kazini

  1. The Burning Spear

    Kazini kwa mwandambo kuna kazi ah ahaha aitwa inbox na binti

    Kizazi cha 2000 siyo weka mbali
  2. M

    DOKEZO Askari huyu aliyeomba rushwa waziwazi bado yupo kazini?

    Wakuu, Katika nchi ambayo ina uwajibikaji na Polisi inafanya kazi kweli sio kuweka “Patrol za Mtandaoni” kusaka wanaoikosoa Serikali na kuhamasisha uwajibikaji, askari huyu alitakiwa kuwa ameshachukuliwa hatua na hata umma kufahamishwa hatua zilizochukuliwa. Tunao TAKUKURU, wanatumika kama...
  3. Mshana Jr

    Road masters! Wanaume kazini

    Mtiririko wa videos za njia ngumu na shuruba wanazokutana nazo madereva Wewe kama unajifanya ni dereva mahiri hawa sijui watasemaje https://www.facebook.com/share/r/1AtAULYApA/
  4. Hance Mtanashati

    PostGE2025 Kinachovunja watu moyo wa kuandamana ni ile shuruti ya kuandamana, wengine wanaingiza pesa ndefu wakiingia kazini

    Rais Samia hapendwi na mamia ya watanzania, ila sasa kinachofanya watu wasitamani maandamano yawepo wakifikiria suala la maslahi. Wengine wakienda kazini wana uhakika wa kukunja laki 5 na kuendelea kwa masaa machache tu . Sasa suala la kukaa ndani au kuandamana linasababisha mtu kukosa hela ya...
  5. Bawabu wa pili

    Bila kutaja kazi yako, weka maneno unayoyaongea kila wakati ukiwa kazini kwako

    Wakuu naomba tutambuane kwa code maalumu leo! Achana na majina yako na vyeo vyako, em comment maneno unayoongea kila wakati ukiwa kazini kwako ili tukutambue unafanya kazi gani. Nasoma comment chini.
  6. tonicimmobility

    TAMISEMI yawataka watumishi kuripoti kazini saa 1:30 asubuhi

    Watumishi wa TAMISEMI mmefikiwa huku Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Reuben Kwagilwa amewataka watumishi wote waliopo chini ya Tamisemi nchi nzima kuzingatia muda wa kuripoti na kudumu kazini kulingana na kanuni za kudumu za utumishi wa umma. Amesema watumishi wanapaswa kufika...
  7. M

    Kazini kuna kazi, Hili ndondo linafyekwa kwa umoja

    Wamefanya kosa moja tu la kiufundi, shoo kama hizi hazihitaji VIJIKO,
  8. Beberu Mwitu

    Naweza kusoma nikiwa kazini Diploma za Sayansi kwa ufaulu huu kidato cha sita wa mwaka 2014?

    Habari za muda huu ndugu wana jukwaa. Niende moja kwa moja kwenye mada; nilihitimu kidato cha sita mwaka 2014 mchepuo wa PCM na kupata alama zifuatazo; Physics- D Chemistry- E Advanced Mathematics-E General Studies- D ( japo haina maana). Baada ya matokeo hayo yasiyoridhisha nikajikatia tamaa...
  9. PendoLyimo

    Samia na mapokezi kazini

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokelewa na Watumishi wa Ofisi ya Rais, Ikulu alipowasili Ikulu ya Chamwino, Dodoma mara baada ya kuapishwa.
  10. M

    THRDC Walaani mwandishi wa Watetezi TV kukamatwa na kupigwa akiwa kazini

    Mwandishi wa Habari wa Kituo Cha Watetezi TV, kinachorusha matukio ya ukiukwaji wa Haki za Binadamu na kinachomilikiwa na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) Ndugu JAHA Harith, Aliyechukuliwa tarehe 31/10/2025 na askari waliovalia kijeshi wakatiwa maandamano amepatikana ametupwa...
  11. K

    Kwa Nini Tume ya Uchafuzi Bado Ipo Kazini?

    Hili ndilo swali la DHARURA linalotakiwa kupata jibu haraka wakati huu kabla ya masaa 72 hayajatimia kama walivyo ahidi kabla ya zoezi la uchafuzi kuanza hapo Oktoba 29. Hawa wanafanya kazi gani wakati uchafuzi ulizuiliwa na wananchi? Kwa nini waruhusiwe kuendelea kutoa matokeo ya zoezi ambalo...
  12. 4

    Haijalishi wewe ni nani kumbuka Mungu yupo kazini kwa kasi ya juu sana juu ya Tanzania

    Mungu mwema wakuu, kila mmoja kwa imani yake . Mada yajieleza Wana wa Mungu popote mlipo msijisaulishe ,Mungu yupo kazini kuliko wakati mwingine wowote juu ya Taifa lake . Tafadhali sana lingana na nafasi yako ulionayo usivuke mstari mwekundu , maana wenda kesho kutwa malipo kwako yakawa...
  13. Carlos The Jackal

    Je, ajira mpya zaidi ya elfu 17 zilizotangazwa na Serikali ni kupunguza vuguvugu la vijana kuelekea uchaguzi mkuu?

    Ni nani Miongoni mwenu angeweza amini Hawa Vijana wa TikTok , wenye Miaka 18,19,20,21 ni Tishio Kwa Samia?. Sasa tazameni Kutoka Kwa LISSU Hadi PADRE KITIMA Hadi POLEPOLE Hadi MDUDE hadi Vijana wa miaka 18, 19, 20, 21. Kwa Mama mwenye Akili, Hawa bado ni watoto Kwa namna yoyote wanayobehave ...
  14. ERTUGRUL BEY

    Wanawake Mnaweza Kuwa Na Ego Kwenye Biashara na Kazini Lakini Sio Kwenye Ndoa

    Sifa ya Ego ni ya mwanaume na si ya mwanamke, mwanaume ndio mwenye ego ya mamlaka na uongozi kwenye ndoa Hivyo basi mwanamke anapotaka kuchukua nafasi ya mwanaume na kuleta zile habar za 50/50 hapo anakuwa amevuka mstari mwekundu na kutikisa himaya ya mwanaume Ndio maana ndoa yoyote ambayo...
  15. Nusratt

    Wanaume, Msijimalize kwa Madada Poa walioko Dodoma, wengi wako 'Kazini'.

    Msiseme Sijawaambia! Fanya ulichokifuata kwake. Ukimaliza mlipe ujira wake mliokubaliana. Kama ahitaji ujira, basi mpe asante kisha rudi nyumbani kwako. Kama wewe ni 'msafi' basi waweza anzisha utaratibu wa kuwa nae karibu zaidi kwa ajili ya huduma zake. Ila kama wewe unajijua ni 'mchafu'...
  16. baz kaiza

    Police nyie ni jamaa zetu na ndugu zetu pia. Punguzeni kutumia nguvu kubwa tunajua mpo kazini

    Ndiyo police nyie ni ndugu zetu na wengine ni marafiki zetu na jamaa zetu pia. Tunajua nyie mko kazani lakini punguzeni kutumia nguvu kubwa pasipo na ulazima. Tukio la leo mahakamani sio tukio la kiungwana watanzania bado ni watu ambao wanaelekezeka bila hata kutumia nguvu kubwa. Tutawatia...
  17. Jamii Opportunities

    Call For Work (Placements) Kuitwa Kazini UTUMISHI September, 2025

    Check Names Called for Placements at UTUMISHI (Kuitwa Kazini UTUMISHI September, 2025) – Public Service Recruitment Secretariat (PSRS). Call For Work (Placements) UTUMISHI – Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) 2025. UTUMISHI is a government organization responsible for recruiting and...
  18. DuaZaMama

    Kitenge ana miaka 27 kazini lakini yupo darasani kutafuta ithibati

    Mzee wa Minyama Maulid Kitenge amevunja ukimya na maswali mengi kwa kusema amerudi darasani huku akiwaambia Mashabiki wake wasiwe na wasi wasi siku sio nyingi watamsikia Redio akiipakua Minyama.
  19. A

    DOKEZO Jeshi la Polisi Arusha limchukulie hatua Askari huyu aliyempora Mwandishi kamera akiwa kazini

    Usiku wa kuamkia leo Septemba 9, 2025 katika maeneo ya Washington karibu na Stand Ndogo Jijini Arusha, kulitokea tukio la kusikitisha ambapo Mwandishi aliyekuwa akitekeleza majukumu yake alivamiwa na askari anayefahamika kwa jina la Inspekta.... (jina linahifadhiwa kwa sasa) kutoka Kitengo cha...
Back
Top Bottom