karne

Karne parah (Hebrew: קַרְנֵי פָרָה‎, also spelled Qarnei Farah and other variant English spellings) is a cantillation mark found only once in the entire Torah (Book of Numbers Numbers] 35:5), and once in the Book of Esther, immediately following the identically unique Yerach ben yomo.
The symbol of the Karne para is that of the Telisha ketana and gedola together. The melody, likewise, is that of these two more common cantillation sounds put together.
The Hebrew words קַרְנֵי פָרָ֟ה translate into English as cow's horns.

View More On Wikipedia.org
  1. Mkongwe Mzoefu

    JamiiForums Tanzania CCM Mwanza na Mkakati wa Kumpa Makonda Uenyekiti (M) ni Aibu ya Karne

    Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Je, Ujasusi wa Nchi za Magharibi waweza kuwa moja ya ujasusi wakutisha zaidi ktk Karne ya sasa?

    Igweeee wana Jamii. Naipongeza sana Jamii forum kuwa sehem ya kila mtu wasilisha mawazo na fikra yake pasipo vunja sheria za nchi na kimataifa. Mimi leo nimependa kuchambuwa ujasusi wa Nchi za Magharibi ambao kwa sasa ndio Habari ya mjini. Uwenda unajuwa ama ujuwi ila Kuna jambo lakutisha sana...
  3. kwisha

    JamiiForums Tanzania Putin na Magufuli ndo viongozi bora wa karne yetu hii

    Sifa kubwa ya kiongozi ni kujiamini. Na hawa wa wili ni viongozi ambao mimi kwangu na amini ndo viongozi bora. JPM: Huyu ni alikuwa kiongozi sijui ni seme ni wa aina gani hasa Ila sifa kubwa yake ni kujiamini. JPM alikuwa anajiamini saana na wala hakuwa muoga kama viongozi wengine wa afrika...
  4. M

    JamiiForums Tanzania SoC02 Adui mpya kwa wanaume aliyeibuka karne hii ya 21

    Historia ya ulimwengu kuna nadharia za kiimani na za kisayansi ambazo zimetofautiana jinsi ya kuelezea kuumbwa kwa ulimwengu mzima na vilivyomo ndani ya ulimwengu huo. Kwa mujibu wa sayansi ulimwengu ulitokea baada ya migandamizo na milipuko ya gesi mbalimbali na kuunda ulimwengu ambao...
  5. emmarki

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa karne ya 21 tunaendelea kupoteza uanaume wetu (masculinity)

    Wanaume haswa vijana wa kiume tuwe na mjadala mkubwa ni wapi jamii inapokosea kuandaa mtoto wa kiume kuchukua ile nafasi yetu tuliyopewa na God ya "mwanaume utakuwa kichwa". Kuna mambo personal nimeyaona na yanendelea kufanyika na yamekuwa kama kawaida kwenye jamii ambayo yanampa uanume...
  6. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Unamiliki jembe la mkono Karne ya 21?

    Wakati wenzetu wanazungumzia mapinduzi ya viwanda awamu ya 5 (5IR Wala si 4IR) sisi tunaulizana umiliki wa jembe la mkono?
  7. D

    JamiiForums Tanzania Man Utd walifanya kosa la Karne la Kutompa timu Conte

    Yalikuwa ni maamuzi ya wazimu kabisa. Tazama ndani ya muda mfupi tu Spars ilivyobadilika, Naamini kabisa kwa Man Utd mwaka huu Conte angeli challenge Title na Man City.
  8. Yazidu Hamza Bitika

    JamiiForums Tanzania Anguko la Rais Samia Suluhu Hassan lipo mikononi mwetu, tusimuangushe, tupambane kwa pamoja kukuza uchumi wetu kwa kuchapa kazi

    Habari za wakati huu enyi walimwengu wa Karne ya mwisho wa dunia, mliopo katika ardhi yenye baraka ya Tanzania, na hata msiokuwa Tanzania. Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Awali ya yote nipende kukushukuru wewe unayesoma makala hii kwa kutenga muda wako ili uweze...
  9. Poker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa haina thamani katika Karne hii ya 21

    Sasaivi hakuna tena umuhimu wa ndoa kama hapo zamani kwasababu zifuatazo: 1. Sasa hivi wanawake wanataka haki sawa na wanaume yaani 50/50 2. Wanawake wengi wanaingia kwenye ndoa kusaka pesa za urithi au mirathi mume akifa. 3. Vipato vinazidiana sana 4. Watu wanaoa kwa show off tu 5. Mama...
  10. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kikombe au bilauri ya karne ya 17 iliyotengenezwa na Zumaridi (Emerald)mali ya Mfalme wa Mughal India

    Bilauri ya Mfalme Jehangir wa Mughal India. Inasadikika sumu ikiwekwa katika emerald ina react, hivyo Wafalme wa zamani walitumia vyombo vya emerald kama sehemu ya kujilinda. Vyombo hivyo vilitengenezwa Persia.
  11. E

    JamiiForums Tanzania Muunganiko wa Rais Samia na Hayati Magufuli ulikuwa wa karne

    Habari, Tanzania kwa Mara ya kwanza ilishuhudia kupata Rais na Makamu wake wenye sifa ambazo kama zingeunganika vizuri basi katika ile miaka 5 Tanzania ingepata maendeleo ambayo ingechukua hata karne moja kuyapata tena . Kifupi ni kwamba JPM alikuwa msimamizi mzuri wa pesa na Mama ni Mtafutaji...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Rais Samia atoa TZS Bilioni 600 Ujenzi wa Hospitali ya Muhimbili mpya

    KATIBU ITIKADI NA UENEZI CCM SHAKA HAMDU SHAKA AFANYA ZIARA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE, MUHIMBILI. KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Shaka Hamdu Shaka amefanya ziara katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo akiwa...
  13. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Wamasai, Wasukuma sasa imetosha, karne hii ya 21 muache kutembeza mifugo nchi nzima

    Naliangalia suala la Ngorongoro, Loliondo, Handeni na sasa huko Songea, Katavi na hata wale waliovurumishwa bonde la Ihefu kwa jicho tofauti. Imefika muda wenzetu hawa Waasaai, na siye wasukuma na jamii za kifugaji, inabidi kubadilika na wakati. Watu wanaisi karne ya 17 kwa kutembeza mifugo...
  14. mugah di matheo

    JamiiForums Tanzania Maisha ya Musa: Utata wa kifo, mazishi yake na ufanano wa viongozi wa kiharakati Karne ya 21

    Habari za muda huu jf. Tuanze moja kwa moja,tutatumia bibilia as reference pindi itakapohitajika Kama msingi kwakuwa ndio kitabu nikisomacho. Nabii Musa ni Nani? Maisha yake yanaelezewa kwenye kitabu Cha kutoka katika bibilia Kama mtoto aliezaliwa na wazazi waebrania lakini alilelewa katika...
  15. MUTUYAMUNGU

    JamiiForums Tanzania Makosa kama haya ni aibu kubwa kwa nchi yetu

    Hebu jionee mwenyewe
  16. NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

    JamiiForums Tanzania Serikali inapoingia mikataba ya karne ya mahekta ya ardhi na wawekezaji ni pigo kubwa kwa kizazi kijacho

    Wakuu Kwa kipindi cha takriban mwaka mmoja tangu Mama aingie madarakani utafiti unaonyesha kuwa mikataba mikubwa ya mahekta ya ardhi imesainiwa na wawekezaji wageni hapa nchini. Mikataba hiyo iliyosainiwa inasoma miaka 99 Hadi 100!! Hii unaleta sintofahamu juu ya umiliki wa ardhi wa kizazi...
  17. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Miaka 100 ya Julius Kambarage Nyerere: Hotuba ya Karne uchaguzi wa kura tatu Tabora 1958

    Kushoto ni Brian Wills kutoka Conservative Party ya Uingereza akisimamia uchaguzi wa UTP huyo pembeni yake ni Sheikh Hussein Juma aliyekuwa Makamu wa Rais wa UTP.
  18. mugah di matheo

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio wanamichezo wangu Bora 22 ndani ya Tanzania kwa Karne ya 21

    Karne ya 21 tumeshuhudia mengi Sana kwenye michezo,ya kutia aibu mfano kukosekana kwa disc lenye wimbo wa taifa ndani ya uwanja wataifa Hadi yale ya kubadilisha muda wa mchezo bila timu shiriki kupewa muda. Pia Kuna mengi mazuri ya kujivunia ndani ya miaka hii 22 ya Karne ya 21. Wafuatao ni...
  19. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Maana halisi ya kufunga Mkanda karne hii

  20. C

    JamiiForums Tanzania Taj Mahal: Urithi wa dunia, taji la Malkia lililosimama tangu karne ya 17

    Katika jiji la Agra nchini India,kwenye kingo za mashariki za mto Yamuna limesimama jengo mashuhuri kuliko yote nchini India,TAJ MAHAL. TAJ MAHAL iliamriwa kujengwa mwaka 1632 na mtawala wa tano wa himaya ya Mughal aliyeitwa Shah Jahan. Himaya ya Mughal ilikuwa inapatikana katika eneo la...
Back
Top Bottom