Katiba inasemaje? tubadili katiba kwanzaNi kweli, na wakurugenzi pia wapewe mikataba, na wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya.
Soma katiba juu ya nafasi za Mawaziri mkuuFafanua katiba inasemaje?
Hata saa hii bado anataka kuwa raisi ndio anaendesha nchi hivi kwa matakwa yakeHuyu alitaka kuwa Rais kumbe hajui hata katiba inasemaje?
Unakichwa kigumu kujua mtu kaanisha niniMwaka mzima unasubiri kutumbua mtu ambaye umeona mapema anaharibu....hainahaja kumfunga rais. Tumbuzi ziendane na kasi ya maendeleo
Ajamaanisha avumiliwe mtu.Napinga hoja ya propesa wa Buguruni.
Anaujua mwaka ulivyo mrefu kumvumilia mtu
Yaani siku 366