katiba mpya

  1. L

    JamiiForums Tanzania Katiba Mpya Siyo Kipaombele Cha Mamilioni ya Watanzania ndio Maana Ajenda Hiyo Haiungwi Mkono wala Kuzungumzwa Mitaani

    Ndugu zangu Watanzania, Unaweza kuniita majina yote mabaya ,unaweza nitukana kwa matusi yoyote yale utakayo,unaweza niita lichawa au likupe ,unaweza nitemea hata mate,unaweza kunichukia kuliko hata shetani . Lakini pamoja na hayo yoote napenda kuwaambieni ukweli mchungu kabisa ambao pengine...
  2. Nehemia Kilave

    JamiiForums Tanzania Kama uchaguzi Oktoba 2025 ukipelekwa 2027 , kipi bora Reforms za uchaguzi au Rais Mama Samia atupe katiba Mpya ?

    Kwa Maslahi Mapana ya Taifa kwa sasa hakuna haja ya ku tick 2025 .kiuzalendo zaidi tunahitaji mabadiliko makubwa sana katika mfumo wa uchaguzi na katiba kwa ujumla. Binafsi naamini kama Mama akikubali kwamba kwa sasa tunahitaji mabadiliko kwanini katika hii miaka miwili tukatafuta katiba Mpya...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Katiba Mpya impe Nguvu Rais, aendelee Mpaka aseme "BASI" mwenyewe

    Ndugu zangu Watanzania, Watanzania tunapaswa Kubadilisha katiba ili Rais Samia apate nafasi ya kuendelea kuongoza Taifa letu hata baada ya kumaliza Muda wake 2030. Hii ni muhimu ili kulipa Taifa nafasi na fursa ya kutumia Maono yake makubwa katika kulipeleka Taifa mbele zaidi pamoja na...
  4. chiembe

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Reforms: Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2025-2030 imeahidi kuleta katiba mpya. Mnaotaka mabadiliko fursa hiyo. Pigieni kura CCM ifikapo Oktoba 2025

    Hivi mnadhani CCM hawataki mabadiliko? Aaahhh wapi! Waliotengeneza ilani ya CCM waliona mbali, wameenda mbali si tu kurekebisha sheria za uchaguzi, CCM imeahidi kutupilia mbali katiba ya sasa na watakuja na katiba mpya! Acha kuhangaika na ka sheria kamoja ka uchaguzi, CCM wanatupa injini yote...
  5. Upekuzi101

    JamiiForums Tanzania No reform no election imeshika kasi kituo kinachofuata ni madai ya katiba mpya

    Waswahili husema sikio la kufa huwa halisikii dawa, na wakasema pia Kenge hadi damu zitoke masikioni na puani ndo asikie kipigo. Ni wazi kabisa viongozi wa CCM wamechanganyikiwa na bado hawaamini kuwa wananchi ndo wameshaliamsha hivo. Hapa tulipofika ni lazima mabadiliko katika tume ya uchaguzi...
  6. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania CCM Haina mpango wa KATIBA MPYA hili liko wazi, Kuichomekea Katiba Mpya kwenye Ilani ni Uhuni tu

    Sasa Kwa CCM na Serikali yake zote zilizopita ni nani anaweza kusimama bila kuguswa na Sheria ??. Ufisadi, Wizi, maumivu yaloletwa na CCM Kwa Wananchi miaka yote hiii, wanajua kabisa siku wakitoka Kwa Dola ,watawajibishwa !!. Hivi Mafwele atakua wapi kuacha CHADEMA ICHUKUE Nchi?. Akina...
  7. McLaren

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mkurugenzi wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) Onesmo Ole Ngurumwa: Ilani ya CCM imejibu mchakato w Katiba Mpya

    Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) Onesmo Ole Ngurumwa amesema wao kama asasi za kiraia kila uchaguzi wamekuwa wakiandaa ajenda za wananchi kupitia ilani ya asasi za kiraia na kukabidhi kwa vyama vya siasa kabla hawajaandaa ilani zao. Ngurumwa amesema kuwa Ilani ya...
  8. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Hii kusema Chama kitaanza kutekeleza Mchakato Wa Katiba Mpya wakiingia Madarakani 2025-2030 ni uongo, kila muhula wanakuja na Uongo huu.. shituka wewe

    Swala la katiba Mpya lilianza kupigiwa kelele na kupamba moto toka enzi za Kikwete akaingia magufuli naye akasema yupo kwenye mchakato wa kukamilisha, Mzee Magufuli alahudumu miaka yake 5 akaaga Dunia, jambo hilo halikukamilika, badae akaingia Samia kwa Tiketi ya Magufuli akapalilia pale pale...
  9. McLaren

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM yazindua rasmi Ilani yake ya 2025. Yaweka Katiba Mpya kama mojawapo ya agenda watakazozitekeleza!

    Wakuu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu akishiriki Mkutano Mkuu Chama cha Mapinduzi CCM siku ya pili Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Dodoma, leo tarehe 30 Mei, 2025. Soma hapa Ilani > Ilani ya CCM 2025-2030 https://www.youtube.com/watch?v=yXnzuEg-DLk...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Bila fedha , No reform, no katiba mpya , No kikomo ufisadi, Bora CHADEMA watoe ahadi ya kukabidhi Madini yote kwa marekani , Ili msaada upatikane.

    Kwasababu sasa nchi ishakuwa na inequality, watu wachache wanakandamiza wengi, katiba mbovu, ufisadi wa kuwanufaisha watu wachache wa CCM, Kutumia dola kuumiza raia, utawala wa kiimla, kujiweka madarakani, hii Tanzania sasa imekuwa ni nchi ya kikundi cha watu wachache. Na kwasababu wameshikilia...
  11. haszu

    JamiiForums Tanzania Kulikua na haja gani ya kutumia hela kwenye rasimu ya katiba mpya kama viongozi hawakua tayari kupokea maoni na matakwa ya wananchi?

    Tume imezunguuka nchi nzima, bunge likaundwa, watu wakala posho, wengine wakasumbua kichwa kuandika na kutoa maoni, amd them ni kama vile mchakato ushatupwa, WHYYYYY? Pesa za umma Hajaliwi aliechuma Wanaokula wana njama Kama huamini, uliza father Kitima. Ama Tundu Lissu, gerezani alikokwama...
  12. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Ninaishauri mamlaka kuwa baada ya uchaguzi mkuu katiba mpya iandikwe upya na tume huru ya uchaguzi iundwe upya

    Kwa sasa Uchaguzi Mkuu umekaribia na bado miezi kama sita tu ambapo hakuna namna yeyote mabadiliko yanaweza kufanyika. Hivyo naomba Mamlaka kufanya yafuatayo mara tu baada ya Uchaguzi mkuu Oktoba, 2025. (1) Mamlaka ichukue jukumu la haraka kuandika Katiba Mpya ambayo imepigiwa kelele sana na...
  13. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Kinachotakiwa Tanzania sio tu katiba mpya bali ni jeshi jipya la polisi

    Kinachotakiwa sasa kuwekewa mkazo sio tu katiba mpya ni mifumo ya kiuchaguzi bali na jeshi jipya, haiwezekani leo hii jeshi linauwa raia wasio na hatia bila huruma alafu alichukuliwi hatua zozote za kisheria lazima kuwe na mabadiliko kwenye jeshi la polisi
  14. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya, Tume Huru ya Uchaguzi, No Reform no Election, Hizi ndio sera za CHADEMA wanazozihubiri kwa zaidi ya miaka 10

    Hizi ndio sera za CHADEMA wanazo zihubiri katika majukwa Yao Kwa zaidi ya miaka kumi Sasa Katiba mpya CHADEMA wanaamini kwamba katiba mpya itakuja na uwepo wa serikali tatu hivyo katika hizo serikali 3 na wao wanaweza kupata japo Moja Tume huru ya uchaguzi CHADEMA wanahisi Huwa wanaibiwa...
  15. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu Watanzania vuguvugu la haki , Lisipoe, Tulitumiee kupata KATIBA MPYA

    Kama ni Sufuria ya Ugali imebandikwa, Maji Kwa Sasa yameanza Kuchemka . Ni sisi wa Kuamua, Je tukoroge Uji kwanza ndio tusonge Ugali au Tuweke Unga tuendelee kusonga. Kwangu Mimi nashauri Tuweke Unga tuendelee Kusonga Ugali . Tukiacha VUGUVUGU hili likapoa, Basi haitotokea Tena muda ambao...
  16. U

    JamiiForums Tanzania Nia ya Reforms na Katiba Mpya kwa Ujumla

    Naomba niwaulize wale ambao wanasema muda hautoshi wa kufanya reforms, je, wapo tayari kwa reforms na katiba mpya kwa ujumla hata kwa baadae baada ya uchaguzi wa mwaka huu? Hii ni kwa sababu CCM wanasema kwa sasa muda uliobaki hautoshi na hawataki kuongezewa muda wa kukaa madarakani ili wafanye...
  17. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya pekee haitoweza kuleta mabidiliko yanayohitajika kwenye taifa kama mamlaka hazitoacha pia na uchawa

    ili nchi iweze kupata mabadiliko makubwa yanoyohitajika, kupata katiba mpya pekee kama suluhisho la mambo yote kwenye nchi haitoshi kama kitu cha kuleta usawa, haki na uwajibikaji bali lazima pia na mamlaka ziache uchawa ili kuruhusu sheria iweze kufanya kazi ipasavyo. Uchawa kwenye mamlaka...
  18. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Ukiona namna Majaji wanavyomnyoosha Trump Marekani alafu ukiwaangalia Majaji wetu wanavyowalamba miguu CCM unasema tu tupate Katiba Mpya

    Katika sehemu za Watu Wanaojielewa Duniani Mhimili wa Mahakama ndo Kimbilio la Haki kwa Wananchi Wote Mhimili wa Mahakama ndo Chombo cha kuhakikisha Mamlaka ya Dola (Executive) na Bunge hayakinzani na Sheria pamoja na Haki. Mhimili wa Mahakama ndo chombo kinachopaswa kuhakikisha mamlaka ya...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Je, unaunga mkono hoja ya kuongezewa muda Rais aliyepo mamlakani Ili kusimamia Reforms kupata katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi baada ya 2025?

    Helow! Hoja ya kufanya reforms kwenye katiba iliyopo kupata Tume huru ya uchaguzi na katiba mpya kabla ya uchaguzi wowote imeeleweka. Na kwa kuwa mamlaka ya mwisho kikatiba yapo chini ya umma wa wananchi, nichukue fursa hii kuuliza watanzania wenzangu ikiwa wapo tayari kumuona Rais aliyepo...
  20. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Kifo cha Rais Habyarimana na madai ya katiba mpya

    Unapoitazama nchi ya Rwanda leo huwezi kuamini kwamba kuna wakati ilitawaliwa na Wahutu tangu ilipopata uhuru mwaka 1962. Nchi hiyo iliyokuwa koloni la Ubeligiji ilipata uhuru wake na kukabidhi kwenye utawala wa kiraia chini ya Rais Gregoire Kayibanda aliyekuwa mwanamapinduzi kupitia vuguvugu...
Back
Top Bottom