Katoro Geita imeitika Wimbo wa Katiba mpya

Katoro Geita imeitika Wimbo wa Katiba mpya

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
51,932
Reaction score
101,459
Hawajasombwa na wametangaziwa siku moja, wamefurika.

20260516_151130.jpg
 
Chadema asaiv wanafanyia mkutano kwenye masoko na gulio, wakipeleka mkutano uwanjani hakuna mtu anayetokea!!
 
Chadema asaiv wanafanyia mkutano kwenye masoko na gulio, wakipeleka mkutano uwanjani hakuna mtu anayetokea!!
Siyo kwenye masoko na gulio mpaka milimani lakini Samia jasho linamtoka mpaka kwenye makwapa ya siri!
Screenshot_20260514-221320~2.png
 
CHADEMA ipo mioyoni mwa watanzania, raia wameichoka CCM
Mambo ya msingi ni CDM kuwa na Uongozi imara, wanaharakati wenye uwezo wa kuchambua mambo na kushawishi jamii, kuwa na waratibu wazuri wa matukio na mipango ya chama
 
ccm wakiona hivi wanatamani CHADEMA ife hata kesho, jambo ambalo haliwezekani hata kidogo. CHADEMA hii ya Lissu na Heche inaaminika na kukubalika kuliko ilivyo kawaida.
 
Back
Top Bottom