johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Waziri mkuu mh Majaliwa ametangaza hitimisho la maombolezo ya msiba wa hayati Magufuli na kwamba kuanzia kesho wananchi warejee katika shughuli za kawaida na kuchapa kazi.
Chanzo: ITV habari
Ukinizingua Nakuzingua!
Chanzo: ITV habari
Ukinizingua Nakuzingua!