Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,197
- 2,025
Habari watu wote wa hili jukwaa la elimu.
Leo kuna mtoto wa kaka angu amekuja na hii chemsha bongo na kusema ukweli naona kuna kila dalili ya mimi kuchemsha.
Iko hivi" Nguo dukani inauzwa Sh.10000/= Na wewe hauna pesa ila hiyo nguo unaitaka, ukaamuwa kwenda kukopa kwa kaka ako Sh.5000/= na Dada ako Sh.5000/= na wote wakakupa.Ukapata jumla ya Sh.10000/=.
Ulipoenda dukani muuza nguo alikuuzia hiyo nguo kwa Sh.9700/= ukabakiwa na Sh.300/=.
Baada ya kubakiwa na Sh.300/= ukaona ni bora upunguze deni lako kwa kaka na dada ako.Hivyo kaka ako ukampa Sh.100/= na Dada ako Sh.100/= We ukabakiwa na Sh.100/=.
Sasa ulipoweka sawa mahesabu ukagundua dada atakudai Sh.4900 na kaka sh.4900 ambayo jumla itafanya Sh.9800/=Ukijumlisha na Sh.100/= uliyobaki nayo itafanya jumla ya Sh.9900/=.
Je,Shilingi 100/= imeenda wapi
Leo kuna mtoto wa kaka angu amekuja na hii chemsha bongo na kusema ukweli naona kuna kila dalili ya mimi kuchemsha.
Iko hivi" Nguo dukani inauzwa Sh.10000/= Na wewe hauna pesa ila hiyo nguo unaitaka, ukaamuwa kwenda kukopa kwa kaka ako Sh.5000/= na Dada ako Sh.5000/= na wote wakakupa.Ukapata jumla ya Sh.10000/=.
Ulipoenda dukani muuza nguo alikuuzia hiyo nguo kwa Sh.9700/= ukabakiwa na Sh.300/=.
Baada ya kubakiwa na Sh.300/= ukaona ni bora upunguze deni lako kwa kaka na dada ako.Hivyo kaka ako ukampa Sh.100/= na Dada ako Sh.100/= We ukabakiwa na Sh.100/=.
Sasa ulipoweka sawa mahesabu ukagundua dada atakudai Sh.4900 na kaka sh.4900 ambayo jumla itafanya Sh.9800/=Ukijumlisha na Sh.100/= uliyobaki nayo itafanya jumla ya Sh.9900/=.
Je,Shilingi 100/= imeenda wapi