NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,207
- 16,613
Wakuu
Kwa kipindi cha takriban mwaka mmoja tangu Mama aingie madarakani utafiti unaonyesha kuwa mikataba mikubwa ya mahekta ya ardhi imesainiwa na wawekezaji wageni hapa nchini.
Mikataba hiyo iliyosainiwa inasoma miaka 99 Hadi 100!! Hii unaleta sintofahamu juu ya umiliki wa ardhi wa kizazi chetu kijacho!
Tujiulize haya yanayotokea ni juhudi za serikali kuifanya nchi yetu kuwa kama jamuhuri ya kenya ambapo mabepari wachache wanamiliki ardhi ya wengi Sana Hadi wazawa waliowengi hawana ardhi na kuwa watumwa katika nchi yao wenyewe.
Mamlaka husika TUNAWAOMBA mfuatilie hilo muokoe mstakabali wa TAIFA letu HUKO mbeleni!!
Asanteni KWA kusoma.
Kwa kipindi cha takriban mwaka mmoja tangu Mama aingie madarakani utafiti unaonyesha kuwa mikataba mikubwa ya mahekta ya ardhi imesainiwa na wawekezaji wageni hapa nchini.
Mikataba hiyo iliyosainiwa inasoma miaka 99 Hadi 100!! Hii unaleta sintofahamu juu ya umiliki wa ardhi wa kizazi chetu kijacho!
Tujiulize haya yanayotokea ni juhudi za serikali kuifanya nchi yetu kuwa kama jamuhuri ya kenya ambapo mabepari wachache wanamiliki ardhi ya wengi Sana Hadi wazawa waliowengi hawana ardhi na kuwa watumwa katika nchi yao wenyewe.
Mamlaka husika TUNAWAOMBA mfuatilie hilo muokoe mstakabali wa TAIFA letu HUKO mbeleni!!
Asanteni KWA kusoma.