kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Analogia Malenga

    Januari 1, Kenya yatangaza kurudisha kodi kama ilivyokuwa kabla ya corona

    Waziri wa Fedha wa #Kenya, Ukur Yatani ametangaza kurudisha kodi mbalimbali ambazo zilipunguzwa au kuondolewa ili kutoa unafuu kwa wananchi baada ya nchi hiyo kupigwa na janga la #COVID19 Watu wanaopata chini ya Ksh 24,000 sawa na takriban Tsh. 495,700 hawatalipa kodi ya mapato (PAYE). Kodi ya...
  2. luangalila

    Marekani yaonya raia wake kutosafiri kwenda Kenya juu ya hatari kubwa ya COVID-19

    Taifa la Kenya usiku wa kuamkia leo wamepigwa butwaaa baada ya taarifa iliyotolewa na serikali ya Marekani kwa raia wake kuhusu hali mbaya ya maambukizi ya Covid 19 huko Kenya sambamba na kiwango duni cha usalama wa afya zao. Taarifa hiyo imepokelewa kwa huzuni na masikitiko miongoni mwa...
  3. Sinister

    Construction of new overpasses in Nairobi Kenya gathers pace

    The government of Kenya through the Kenya Urban Roads Authority (KURA) has begun the process of constructing two overpasses and a series of road interchanges linking Upper Hill to the Nairobi Central Business District (CBD). Of the two overpasses, one begins from valley road around the...
  4. Tony254

    Kenya ilipigania uhuru wake. Tanzania ilipewa uhuru bure na Mbeberu

    Watanzania huwa wana kiburi ya hali ya juu sana maana wanaamini kuwa wao ndio waliikomboa Afrika kutoka kwa Mabeberu. Ukiona waziri wao akifoka jinsi waliikomboa Afrika hadi mate inamtoka mdomoni na mishipa kuvimba kichwani ndio utajua kwamba hii propaganda ya CCM ni nzito sana. Ukweli wa...
  5. Tony254

    Vita baridi kati ya Kenya na Somalia

    Hii article inaelezea vizuri chanzo cha vita baridi kati ya Kenya na Somalia. Inatoa information nyingi ambayo sikuwa najua kuhusu Somalian politics. Inasema kuwa mawaziri na wanasiasa wa Somalia huwa wanapenda kuja na kujivinjari Nairobi. Wanaishi kwenye mahoteli kubwa kubwa. Wanapenda kuja...
  6. Sinister

    Ugandans, Tanzanians top list of migrants in Kenya - Survey

    Uganda has 71 migrants, Tanzania 43 Ethiopia 23, Somali 20, DRC Congo 11, Rwanda 11. In Summary • A third of these migrants being detained for being in the country without proper documentation. • The detained migrants often have their human rights violated as they end up being detained...
  7. MissM4C

    Mfungwa wa tukio la Ugaidi Chuo Kikuu cha Garissa nchini Kenya, Rashid Mberesero adaiwa kujinyonga Gerezani Kamiti

    Wakuu mnamkumbuka bwana mdogo Rashid Charles Mberesero, Mpare, aliyekuwa moja wa masterminder wa shambulio la Garisa University na kuua 148, amejinyonga Gerezani leo Mapambano mema na kaburi na Je, Sheria inasemaje? Atarudishwa Upareni na Seriakli ya Kenya? --- One of the three people who...
  8. Bowie

    Tanzania kuipita Kenya kiuchumi

    Professor of wa chuo maarufu nchini Kenya katika mahojiano na kituo cha television cha Citizen amesema baada ya miradi ya Standard Gauge Train na Mwalimu Nyerere Hydro Power Project vikikamilika uchumi wa Tanzania utapanda na kuzidi uchumi wa Kenya.
  9. Gamal Sankara

    Uganda's high commissioner to Kenya refuses to hand over

    Uganda's High Commissioner to Nairobi, Kenya Phibby Otaala has said she will not hand over to Hassan Galiwango, who was recently appointed and vetted by Parliament for the position. Ms Otaala said she has never been recalled by the appointing authority, President Museveni, despite leaving...
  10. Swahili_Patriot

    What is Kenya without loans?

    Sijakataa sawa nyinyi ndio giants of EAC. Sikatai GDP yenu ni kubwa kuliko yetu. Ila, kutokana na uhalisia ninaouona, nina uhakika GDP ya TZ inayotaka moja kwa moja kutoka vyanzo vya mapato ya Serikali inayoingizwa kwenye mzuguko wa taifa ni kubwa kuliko ya Kenya inayotoka kwa KRA hadi kwenye...
  11. Sinister

    Kenya crowned world's leading tourism destination

    The award comes barely three weeks after Kenya scooped top continental awards. In Summary •This is the 7th time in the past 8 years and 6th time in a row that Kenya has won the prestigious award at the annual global awards. •This is after having won the award in 2013, 2015, 2016, 2017, 2018...
  12. Tony254

    Kenya Somalia maritime dispute

  13. Analogia Malenga

    Kenya yapunguza idadi ya wageni wanaohudhuria harusi kutokana na corona

    Chakula kitatolewa tu kwa wazazi na ndugu wa maharusiImage caption: Chakula kitatolewa tu kwa wazazi na ndugu wa maharusi Idadi ya wageni watakaoruhusiwa kuhudhuria harusi nchini Kenya imepunguzwa hadi kufikia watu 50 pekee kutokana na ongezeko la maambukizi ya virusi vya corona nchini humo...
  14. Analogia Malenga

    Rais Kenyatta aacha kutumia Twitter kutokana na matusi ya wachangiaji

    Rais Uhuru Kenyatta ambaye anatajwa kuwa mkenya mwenye ‘followers’ wengi katika mtandao wa twitter ameifunga akaunti yake ya twitter kwa zaidi ya mwaka Amesema taarifa za nchi zitashughulikiwa na Akaunti Rasmi za Ikulu. Amesema amechana na mitandao kutokana na matusi ya wachangiaji Amesema ‘ni...
  15. C

    Wakenya wazuiwa kuingia Falme za Kiarabu (UAE)

    Wakuu nimekutana na hii kitu, majirani zenu na watani wa jadi wamezuiwa kuingia Dubai (UAE) Africa pia zimo Libya, Tunisia na Somalia. ===== The United Arab Emirates has stopped issuing new visas to citizens of 13 mostly Muslim-majority countries, including Iran, Syria and Somalia...
  16. Miss Zomboko

    Kenya to leverage on alternative building technology to bridge housing deficit

    Kenya plans to leverage on alternative building technology in order to bridge the housing deficit, a government official said on Monday. Gordon Kihalangwa, principal secretary, State Department of Public Works told journalists in Nairobi that use of technology such as expanded polystyrene (EPS)...
  17. Bowie

    Kenya is in financial distress, government admits

    Low revenue collection, a ballooning debt and the economic challenges of Covid-19 have plunged Kenya into a cash crunch, with all indications clear that the government is struggling. On Monday, Interior CS Fred Matiang'a hinted at a looming pay cut for civil servants in a desperate move to...
  18. Jaji Mfawidhi

    Bombardier na Boeing zimepaki Wakati Simba SC Wakitumia Kenya Airways na Ethiopia Airways kwenda Nigeria

    Simba Sc klabu " Baba la Baba " likiwa linakwenda cheza mechi za kimataifa huko Nigeria na Plateu FC, inatarajia kuondoka Leo 24-11-2020 11:45 jioni kutokea Mkoa uliotengwa kimaendeleo kwa wivu wa flani [KILIMANJARO] kwa ndege ya KENYA AIRWAYS. Simba Fc watapita Nairobi na baadae wata-unga...
  19. Naton Jr

    Kenya yapeleka maombi IMF ya msaada wa $2.3B kusaidia kuendesha nchi

    Nchi imefilisika ===== Kenya Seeks $2.3 Billion Loan From IMF to Boost Recovery By David Malingha November 22, 2020, 8:59 PM EST Updated on November 23, 2020, 5:47 AM EST State also seeks $1 billion to $1.5 billion from World Bank Finance chief says Kenya yet to decide on G-20 debt...
  20. K

    Kitendo cha kuwakatalia Wakurugenzi wa Kenya na kuruhusu wengine ni ubaguzi

    Tanzania tumekuwa na tabia ya kuwakatalia Wakenya kwenye nafasi za juu vibali vya kazi huku tukiwapa wale wengine ambao sio Wakenya bila sababu ya Msingi. Nimesikia Mkurugenzi wa Cocacola Kwanza kakataliwa kibali wakidai kuna Watanzania wenye uwezo lakini vilevile Mkurugenzi wa Voda naye wa...
Back
Top Bottom