Habari za muda huu wana jamvi,
Nimekuja mbele yenu kuomba nafasi ya kazi au fursa kwa majina naitwa Aderick Deogratias. Nina umri wa miaka 23, naishi mkoa wa Dar es Salaam, Mbagala nina elimu ya kidato cha sita nimesoma masomo ya uchumi.
Nina uzoefu katika kazi zifuatazo, Supervisor, Sales &...