kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. Nafasi za Kazi kutoka Kituo cha Ufundishaji Data cha Afrika Mashariki, Chuo Kikuu Huria cha Tanzania na Ofisi ya Mwanasheria ya Serikali

    UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT Ref.No.EA.7/96/01/K/154 11th February 2020 VACANCIES ANNOUNCEMENT On behalf of The Open University of Tanzania (OUT), The Eastern Africa Statistical Training Centre (EASTC) and The Office of the Solicitor...
  2. J

    Natafuta msichana wa kazi za ndani

    Natafuta msichana wa kazi za ndani wa kukaa na mama yangu. Awe mtu mzima mwenye uwezo mzuri wa kazi. Awe tayari kulala nyumbani ninapoishi na siyo wa kwenda na kurudi. Awe na stamina ya kudumu kwenye kazi na siyo mbabaishaji. Mshahara Tshs 80,000 /- akifanya vizuri naweza kumwongeza baada ya...
  3. R

    Rais Magufuli jitahidi uache uvunjaji wa sheria! Let justice take its natural course!

    Inawezekana kweli ametenda kosa kuchana Qurani, amewaudhi wengine, Lakini 1. Kuna taratibu tumejiwekea za kushughulka na watu kama hao wanaoamsha hasira za wengine! Uliapa kulinda katiba na sheria zitokanazo na katiba hiyo. Kunatartibu! Wewe huna mamlaka ya kisheria kumwajibisha. Mihemko ya...
  4. Je, unafahamu katika nchi zinazoendelea kila sekunde 15 mfanyakazi mmoja hupoteza maisha kutokana na ajali au magonjwa yatokanayo na kazi?

    Suala la Usalama na Afya mahali pa kazi ni muhimu kuangaliwa kwa makini tunakoelekea kwenye uchumi wa kati unaoongozwa na viwanda ili kuokoa maisha ya wengi. Shirika la kazi Duniani (ILO) limeonesha kuwa kila sekunde 15 mfanyakazi mmoja hupoteza maisha na ndani ya saa 24 wafanyakazi 5760...
  5. Uzinduzi Wilaya ya Kigamboni: Rais Magufuli anazindua Jengo la Manispaa na Jengo la Mkuu wa Wilaya

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 11, Febuari, 2020 anazindua Jengo la Manispaa ya Kigamboni na Jengo la Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni katika Eneo la Gezaulole Kigamboni Jijini Dar es Salaam Rais Magufuli akikata utepe wa uzinduzi wa Jengo hilo...
  6. Rais Magufuli amfukuza kazi Mtumishi wa Serikali aliyechana Juzuu Amma huko Kilosa

    Rais Magufuli akiwa leo anazindua Jengo la Manispaa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Kigamboni amemsifu Waziri Jafo kwa kumsimamisha kazi lakini amesema yeye amemfukuza kabisa. Amesema "Juzi nilimsikia Waziri Jafo, Mtu mmoja kule Kilosa nafikiri alichana Kitabu Kitabu Kitakatifu. Nashukuru ulichukua...
  7. J

    Waziri Jafo: Kuna watu wanadhani watakaoingia mbinguni ni wale wanaosali sana kumbe watenda kazi kama Rais Magufuli wataenda peponi!

    Nakubaliana kabisa na kauli hii ya mh Jaffo kwamba Rais Magufuli atakwenda peponi kutokana na kujitoa kwake kwa hali na mali katika kuwatumikia wananchi wanyonge. Hata Yesu alisema si kila amuitaye Bwana....Bwana ataingia katika ufalme wa mbinguni bali wale wayatimizayo mapenzi ya Mungu. Mh...
  8. Nafasi ya Kazi kutoka Tanzania Postal Bank | Deadline 23rd February, 2020

    TPB Bank PLC is a Bank that provides competitive financial services to our customers and creates value for our stakeholders through innovative products. TPB Bank PLC is a Bank, whose vision is “to be the leading bank in Tanzania in the provision of affordable, accessible and convenient...
  9. Nafasi 20 za Kazi kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mkoani Arusha (AUWSA)

    The Arusha Urban Water Supply and Sanitation Authority (AUWSA) is a legally established entity responsible for the overall operations and management of water supply and sanitation services in Arusha City. It is among of the best Authorities in Tanzania. The core function of the Authority is to...
  10. Tofauti ya matangazo ya kazi humu awamu hii na ile iliyopita

    Awamu iliyopita Mainjinia 30 wanahitajika Tanesco. Majina ya waalimu yanatoka lini? Wanaotaka tubadilishane mikoa tukutane hapa (baada ya kupangiwa ajira). Jamani nimechoka na hii kazi natamani nibadili licha ya mshahara mnono kwa sababu ya majungu. Umebadilisha kazi mara ngapi hadi sasa? Ni...
  11. Zitto Kabwe ahofia kukamatwa, kufunguliwa mashtaka na kufungwa pindi atakaporejea nchini

    Hofu hiyo inatokana na kile alichokiita mfululizo wa vitisho vilivyotolewa na viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Hofu hiyo ya Zitto imeibuka baada ya Kiongozi Mkuu huyo ACT Wazalendo kuandika barua kwa Benki ya Dunia (WB) kuitaka kusitisha mkopo wa Dola za Marekani milioni 500...
  12. I

    Nafasi mpya moja ya kazi Precision Air, Deadline: Application isizidi 14th February 2020

    Kwa wale wanaopenda kufanya kazi kwenye mashirika ya ndege, hapa kuna nafasi mpya moja ya kazi Precision Air. Maelezo yote soma kwenye PRECISION AIR VACANCIES
  13. I

    Fahamu Aina ya nafasi za kazi na ajira zinazopatikana Airport Tanzania

    CLOSED
  14. Rais Trump awafukuza kazi maofisa waliotoa ushahidi ili aondolewe madarakani

    Dar es Salaam. Siku mbili baada ya Bunge la Seneti kumuondolea mashtaka yaliyokuwa yakimkabili Rais wa Marekani, Donald Trump amewafukuza kazi maofisa wake waandamizi wawili waliotoa ushahidi kwenye mchakato wa kumuondoa madarakani. Trump ambaye alikuwa anakabiliwa na mashtaka ya matumizi...
  15. Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

    Mtumishi wa Serikali aliyechana Quraan Tukufu asimamishwa kazi, Taarifa hiyo imetolewa leo na Waziri wa TAMISEMI Mhe. Suleiman Jaffo. RPC Morogoro Wilbroad Mutafungwa amethibitisha kukamatwa kwa kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Daniel Maleki, kwa kosa la kuchana na kuchoma moto kitabu cha...
  16. Nafasi za kazi Tancoal Energy

    “Tancoal is a limited liability company incorporated and operating in Tanzania. Tancoal is largely a Coal mining and trading company with its mine situated at Ngaka, Mbalawala Area, Mbinga District, Ruvuma Region. ’Tancoal welcomes candidates to join the company to fill the below mentioned post...
  17. Nafasi ya Kazi Human Resources for Health Lead, ICAP

    Job no: 492662 Work type: Regular Full-Time Location: Tanzania - Dar es Salam Categories: Technical/Clinical/Quality Improvement/Training ICAP at Columbia University, a global health leader situated within the Columbia University Mailman School of Public Health in New York City, seeks highly...
  18. Nafasi ya kazi, seed system specialist, IITA

    The International Institute of Tropical Agriculture (IITA) on behalf of the International Rice Research Institute CIRRI) invites applications for the position of Seed Systems Specialist Background: IRRI develops and promotes new rice technologies such as high yielding varieties, climate and...
  19. Nafasi ya kazi ya muhasibu Tanzania Tree Growers Associations Union

    Job Description Tanzania Tree Growers Associations Union (TTGAU) is a member based organization established in 2017 with headquarters in Njombe. TTGAU aims at promoting the interests of tree growers who are organized in tree growers associations (TGAs); build and strengthen networking amongst...
  20. Nafasi za kazi Qatar Airways

    Position: QR22737 - Airport Services Duty Officer Organisation:Qatar Airways Job Function:Ground Services Division:Kilimanjaro - JRO Employment Type:Full Time - Permanent City: Africa | Tanzania | Kilimanjaro Last date of application:27-Feb-2020 Qatar Airways Welcome to a world where ambitions...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…