jibu

Jibu is a Jukunoid language spoken in the Taraba State of Nigeria by 30,000 people.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Hii kura ya maoni iliyofanyika Ukraine ni sawa na kutafuta maoni ya mbuzi abakie kwenye mwitu au amilikiwe na watu: Jibu linajulikana!

    Urusi ilialika watu au taasisi zinazohitaji kuwa waangalizi kwenye kura ya maoni iliyohusu majimbo manne ya ukraine kukubali kujiunga na Urusi au kubaki kwenye himaya ya Ukraine. Urusi ilikuwa na uhakika kabisa kuwa zoezi la kura litaendeshwa kwa uhuru na uwazi. Wapo watu wengi toka nchi za...
  2. Nyuki Mdogo

    Wazee wa Mathematics: Jibu lipi ni sahihi hapa?

    Kuna scientific calculator na Calculator ya simu. Zote zimepewa hesabu inayofanana lakini majibu yako tofauti!
  3. Philombe Jr

    SoC02 Jibu la kitendawili cha tatizo la ajira nchini kupitia mfumo wetu wa elimu

    Tatizo la ajira nchini limekua kitendawili kwa muda mrefu sasa bila ya kupata majibu. Taasisi zetu za elimu hutoa wahitimu wengi ambao hutegemea ajira ili waweze kujikwamua kiuchumi. Takriban kila mwaka watu wanaokadiriwa 800000 huwa tayari kuingia kwenye soko la ajira lakini wanaopata ajira...
  4. 4

    Waziri wa afya Ummy Mwalimu jibu swali hili kabla ya kesho mimi kuhamia Burundi

    Husika na mada tajwa hapo juu, Kwako Waziri wa Afya UMMY MWALIMU, kwanza nikupe pole na majukumu yako ya kila siku japo ni wajibu wako kuyatekeleza, na pili nikupongeze kama Mbunge na Waziri kwa jinsi mnavyoendelea kuwalimbikia watanzania Tozo wakiwemo wananchi wako katika jimbo lako la Tanga...
  5. 6 Pack

    Ni nani mwenye uwezo wa kutoa jibu la swali hili? Mimi nimechemka

    Kwanza salam zangu za leo ziwafikie popote mlipo member wenzang. Kuna best friend wangu alikuwa anauliza swali hili hapo chini 👇 Kati ya: 1] Mchina 2] Mwaarabu 3] Muhindi Ni race ipi ambayo ukifanya nayo kazi haiwezi kukusumbua kwa upande wa malipo na haki zako zingine za msingi? Maana jamaa...
  6. To yeye

    Kimya ni jibu sahihi sana

    Tena utajiepusha na mengi Kwa kukaa kimya,haijalishi yanaumiza kias gani but ukikaa kimya umejinusuru na mengi mabaya🙏 Ndiyo hivyo🤜
  7. Superbug

    Ukijisaidia haja kubwa unajisafishaje? Jibu hapa tujue level ya maisha yako

    Dunia nzima inaenda haja kubwa sasa jibu hapa wewe binafsi unatuma njia gani? 1. Gunzi 2. Mchanga 3. Maji mkono mavi 4. Preshawota 5. Pepa 6. Kochespa
  8. Gama

    WHO yatangaza kuwa ugonjwa wa Monkeypox utapewa jina jipya

    Shirika la Afya Dunuani limesema kuwa Ugonjwa wa Monkey Pox utapatiwa jina jipya kwa kuwa jina la sasa linaambatana na unyanyapaa FUATILIA ======== Monkeypox to get a new name, says WHO Yesterday 6:34 PM The World Health Organization says it is working with experts to come up with a new name...
  9. MakinikiA

    Jibu la mke wangu kwa mwanae baada ya kuulizwa swali gumu

    Kwa kweli Kati ya watoto wadadisi mwanangu huyu wa kiume 9 yrs naye yumo, mama yake ni mjamzito sasa akamuona na kamuuliza mama yake "wewe mama unatematema mate, mama yake akamjibu fanya mambo yako, ilibidi nicheke kimomoyo halafu nikamnong'oneza maneno.
  10. S

    Wanaume, zingatieni sana jibu la kwanza mnalopewa mnapotongoza ili kumpata mwenye mapenzi ya dhati

    Unapomfukuzia mwanamke kuwa makini sana na jibu lake la kwanza kutolewa kinywani mwake. Ukikataliwa, ukipewa excuse, ukiambiwa "mimi sikupendi", ukiambiwa "shika adabu yako", ukiambiwa "aku mm nina mtu wangu" ama jibu lolote linalofanana na hayo LIHESHIMU. Ukikomaa utakuwa na mpenzi ama mke...
  11. Shangani

    Namba za help desk Sekretarieti ya Ajira hazifanyi kazi

    Namba za Help Desk +255735398259/+255784398259 Malalamiko ++255736005511/ 255679398259 Ijulikane kuwa hizi namba hazipo au kama mtu ana malalamiko afike hapo Dodoma kuliko kuweka namba ambazo hazipo na hazifanyi kazi.
  12. Komeo Lachuma

    Hili jibu nimechoka kabisa.

    Hawa wapemba bwana na migahawa yao. Nimeagiza msosi kwa mpemba mmoja hapa town. Mletaji ameleta msosi na akawa hajaweka samaki. Nikamuita mara ya pili kumkumbusha kuwa niliagiza na samaki. Akasema anakumbuka. Anakuja. Kweli baada ya dakika akawa anakuja amemshika samaki mkononi. Nlichukia...
  13. Lord Denning

    Mliokuwa mnauliza kazi ya Rostam Aziz kwenye ziara ya Rais Samia ya Marekani, hili ndio jibu lenu!

    Intelejensia ya Dunia katika karne ya 21 imebadilika sana! Nchi nyingi duniani sasa zinafanya kazi kutengeneza nguvu na ushawishi kwenye uchumi! Kupata nguvu na ushawishi kwenye Uchumi kunahusisha kutengeneza matajiri wakubwa wenye pesa wanaoweza kuwekeza, kushawishi uwekezaji, kuongeza ajira...
  14. K

    Je, anajua kupika? Kwanini jibu gumu siku hizi?

    Kwa wale wanaotafuta wachumba wa kike swala la kujua kupika au kutokujua kupika limekuwa gumu sana siku hizi. Yaani imekuwa kama swali la kibinafsi ambalo ni vibaya kuuliza! Watasema amesoma, mtu wa dini….. kwenye kupika jibu ni gumu sana
  15. Nyankurungu2020

    Hofu yenu kwa Umoja Party ni jibu tosha

    Kwamba kumbe Hayati Magufuli alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake. Umoja Party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhilifu...
  16. FRANCIS DA DON

    Hivi kuna namna yeyote ile 7 - 1 jibu likawa 5? Tusaidiane mawazo

    Je, kuna any possible scenario ambapo 7 - 1 outcome ikawa ni 5? Kweli hakuna kabisa uwezekano?
  17. Chagu wa Malunde

    Dkt. Slaa wewe ndio mpotoshaji mkubwa, Katiba ndio muongozo na jibu la kila kitu. Hii tuliyonayo sasa ina mapungufu makubwa

    Dunia nzima inafahamika kuwa katiba ndio supreme law of the state. Leo hii sisi watanzania tuna katiba ambayo ilitungwa mwaka 1977. Na ukiangalia ilikuwa ikireflect kujibu matatitizo na kero zilizokuwepo wakati huo. Ndio maana kumekuwepo na mabadiliko ya katiba hapa nchini kwetu zaidi ya mara...
  18. Erythrocyte

    MC Pilipili afungua Kanisa

    Mshereheshaji wa Harusi na mtia nia ya ubunge kwenye uchaguzi wa 2020 kupitia CCM, MC Pilipili amezindua kanisa linaloitwa LOVE CHURCH. Uzinduzi huo Kabambe umefanyika kwenye hotel ya Kebby's Iliyoko Sinza, DSM, na kuhudhuriwa na waimbaji kadhaa wa nyimbo za injili, huku watu wakiombewa na...
  19. mama D

    "Mwanamke afanyiwe nini ili awe na utulivu, utii na upendo wa dhati kwa mwanaume wake?" Jibu limepatikana

    Huu ni ukweli bila chenga kwamba mwanamke anataka VYOOOOTE MAPENZI, CARE, ATTENTION, SIM NZURI, GARI ZURI, MUDA WAKO, KUBEMBELEZWA...... Mwaka anayaweza kwelikweli
  20. Stevenbee

    Naweza kufanya graphics kwa kutumia mobile apps, je naweza kupata kazi?

    Huwa nafanya Graphics lakini natumia simu na nishafanya na watu baadhi hususani wanaotengeneza products kama mafuta,unga lishe, album cover na vingine. Lakini kitu ambacho huwa nashindwa niombe Ajira vipi? Kwasababu 1) Sijasomea hii issue 2) Natumia mobile apps kufanya Hizo graphics Kama...
Back
Top Bottom