matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,530
- 15,155
Awamu iliyopita
- Mainjinia 30 wanahitajika Tanesco.
- Majina ya waalimu yanatoka lini?
- Wanaotaka tubadilishane mikoa tukutane hapa (baada ya kupangiwa ajira).
- Jamani nimechoka na hii kazi natamani nibadili licha ya mshahara mnono kwa sababu ya majungu.
- Umebadilisha kazi mara ngapi hadi sasa?
- Ni mradi gani unafanya wakati uko kwenye ajira?
- Unatafuta fundi baiskeli?
- wadada wa saluni wa kulipwa kwa kutwa wanahitajika.
- Natafuta kazi ya kufanya usafi stationary
- Jamani mimi ni mwalimu natafuta kazi ya ulinzi popote nchini, mijini au vijijini.
- Sioni faida ya kwenda shule. Je, naweza kuanza biashara ya mtaji wa 10000?
- Tangazo la kazi za taaluma zenye kulipa, interview unakutana hadi na mwalimu wako wa chuo na wa sekondari.