mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Hao ndio mabingwa wa kihistoria Tz, wameitendea haki nafasi waliyoipata kwa mbeleko na kufika mbali sana kwenye caf champions league hadi NIGERIA!!!
Yanga mbona imefika mbali sana hadi NIGERIA!! Simba itaishia karibu tu kama last time!! Itaishia kuingia hatua ya makundi, ishike moja ya nafasi mbili za juu na iishie robo au nusu fainali!! Jiandaeni kufurahi Simba itakapotolewa robo, nusu au fainali!!Ata simba haita fika mbari sana kama last time