Askari wa motoni
Member
- Aug 15, 2018
- 49
- 28
Wasalaam ndugu.
Natafuta kazi..
Nina elimu ya form 4 niliyoipata Azania secondary school.
Elimu ya kidato cha sita nimeipata Kibasila High school.
Ninauwezo wa kutumia computer kwa ufasaha na kuchapa kazi kwa kutumia Ms word na Ms Excell.
Nina uwezo wa kuandika muswada wa filamu(script writing) na kuchukua video(cinematography). Elimu hii niliipata University of Dar es salaam ingawa sikuweza kumalizia shahada yangu kwa sababu mbalimbali.
Nipo tayari na nina uwezo wa kufanya kazi yoyote ile hata ya kiwandani.
Napatikana Dar es salaam
0717082743.
Natafuta kazi..
Nina elimu ya form 4 niliyoipata Azania secondary school.
Elimu ya kidato cha sita nimeipata Kibasila High school.
Ninauwezo wa kutumia computer kwa ufasaha na kuchapa kazi kwa kutumia Ms word na Ms Excell.
Nina uwezo wa kuandika muswada wa filamu(script writing) na kuchukua video(cinematography). Elimu hii niliipata University of Dar es salaam ingawa sikuweza kumalizia shahada yangu kwa sababu mbalimbali.
Nipo tayari na nina uwezo wa kufanya kazi yoyote ile hata ya kiwandani.
Napatikana Dar es salaam
0717082743.