Kuna mambo mengine yapo wazi kabisa kwamba taifa linahitaji mabadiliko.
Kuwa na katiba ambayo ilitungwa na makada wa CCM ambao hawakushirikisha wananchi ni aibu kwa taifa kama hili na haifai
Watanganyika wanataka katiba ambayo kwanza itatambua taifa lao. Alafu katiba ambayo itawapa mamlaka...
Ni miaka na mikaka sasa bado mnatafuta chanzo cha kwanini WATU wanatekwa na kupoteza
Lakini haitoshi bado mnatafuta nani alimpiga TUNDU LISSU risasi pale Dodoma had kumsababishia ulemavu wa kudumu
Sasa katika hali ya kushtua mbele ya umma wa WATU wa IRINGA WAZIRI MKUU wa JAMHURI ya MUUNGANI WA...
Nashangaa taifa lililosheheni taasisi nyingi za kuilinda katiba lakini wanaibuka watu ,kikundi cha watu wanaivunja hiyo katiba na taasisi zipo za kuitetea katiba .
Kama katiba imeshindwa kumlinda raia kuna haja kuwa na katiba .
Katiba yetu imechakaa kama shati lililopauka lenye virakaviraka...
Kaka yangu Nape, mapema mwaka huu aliwahi kusema, kama serikali isipodhibiti matumizi ya nguvu dhidi ya raia, Siku moja wananchi watakikataa chama chetu.
Kila mtu anaweza kuwa na mtazamo wake juu ya hili, lakini mimi napenda kuwakumbusha viongozi wangu uchaguzi wa 2010 Mbeya mjini kati ya Sugu...
Muache ngonjera za kusema Aliruka na kutokomea akiwa na PINGU.
Ukimfunga Mtu Míkono kwa namna yoyote ile, UMEMUONDOLEA BALANCE YA KUKIMBIA , HIVO HAWEZ KUA NA UWEZO WA KUKIMBIA KWA KASI HATA KUWASHINDA MAASKARI
UHUNI MLOUFANYA KWA POLEPOLE, KWAKUA HAMNA AKILI, NDIO MNAURUDIA ULEULE
Mbunge Ado Shaibu amesema akichangia Bungeni leo, Mei 19, 2026 amesema kuwa kati ya vitu ambavyo Jeshi linapaswa kuvilinda sana ni kutojihusidha na Siasa.
Hayo ameyasema akiwa Bungeni wakati akichangia hoja
Pia soma: ACT Wazalendo: Spika Zungu anatumia madaraka vibaya, amkalisha chini Ado...
Rushwa ni adui wa TAIFA Kwa ufupi naomba nikuonyeshe why nasema Rushwa ni adui wa TAIFA.
1. Rushwa inawanyima wanyonge haki zao. Mnyonge hasikilizwi popote labda awe na rupia ndo atavunja uzia.
2. Rushwa ni chanzo cha maovu yanayotokea kwenye TAIFA.
Mfano:- (a) mtoto kabakwa, baba wa mtoto...
Kuna kajumba ka kupangisha nimekajenga sehemu. Nyumba hii ni vyumba vitatu vya kulala,sebule,jiko na vyoo viwil kama kawaida.
Sasa wakati wa kuezeka kama kawaida nilivyozoea najua ni kazi ya siku 3-5. Fundi alienijengea akaniambia ana watu wake wa kuezeka wanaezeka kwa siku moja tu yaani...
Wajibu mkuu wa askari jeshi kwenye jamii ni kulinda katiba, mipaka ya nchi, na usalama wa wananchi pamoja na mali zao. Wanajeshi (kama vile wale wa JWTZ au majeshi ya ulinzi ya kikanda) wana mchango mkubwa kijamii, kiuchumi, na kiusalama.
Majukumu ya msingi ya askari jeshi katika jamii...
Imenibidi niulize tena swali hili, ambalo watu wengi wameamini tu kwa kusikia/kuambiwa kwamba ni "vyombo vya dola" vinahusika na mauaji hayo.
Hivi vyombo vinavyojulikana ni polisi, Jeshi, au hata TISS?
Kuna ushahidi wowote unaoonyesha uhusika wa polisi au jeshi katika mauaji hayo?
Picha zote...
Mkuu wa Jeshi la Israel Luteni Jenerali Eyal Zamir, ametembelea eneo la Khiam akiwa na makamanda wakuu wa IDF, akiwemo mkuu wa Kamandi ya Kaskazini na uongozi wa kitengo.
Alifanya tathmini ya uendeshaji, akapokea taarifa za uwanjani, alizungumza na makamanda wa kikosi, na akatembelea...
Salaaam!
Itachukua muda mrefu mno kuwaelewesha MADUNYA na MABAZAZI huu msemo wa kiingereza usemao kwamba "The First Victim of War is the Truth". Mhanga wa kwanza wa vita siyo mtu, bali ukweli. Vita hutawaliwa na hisia, propaganda, vitisho na woga wa kila namna. Usipokuwa makini unaweza ukabebwa...
US Central Command imethibitisha Jumatatu kuwa majeshi ya Marekani yamezamisha boti za Iran na kukamata makombora pamoja na ndege zisizo na rubani wakati wa operesheni za “Project Freedom” katika Strait of Hormuz. Hii inaashiria tukio la kwanza lililothibitishwa la mapambano ya moja kwa moja...
Nimeulizwa pahala, eti Hussein kwani Kanali anakuwa na nyota ngapi?😂. Nadhani ni kutokana na tarehe (historia) ya Kanali Mahfoudh niliyowahi kuitoa siku ya kumbukumbu za kifo cha Sheikh Abeid Aman Karume.
Sikumbuki vizuri, maana mimi siyo mwanajeshi. Ila angalau nilipita miaka ya nyuma kidogo...
Maafisa wanne wa ngazi za juu katika Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Uganda (UPDF) wamefikishwa mbele ya Mahakama ya Kijeshi mjini Makindye, wakikabiliwa na mashtaka ya kuiba mafuta ya jeshi kwa ajili ya matumizi yao binafsi.
Wanaotuhumiwa ni:
Brigedia Jenerali James Barigye Ruheesi (60)...
CCM acheni uvivu fanyani siasa badala ya kutegemea Polisi na Jeshi iko siku watawageuka. Kizazi hili kijacho wanajeshi wake hawataweza kuunga mkono unyanyasaji.
Hawa viongozi wa kichawa wa jeshi la Polisi na Jeshi la wananchi iko siku wanawageuka na kufuata hisia za watu.
Angalieni wenzenu...
Hicho ndicho kilichozuia machafuko zaidi! Bunduki haijawahi, haitawahi na haiwezi kumzuia mwanadamu anayetaka kujinasua kwenye uovu wa mtesi. Jeshi la wananchi lilitumia mbinu ya ulaghai kuwashawishi wananchi warudi majumbani kisha wakawafanyia ambushi kitu ambacho hata wao wanalijua.
Anazungumza Jaji Chande leo wakati anakabidhi anakabidhi Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, tarehe 23 Aprili, 2026, Dar es Salaam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.