Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,335
- 24,232
Naliangalia suala la Ngorongoro, Loliondo, Handeni na sasa huko Songea, Katavi na hata wale waliovurumishwa bonde la Ihefu kwa jicho tofauti.
Imefika muda wenzetu hawa Waasaai, na siye wasukuma na jamii za kifugaji, inabidi kubadilika na wakati.
Watu wanaisi karne ya 17 kwa kutembeza mifugo aporini na hata kwenye mashamba ya wakulima.
ini tutabadilika?
Mifugo yote inaishi kwa msimu, inanenepa wakati wa mvua na kukonda hadi kufa wakati wa kingazi.
Miaa nenda rudi hali ni hii.
Lini tutabadilika?
Imefika sasa ni wakati mfugo itunzwe kitaalam ili malisho ywe yanapatikana mwaka mzima baada ya kuvuna nyasi na kuwepo almost 70 range rearing.
Tubadilike.
Imefika muda wenzetu hawa Waasaai, na siye wasukuma na jamii za kifugaji, inabidi kubadilika na wakati.
Watu wanaisi karne ya 17 kwa kutembeza mifugo aporini na hata kwenye mashamba ya wakulima.
ini tutabadilika?
Mifugo yote inaishi kwa msimu, inanenepa wakati wa mvua na kukonda hadi kufa wakati wa kingazi.
Miaa nenda rudi hali ni hii.
Lini tutabadilika?
Imefika sasa ni wakati mfugo itunzwe kitaalam ili malisho ywe yanapatikana mwaka mzima baada ya kuvuna nyasi na kuwepo almost 70 range rearing.
Tubadilike.