT (7.3%), mining (18.2%), finance (5.3%) and real estate (5.3%).

According to the KNBS, Kenya’s last recession — defined loosely as two consecutive quarters of declining GDP growth — was registered between June and September 2002.

The recession definition however defers in various quarters with the US National Bureau of Economic Research (NBER) describing recession as a significant decline in economic activity spread across the economy and lasting more than a few months.

This effect is mirrored in real GDP growth, incomes, employment, industrial production and wholesale & retail sales.

The third quarter contraction however carried mixed signals with employment for instance rebounding with 1.8 million jobs created after 1.7 million job losses in the Q2.

The economy is however projected to have recovered in the fourth quarter to December anchoring better prospects for 2021 growth.

“Leading indicators for the Kenyan economy point to a recovery particularly in the fourth quarter of 2020, from the disruptions earlier in the year. This recovery is supported largely by strong performance in the agriculture and construction sectors, resilient exports, and continued recovery in manufacturing and services,” the Central Bank of Kenya (CBK) said in a statement on Wednesday.

“Against this performance and the favourable global outlook, the economy is expected to rebound strongly in 2021, supported by recovery in the services sectors particularly education, manufacturing, resilient agriculture and the ongoing policy support through the Government’s economic recovery plan.”

Geza Ulole najua bila shaka umefurahia habari hii sana. Nyang'au akipigwa kidogo unaruka ruka kwa furaha.
 
So tukuamini ww au tuiamini serikali ya Kenya

View attachment 1689008
Sasa unaamini serikali ya Kenya kuhusu hili lakini hutaki kuamini serikali ya Kenya kuhusu census? Mbona wewe umekuwa bwege namna hii?
 
Sasa unaamini serikali ya Kenya kuhusu hili lakini hutaki kuamini serikali ya Kenya kuhusu census? Mbona wewe umekuwa bwege namna hii?
Hilo la uchumi kufa lipo wazi haiwezi kuongopa ila census hapana wanaongopa, kuna article nmekuwekea kule hope umeisoma.
 
Thread hiz za kenya na tz zinanipa rahaa sana nataman siku nije muona MK254 Tony254 n.k kutoka kenya

Karibu tz, nipo moshi mjini hapa nauza nafaka (mchele na maharage) jumla na rejareja
 
Back
Top Bottom