Kombe la Arsenal, EPL lapelekwa Kenya, bongo tunafeli wapi?

Kombe la Arsenal, EPL lapelekwa Kenya, bongo tunafeli wapi?

Alexido jz instagram

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2026
Posts
2,074
Reaction score
5,030
Kuelekea juma tatu ambapo, parade Lita happen uingereza jijini London tayari losha Anza kizungushwa nchi tofauti, ambapo limepita Kenya na litaendelea kwingineko sidhani kama bongo litakuja.

Jamaa yangu Mmoja kanijuza wakenya wana connection kubwa hapa duniani na ndo mana hawakuhitaji kumshawishi I showspeed kwenda aloenda mwenyewe.

KOMBE LA ARSENAL wamepeleka arsenal wenyewe, sisi je?

Ok nasikia tarehe 30 may kitawaka hapa Dar kuanzia posta mashabiki wote wa arsenal, ni full shangwe, bonge la parade Sina hakika kama KOMBE litakuwepo mana London uingereza nao ratiba Yao ni juma tatu hii ijayo. Anyway ndo maisha, kupanga ni kuchagua

Screenshot_20260528-203026.jpg
Screenshot_20260528-202915.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20260528-202934.png
    Screenshot_20260528-202934.png
    589.4 KB · Views: 15
Kuelekea juma tatu ambapo, parade Lita happen uingereza jijini London tayari losha Anza kizungushwa nchi tofauti, ambapo limepita Kenya na litaendelea kwingineko sidhani kama bongo litakuja.

Jamaa yangu Mmoja kanijuza wakenya wana connection kubwa hapa duniani na ndo mana hawakuhitaji kumshawishi I showspeed kwenda aloenda mwenyewe.

KOMBE LA ARSENAL wamepeleka arsenal wenyewe, sisi je?

Ok nasikia tarehe 30 may kitawaka hapa dar kuanzia posta mashabiki wote wa arsenal, ni full shangwe, bonge la parade Sina hakika kama KOMBE litakuwepo mana London uingereza nao ratiba Yao ni juma tatu hii ijayo. Anyway ndo maisha, kupanga ni kuchagua
SI LAZIMA LIJE KWETU TANZANIA.
 
Narudia: Arsenal ni kama TRA au JKT kwenye Tanzania NBC Premier League.

Sitaki matusi
 
Back
Top Bottom