Habari wa jf wenzangu,
Kwa mujibu wa hotuba ya mheshimiwa rais ya tarehe 6April2021. Nmesikia mama amezungumza mengi lakini muelekeo wake najaribu kuuhusianisha na kaulimbiu ya mzee wa dakika 90,bwana Membe,
Je,kwa mujibu wa hotuba ile ni kweli inawezekana BCM nae akawa mshauri maana...