Karibu tufanye biashara ya mazao mbalimbali kutoka Rungwe, Mbeya

Chorter

Member
Jul 8, 2017
41
68
Habari wanna JF.

Sisi n wasambazaji wa mazao mbalimbali kwaajili ya biashara sehemu mbalimbali tz bara, tuliamua kufanya hii kazi ili kuwarahisishia wafanya biashara mbalimbali kujipatia mazao wanayoyahitaji kwaajili ya biashara zao yanayopatikana huku RUNGWE mbeya kwagharama nafuu sana tena mzigo unakufikia sehemu ulipo kwa uhakika sana, pia tunafanya hivi ili kuwasaidia wateja wetu kuepukana na safari nyingi za kufuata mzigo wenyewe hasa kipindi hiki ambacho maambukizi ya ugonjwa wa COVD19 yanaongezeka kwakasi sana.

Mazao tunayosambaza ni kama yafuatayo; ndizi aina mbalimbali kwaajili ya matumizi ya familia pia kwaajili ya biashara, tangawizi kiasi chochote, Maziwa mtindi na Kahawa n.b iliyotok shamban.

Corona inaua tufuate taratibu za afya. stay saf, fanya biashara yako bila kuathili afya yako. Tuna connections mbalimbali za madreva wa magari wanaosafirisha mizigo mikoa mbalimbali

Kwamawasiliano Zaid 0782284770 piga au tum text Whatsapp

Ahsante

IMG_20210716_173245_5.jpg


IMG_20210716_171020_6.jpg


IMG_20210721_174401_8.jpg


IMG_20210721_173304_2.jpg


IMG_20210707_075440_1.jpg
 
Back
Top Bottom