Putin na Magufuli ndo viongozi bora wa karne yetu hii

kwisha

JF-Expert Member
Sep 9, 2021
1,666
4,365
Sifa kubwa ya kiongozi ni kujiamini.

Na hawa wa wili ni viongozi ambao mimi kwangu na amini ndo viongozi bora.

JPM: Huyu ni alikuwa kiongozi sijui ni seme ni wa aina gani hasa Ila sifa kubwa yake ni kujiamini.

JPM alikuwa anajiamini saana na wala hakuwa muoga kama viongozi wengine wa afrika yeye aliamini katika uwezo wake.

Nakumbuka kauli yake fulani ambayo alisema ni bora kuzikwa kaburini kuliko kuficha uozo unao tendeka katika Nchi hii.

Kwenye swala la corona wote mnajua alicho kifanya mwamba alisimama akasema akuna lockodown Tanzania.

Walijaribu kutikisa wanavyo jua mwamba alisimama akasema no lockdown in Tanzania.

Shirika la afya duniani lilipinga dawa ya covido kutoka Madagascar wakasema sio dawa Mwamba akasema hiyo hiyo ndo tunataka alituma ndege wakaenda kuchukuwa dawa inchi zingine walikuwa na uoga baada ya kuona Tz wameenda na wao wakatuma ndege zao.

Chanjo mwamba alisimama akapinga chanjo japo inchi nyingi walikuwa wana ogopa chanjo hizi ila walikuwa waoga kusema mwamba alisimama akasema chanjo hazifai. Kuna kipindi wapinzani walitaka kuleta za kuleta eti sijui maandamano sijui nini, Wote mnajua kilicho wakuta.

Kwenye swala la kutengeneza bwawa la nyerere kuna watu uko nje walisimama na kusema sijui mradi uo utaaribu mazingira, JPM alisema kwasababu hii inchi ni huru tutatengeneza.

Kwa ufupi sifa za JPM na Putin zina fanana wote ni watu ambao wanajiamini sio waoga wa kuanzisha kitu even if watu watasema vipi yeye akiamini anacho kifanya ni lazima afanye tu.

Na kingine JPM alijua atakufa nchi kitu ambacho watu wengi hawajui.

Na mwenyewe alisema kwa hatua hizi tunazo zichukuwa wakubwa wale hawa furahi wenyewe unajua kilicho wakuta viongozi wengine walipo jaribu kusimamia rasilimali za inchi zao kwa kauli hiyo tu jpm tayari alikuwa anajua ipo siku atakufa tu sasa ni juu yenu ninyi kujiuliza alikufa vipi?

FB_IMG_1663202187893.jpg
FB_IMG_1663202208135.jpg
 
Putin rafiki yangu ambaye angalau mara moja nilifanikiwa kuwepo kwenye crew iliokutana naye pale Sochi, nahisi Vita ya Ukraine imemuelemea mpaka maafisa wake kuingiwa na wasiwasi juu ya uwezo wake kimaamuzi.

Nakubali the guy is very smart lakini kajikuta katika wakati ambao hakuwahi kuuwaza katika maisha yake maana walichokifanya NATO and the likes nikuweka kila raslimali zao Ukraine kuhakikisha anashindwa..naam naona anaanza kushindwa taratibu kwani kaelemewa kiukweli.

Majenerali wake hawakuweza ku-predict na ku-forecast jambo hili wakati wanapanga kuivamia Ukraine.

Anyways kathubutu kuonesha kuwa pamoja na yote kuchukizwa na upuuzi wa magharibi japo anaenda kushindwa.

Magufuli pia alijua kuwa atakufa bado akapambana akijua viongozi na wananchi wangemuunga mkono lakini akasalitiwa na kushabikiwa kinafiki na hatimae akaondoka...R.I.P JPM..
 
Huwezi kusimamia mawazo yako ukabaki salama mkuu.

Ukiamua kujitoa mhanga utakufa tu tena watu wako wa karibu ndio watakao kusaliti au wale unaowapigania.

Hii hali haijaanza leo ni tangu zama za kupigania ukoloni.

Kwa Taifa letu hili, limejaa unafiki tena mkubwa kuanzia kwa wananchi na viongozi.

Hata huko makazini unaona vile tunafanyiana fitina na roho mbaya hasa ukiwa unasimamia haki au ukweli.

Nadhani tabia hii ya unafiki na usaliti ni matokeo ya UMASKINI
 
Sifa kubwa ya kiongozi ni kujiamini
Na hawa wa wili ni viongozi ambao mimi kwangu na amini ndo viongozi bora

JPM : huyu ni alikuwa kiongozi sijui ni seme ni wa aina gani hasa Ila sifa kubwa yake ni kujiamini.

JPM alikuwa anajiamini saana na wala hakuwa muoga kama viongozi wengine wa afrika yeye aliamini katika uwezo wake.

Nakumbuka kauli yake fulani ambayo alisema ni bora kuzikwa kaburini kuliko kuficha uozo unao tendeka katika Nchi hii.

Kwenye swala la corona wote mnajua alicho kifanya mwamba alisimama akasema akuna lockodown Tanzania
Walijaribu kutikisa wanavyo jua mwamba alisimama akasema no lockdown in Tanzania.

Shirika la afya duniani lilipinga dawa ya covido kutoka Madagascar wakasema sio dawa Mwamba akasema hiyo hiyo ndo tunataka alituma ndege wakaenda kuchukuwa dawa inchi zingine walikuwa na uoga baada ya kuona Tz wameenda na wao wakatuma ndege zao.

Chanjo mwamba alisimama akapinga chanjo japo inchi nyingi walikuwa wana ogopa chanjo hizi ila walikuwa waoga kusema mwamba alisimama akasema chanjo hazifai. Kuna kipindi wapinzani walitaka kuleta za kuleta eti sijui maandamano sijui nini, Wote mnajua kilicho wakuta.

Kwenye swala la kutengeneza bwawa la nyerere kuna watu uko nje walisimama na kusema sijui mradi uo utaaribu mazingira, JPM alisema kwasababu hii inchi ni huru tutatengeneza.

Kwa ufupi sifa za JPM na Putin zina fanana wote ni watu ambao wanajiamini sio waoga wa kuanzisha kitu even if watu watasema vipi yeye akiamini anacho kifanya ni lazima afanye tu.

Na kingine JPM alijua atakufa nchi kitu ambacho watu wengi hawajui.

Na mwenyewe alisema kwa hatua hizi tunazo zichukuwa wakubwa wale hawa furahi wenyewe unajua kilicho wakuta viongozi wengine walipo jaribu kusimamia rasilimali za inchi zao kwa kauli hiyo tu jpm tayari alikuwa anajua ipo siku atakufa tu sasa ni juu yenu ninyi kujiuliza alikufa vipi? View attachment 2357365View attachment 2357366
Mbona Putin ni kichaa!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Sifa kubwa ya kiongozi ni kujiamini.

Na hawa wa wili ni viongozi ambao mimi kwangu na amini ndo viongozi bora.

JPM: Huyu ni alikuwa kiongozi sijui ni seme ni wa aina gani hasa Ila sifa kubwa yake ni kujiamini.

JPM alikuwa anajiamini saana na wala hakuwa muoga kama viongozi wengine wa afrika yeye aliamini katika uwezo wake.

Nakumbuka kauli yake fulani ambayo alisema ni bora kuzikwa kaburini kuliko kuficha uozo unao tendeka katika Nchi hii.

Kwenye swala la corona wote mnajua alicho kifanya mwamba alisimama akasema akuna lockodown Tanzania.

Walijaribu kutikisa wanavyo jua mwamba alisimama akasema no lockdown in Tanzania.

Shirika la afya duniani lilipinga dawa ya covido kutoka Madagascar wakasema sio dawa Mwamba akasema hiyo hiyo ndo tunataka alituma ndege wakaenda kuchukuwa dawa inchi zingine walikuwa na uoga baada ya kuona Tz wameenda na wao wakatuma ndege zao.

Chanjo mwamba alisimama akapinga chanjo japo inchi nyingi walikuwa wana ogopa chanjo hizi ila walikuwa waoga kusema mwamba alisimama akasema chanjo hazifai. Kuna kipindi wapinzani walitaka kuleta za kuleta eti sijui maandamano sijui nini, Wote mnajua kilicho wakuta.

Kwenye swala la kutengeneza bwawa la nyerere kuna watu uko nje walisimama na kusema sijui mradi uo utaaribu mazingira, JPM alisema kwasababu hii inchi ni huru tutatengeneza.

Kwa ufupi sifa za JPM na Putin zina fanana wote ni watu ambao wanajiamini sio waoga wa kuanzisha kitu even if watu watasema vipi yeye akiamini anacho kifanya ni lazima afanye tu.

Na kingine JPM alijua atakufa nchi kitu ambacho watu wengi hawajui.

Na mwenyewe alisema kwa hatua hizi tunazo zichukuwa wakubwa wale hawa furahi wenyewe unajua kilicho wakuta viongozi wengine walipo jaribu kusimamia rasilimali za inchi zao kwa kauli hiyo tu jpm tayari alikuwa anajua ipo siku atakufa tu sasa ni juu yenu ninyi kujiuliza alikufa vipi?

View attachment 2357365View attachment 2357366
R.I.P CHUMA JPM
 
Back
Top Bottom