israel

  1. beth

    JamiiForums Tanzania Israel: Hatma ya Waziri Mkuu Netanyahu kujulikana leo

    Wananchi wa Israeli wanapiga kura leo Jumatatu katika uchaguzi usio wa kawaida na wa tatu nchini humo katika kipindi cha mwaka mmoja. Uchaguzi huu ndio utaamua kujulikana hatma ya Waziri Mkuu wa Benjamin Netanyahu ambaye anakabiliwa na kesi ya mashitaka ya ufisadi. Vituo vya kupigia kura...
  2. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Israel announces Corona Virus Break through

    Israel announces Coronavirus breakthrough. Doctors in Israel home of medical research just announced to the authority 3 hrs ago that they have come to a breakthrough solution with vaccine for corona virus. They did it in the laboratory Via the wisdom of God. not just with prayers alone. Shalom...
  3. J

    JamiiForums Tanzania 2020 Afrika Mashariki kutembelewa na marais wawili wa dunia, Trump wa Marekani na Netanyahu wa Israel

    Ni jambo la kujivunia kwetu sisi wana Afrika Mashariki kupata ugeni huu mkubwa wa viongozi wa dunia. Ujio wa Benjamin Netanyahu wa Israel na Donald Trump ni fursa muhimu kwa wadau wa ukanda wetu wa Afrika Mashariki kutangaza vivutio vyetu vya utalii na fursa nyingine. Mungu awabariki...
  4. FRANC THE GREAT

    JamiiForums Tanzania Israel yafanya mashambulizi ya anga Damascus nchini Syria

    Shirika la habari la serikali ya Syria, SANA, limeripoti mapema Alhamisi kuwa Israel imeshambulia maeneo kadhaa karibu na mji mkuu Damascus huku shirika hilo likidai kuwa mifumo ya ulinzi wa makombora ya nchi hiyo iliangusha idadi kadhaa ya makombora. Taarifa kutoka SANA ilieleza kuwa...
  5. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Palestina yasitisha mahusino yote baina yake na Israel na Marekani

    Rais wa Mamlaka ya Palestina Mahmoud Abbas amesitisha mahusiano yote na Marekani na Israel, yakiwemo yanayohusiana na usalama, baada ya kuupinga mpango wa amani ya Mashariki ya Kati uliopendekezwa na Rais wa Marekani Donald Trump. Abbas alikuwa mjini Cairo kuuhutubia mkutano wa dharura wa...
  6. FRANC THE GREAT

    JamiiForums Tanzania Israel: Viongozi wa dunia wakutana mjini Jerusalem

    Viongozi mbalimbali duniani wako mjini Jerusalem, Israel kuhudhuria kumbukumbu ya miaka 75 tangu kambi ya mauaji ya Auschwitz ilipokombolewa. Kumbukumbu hiyo inakwenda sambamba na kumbukumbu ya mauaji ya Wayahudi. Viongozi na wawakilishi kutoka nchi zipatazo 50 watakusanyika katika kituo cha...
  7. FRANC THE GREAT

    JamiiForums Tanzania Israel: Ujenzi wa mfumo mpya wa ulinzi wa chini ya ardhi

    Israel imeanza hii leo kuchimba eneo la mpaka wake na Lebanon kwa ajili ya kufunga mfumo wa kujilinda utakaopita chini ya ardhi hii ikiwa ni mujibu wa jeshi la nchi hiyo. Luteni kanali Jonathan Conrius amesema kwenye mfumo huo kutafungwa vifaa vya kutambua shughuli zozote za uchokozi. Amesema...
  8. FRANC THE GREAT

    JamiiForums Tanzania Israel yashambulia vituo vya Hamas huko Gaza

    Jeshi la Israel (IDF) limethibitisha kushambulia maeneo kadhaa ya Hamas katika ukanda wa Gaza Jumatano jioni. Saa chache kabla, makombora kadhaa yalifyatuliwa kuelekea ndani ya mipaka ya nchi hiyo kutokea ukanda wa gaza. Kwa mujibu wa IDF, makombora mawili yaliangukia eneo la wazi na mengine...
  9. Mlaleo

    JamiiForums Tanzania Video of Al-Mohandes wishing to die after ‘Saudi Arabia destroyed’ resurfaces

    A video of slain Iraqi militia leader Abu Mahdi al-Mohandes in which he expresses his wish of dying only after seeing Saudi Arabia “destroyed” has resurfaced and gone viral after being shown on Iranian state television. The video is a short, behind-the-scenes clip from a more than...
  10. The Mongolian Savage

    JamiiForums Tanzania Tukio la kutia hamasa waandamanaji Iran walivyokwepa kukanyaga bendera ya Marekani na Israel

    Mzuqa, Juzi tuikio la ajabu lilitokea Tehran Iran ambapo waandamanaji wanaopinga utawala wa Ayatollah walikwepa kukanyaga Bendera za Marekani na Israel walipokuwa wanaandamana kupinga utawala dhalimu wa Ayatollah na kumshinikiza ajiuzulu. Ni kawaida Iran kuchora bendera za Marekani na Israel...
  11. FRANC THE GREAT

    JamiiForums Tanzania Israel unveils Laser-Based Missile Interception System to replace Iron Dome

    Israel unveils 'laser sword' defence system that can stop rockets and drones, following Iranian missile attack on US forces in Iraq Israel has unveiled a 'laser sword' defence system that can stop rockets and drones as tensions in the region continue to simmer. The technological breakthrough...
  12. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Israel: Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu aomba kinga ya bunge dhidi ya mashitaka ya ufisadi

    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ameamua kutafuta kinga ya bunge dhidi ya mashitaka ya ufisadi yanayomkabili. Hatua hiyo huenda ikachelewesha kesi dhidi yake hadi uchaguzi utakapofanywa upya mwezi Machi. Mwezi Novemba, Waziri Mkuu alishitakiwa na mwanasheria mkuu kwa kutoa hongo...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Watalii wa Tanzania na Israel sasa kutumia ndege moja inayotumia saa 5 kutoka kutokea Kilimanjaro

    Serikali ya Tanzania na ile ya Israel zimekubaliana kubadilishana watalii ambapo sasa itatumika ndege moja tu kuwasafirisha watalii wa nchi hizi mbili. Utaratibu ni kuwa ndege itakayowaleta watalii kutoka Israel ikifika KIA itawashusha na kuwachukua mahujaji wa Tanzania wanaoelekea Israel kisha...
  14. elivina shambuni

    JamiiForums Tanzania Watalii 450 wa Israel watembelea Tanzania

    WATALII zaidi ya 450 kutoka Israel, wamewasili nchini mwezi huu kwa ajili ya kutembelea vivutio vya kitalii vilivyoko Kaskazini mwa Tanzania. Watalii hao wamekuja nchini kwa kutumia ndege binafsi na za kawaida. Kundi la kwanza la watalii 150 liliwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...
  15. J

    JamiiForums Tanzania Makundi ya watalii kutoka Israel yaanza kuwasili nchini kwa mapumziko ya mwaka mpya, aibarikie Israel atabarikiwa!

    Mwenyekiti wa bodi ya utalii nchini Jaji mstaafu Anthony Mihayo amesema Tanzania itapokea ugeni mkubwa wa watalii kutoka nchi takatifu ya Israel wanaokuja nchini kwa mapumziko. Jaji Mihayo amesema hayo wakati akilipokea kundi la kwanza la watalii hao lililowasili jijini Arusha leo. Aibarikie...
  16. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya ICC kuichunguza Israel. Marekani yawatetea, Israel nao wajibu kwa kuukaribisha uchunguzi huo

    Waziri wa Mambo ya kigeni wa Marekani Mike Pompeo amesema nchi yake inapinga vikali uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Uhalifu Kivita ICC wa kufungua uchunguzi dhidi ya uhalifu unaotuhumiwa kufanywa na Israel. Pompeo amesema hatua hiyo iliyotangazwa jana na mwendesha mashtaka mkuu wa...
  17. FRANC THE GREAT

    JamiiForums Tanzania Ujerumani yaziajiri kampuni za Rafael ya Israel pamoja na Atos ya Ufaransa ili kuunda "Uwanja wa Vita wa Kioo" ama "Glass Battlefield"

    Ujerumani yaziajiri kampuni za Rafael pamoja na Atos ili kuunda "Uwanja wa Vita wa Kioo" Kampuni ya uzalishaji wa mifumo ya kijeshi ya Rafael (Rafael Advanced Defense Systems) ya Israel imeshirikiana na kampuni ya Atos (Atos Information Technology) kwenye mradi unaohusu uundwaji wa "uwanja wa...
  18. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Israel kufanya uchaguzi mkuu kwa mara ya tatu

    Baada ya vyama vya siasa nchini Israel kushindwa kuunda serikali hadi muda wa mwisho kumalizika Jumatano, sasa bunge limejivunja na nchi hiyo inaingia katika uchaguzi wa tatu mkuu katika kipindi cha mwaka mmoja. Hatua hii inampa matumaini Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu anayepambana kuokoa...
  19. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Israel kufanya uchaguzi mpya Machi 2

    Uchaguzi wa Israel unatarajiwa kufanyika Machi 2 mwakani, ikiwa ni wa tatu katika kipindi cha mwaka mmoja. Muswada wa kulivunja bunge, ambao pia unatangaza tarehe ya uchaguzi, utapitisha sehemu nne za mwisho, saa chache baada ya wabunge kushindwa kuunda serikali ya muungano baada ya muda wa...
  20. F

    JamiiForums Tanzania Netanyahu wa Israel kufungwa. Trump anaweza kupoteza urais wake. Magufuli anafanya analotaka haulizwi chochote

    Kuna taarifa leo kuwa Binyamin Netanyahu au Bibi ameshtakiwa na mwendesha mashtaka (DPP) pamoja na Mwanasheria Mkuu (Attorney General) wa serikali ya Israel kwa kosa la rushwa, ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka. Kwa vyovyote vile hataweza kushinda, kama ilivyotokea kwa Ehud Olmert...
Back
Top Bottom