Haka kajamaa na crew yake very funny Sana , wakenya kwenye Commedy wametuzidi tuwe Tu wa kweli. Huyu jamaa page yake ya insta ukipitia inakuondolea stress aisee.
Wabongo now sio wabunifu kabisa wanaenda Tu na trending na ubishoo bas. Akina Jaymond, Idris, Dullvan, Mr beneficial & Mjeshi...