Alexido jz instagram
JF-Expert Member
- May 5, 2026
- 2,074
- 5,030
Kuelekea juma tatu ambapo, parade Lita happen uingereza jijini London tayari losha Anza kizungushwa nchi tofauti, ambapo limepita Kenya na litaendelea kwingineko sidhani kama bongo litakuja.
Jamaa yangu Mmoja kanijuza wakenya wana connection kubwa hapa duniani na ndo mana hawakuhitaji kumshawishi I showspeed kwenda aloenda mwenyewe.
KOMBE LA ARSENAL wamepeleka arsenal wenyewe, sisi je?
Ok nasikia tarehe 30 may kitawaka hapa Dar kuanzia posta mashabiki wote wa arsenal, ni full shangwe, bonge la parade Sina hakika kama KOMBE litakuwepo mana London uingereza nao ratiba Yao ni juma tatu hii ijayo. Anyway ndo maisha, kupanga ni kuchagua
Jamaa yangu Mmoja kanijuza wakenya wana connection kubwa hapa duniani na ndo mana hawakuhitaji kumshawishi I showspeed kwenda aloenda mwenyewe.
KOMBE LA ARSENAL wamepeleka arsenal wenyewe, sisi je?
Ok nasikia tarehe 30 may kitawaka hapa Dar kuanzia posta mashabiki wote wa arsenal, ni full shangwe, bonge la parade Sina hakika kama KOMBE litakuwepo mana London uingereza nao ratiba Yao ni juma tatu hii ijayo. Anyway ndo maisha, kupanga ni kuchagua