Kusema kweli kabisa,
yapo mengi SANA ya kujifunza baada ya kuwa tumemaliza
elimu ya kufanyia mitihani na kupatia vyeti.
Hata kama utasoma ukurasa mmoja kwa wiki,
Hakuna tatizo.
Lakini iko faida kubwa kuliko kutosoma kabisa.
Kwa miaka karibia 40 sasa, tumeambiwa:
Ukimwi unasababishwa na HIV...