katiba mpya

  1. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Serikali ya CCM hawawezi kutupa Katiba Mpya nzuri

    Nasema hivi kupitia sababu zifuatazo Katiba hii ya mwaka 1977 ilitengenezwa na mwalimu julius Nyerere, ila cha ajabu miaka ya mbeleni kwa nyakati tofauti Nyerere amekuwa akionyesha mapungufu ya hii katiba ila hakujaribu kuibadilisha sanasana aliiendelea kuifanyia amendment mpaka anafariki...
  2. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania JWTZ, kwa huu Ufisadi unaoendelea nchini, tukubaliane tu muongoze kipindi cha mpito kulipatia Taifa Katiba Mpya

    Kampuni yenye mahusiano na mtoto wa Rais Abdul inapewa tenda za kuchimba Maliasili za Taifa kwenye moja ya mkoa masikini zaidi Tanzania. Kampuni hii inachimba madini ya Makaa ya Mawe kwa kiwango cha kutisha na kuyasafirisha nje ya nchi. Kampuni nyingine ya swahiba wa Rais Rostam Aziz inapewa...
  3. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Mchakato wa katiba mpya ya warioba ilikuwa ni wake up call ila kama wananchi tuli-ignore tukahisi hautuhusu

    Kuanzia mwaka 2010 vuguvugu la katiba mpya liliongezeka maradufu kabla sijaendelea ngoja niongelee jambo flani Mungu kama kuna Jambo baya linakuja mbeleni kuna namna utapewa taarifa ufanye jambo mara nyingi inakuwa anaondoa amani hasa pale unapofikiria jambo flani ukignore madhara utakuja...
  4. Kitimoto

    JamiiForums Tanzania Maneno ya Baba wa Taifa Kuhusu Katiba na ya Rais wa Sasa Kuhusu Katiba Mpya

    Maneno ya Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere enzi za uai wake kuhusu Katiba: Manemo ya Rais wa sasa wa awamu ya 6, Mhe. Samia Suluhu Hassan
  5. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Biteko: Samia ni msikivu, atawapa Katiba mpya

    "Mgombea wetu umetufundisha mengi na umethibitisha kwamba utu kwako ni kipaumbele na pia kazi ndiyo msingi wa maendeleo kwamba hata kama tutakaa kama Taifa tukazungumza mambo mengi tutakavyo kama hatufanyi kazi maendeleo ni ndoto na maendeleo yoyote hayawezi kutokea kama hakuna utu...
  6. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia asisitiza katiba mpya itakamilika awamu ya sita

    Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesisitiza kuwa mchakato wakupata Katiba mpya utakaika katika kipindi cha awamu ya sita. Soma pia: Samia: Tutaendeleza mchakato wa Katiba Mpya kama ilivyo katika ilani yetu ya CCM “Pamoja...
  7. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Tutaendeleza mchakato wa Katiba Mpya kama ilivyo katika ilani yetu ya CCM

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameeleza kwamba katika kutambua umuhimu wa mshikamano kwa Watanzania wote, endapo atapewa ridhaa ya kuongoza tena, atahakikisha Serikali yake inaendeleza mchakato wa kupata Katiba mpya...
  8. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Olengurumwa: Katiba mpya inakwamishwa na CCM mtandao wanaonufaika na mfumo

    Wakuu Je, Olengurumwa aliyasema maneno haya au amemezeshwa? kwamba Katiba mpya inakwamishea na CCM mtandao wanaonufaika na mfumo.
  9. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Hawawezi kuleta Katiba Mpya, Kwa sababu haiwapi Usalama wa familia na Ufisadi wao ,Genge hili la Wahuni linaondoshwa Kwa Nguvu ya Umma tu!

    Mateso ambayo Hawa wahuni wametupatia Kwa miaka hii Minne, hamna wa kuyafuta, hamna Cha maridhiano Wala blaa blaa za aina hiyo !!. Hawa wahuni wanajua kabisa kua Wakiachia Nchi hii Tutawafunga, Tutawanyonga ,Titawafilisi wao wenyewe kama wapo hai, au familia zao na watoto wao na Mali zao ...
  10. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya itaiondoa CCM madarakani kwa sababu zifuatazo. Hata mstaafu Kikwete aliona ndio maana akaitia kapuni

    Chaguzi za rais ,wabunge na madiwani zitakuwa huru. Sababu tume ya uchaguzi itakuwa huru.Wizi wa kura utadhibitiwa. Mahakama zitakuwa huru, sababu majaji watakuwa wanaomba kazi hawatakuwa wateule wa rais. Kesi zinazohusu uchaguzi zitakuwa huru na upendeleo utakoma. Viongozi waliofanya...
  11. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania GE2025 No reform no election lazima ihusishe mabadiliko ya katiba ya sasa ya mwaka 1977 au kupitia katiba mpya

    Ni miaka mingi kumekuwa na kilio cha kufanyiwa mabadiliko ya tume ya uchaguzi ila mwaka jana baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa chadema kama chama cha upinzani chini ya mwenyekiti freeman mbowe kwa pamoja waliazimia kuwe na mabadiliko kwenye mfumo wa uchaguzi na wakaja na no reform no...
  12. Just Pray

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ulega: Ni Samia pekee anayeweza kuleta Katiba mpya

    Waziri wa Ujenzi na mgombea ubunge wa Jimbo la Mkuranga kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Ulega amesema kuwa Watanzania wanapaswa kumchagua Samia Suluhu Hassan kama kiongozi wao wa Taifa ili kufanikisha ndoto ya kupata Katiba mpya. Akizungumza leo Jumamosi Septemba 6, 2025...
  13. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Gombo: Nikiwa Rais namwachia huru Tundu Lissu,Atengeneze katiba mpya

    Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Mhe. Gombo Samandito Gombo, ameahidi kumuachia huru mwanasiasa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, endapo atashinda uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza leo Septemba 4, 2025 katika mkutano wa kampeni...
  14. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nchimbi: CCM Itahakikisha Katiba Mpya inapatikana

    Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema miongoni mwa ahadi za chama hicho kwa Watanzania endapo watapata ridhaa ya kuwatumikia, watakwenda kuuhusisha mchakato wa Katiba mpya. Mchakato huo ulikwama mwaka 2014 kwenye hatua ya kura ya maoni ya Katiba...
  15. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Nasikitika sana CHADEMA kushindwa kuruka mtego mdogo wa kesi ya mgawanyo wa mali za chama

    Mtu mmoja anatumika na watu wahuni kukwamisha mambo ya chama, CHADEMA inaingia kwenye mtego kirahisi. CHADEMA ilipaswa kukubali siku ya kwanza kabisa mali kugawana sawa kwa amri ya mahakama. Zoezi lingeisha ndani ya wiki moja. Mali zenyewe ni magari na majengo machache yasiyohamishika. Hata...
  16. Mama Ametufikia

    JamiiForums Tanzania Kwa mambo ambayo nayajua huku jikoni, hata reform na katiba Mpya vipatikane bado nisingethubutu kupiga kura

    Huwa nikiwaangalia Watanzania unabaki kucheka , kwakuwa wanaamini Tanzania kuna wanasiasa wa kuwapambania dhidi ya umasikini wao jibu ni hapana. Vyama vyote vinafanya Kazi chini ya watu wale wale wa Ccm. Ndo maana mwaka 2015-2020 Magufuli alivyo noticed huo ujinga alipanic na akatamani...
  17. J

    JamiiForums Tanzania Kwa mwenendo huu!! Kweli tunahitaji bunge la wawakililishi na bunge la maseneta

    Wana bodi sasa ifike Mwisho!! Nchi inapaswa kubadilika katika mfumo wa bunge ili kuwe na watu mahiri na werevu na wenye elimu ya kung’amua mambo mazito ya kuendesha Nchi. Sikatai Wananchi kumchagua mgombea kama Baba level, Msukuma na wengine kama akina Tabasamu na Shigongo kuwa wawakilishi...
  18. chiembe

    JamiiForums Tanzania Wakati JPM akipondaponda demokrasia, hii ndiyo shughuli aliyokuwa akifanya Polepole, aliisahau katiba mpya, atakumbukwa kwa kusifia "vieitee"

    Alikuwa Katibu Mwenezi wa CCM aliyetumia muda mwingi kufanya mambo yasiyoeleweka. Alikuwa anakata mauno mbele ya watu, badala ya kuongelea wakulima, wafugaji au katiba mpya.
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea Urais wa NCCR-Mageuzi, Haji Ambar Khamis aahidi Katiba mpya ndani ya siku 100

    Mgombea Urais wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama NCCR- Mageuzi, Haji Ambar Khamis akiwa ameambatana na Mgombea mwenza, Everylin Munisi, amechukua fomu ya Urais katika Tume Huru ya Uchaguzi Jijini Dodoma leo August 15, 2025 huku akiahidi kuwa endapo Watanzania watamchagua kuwa Rais atahakikisha...
  20. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania GE2025 Meza zinageuka sana: Kipindi cha Magufuli Mtandao walitamani ziwepo Reform za Katiba, sasa Mtandao wameshika hatamu Sukuma Gang wanahubiri Reforms!

    Mwaka 2016 hadi 2020 wakati wana Mtandao wanashughulikiwa vilivyo na Sukuma Gang walianza kuona umuhimu wa kuwa na Mchakato wa Katiba Mpya ili kuwabana Viongozi wasitumie madaraka yao vibaya. Kipindi kicho Sukuma Gang walikuwa na msemo eti Katiba haileti ugali mezani. Sasaivi Sukuma gang...
Back
Top Bottom