israel

  1. Nyendo

    Israel kufanya uchaguzi mpya Machi 2

    Uchaguzi wa Israel unatarajiwa kufanyika Machi 2 mwakani, ikiwa ni wa tatu katika kipindi cha mwaka mmoja. Muswada wa kulivunja bunge, ambao pia unatangaza tarehe ya uchaguzi, utapitisha sehemu nne za mwisho, saa chache baada ya wabunge kushindwa kuunda serikali ya muungano baada ya muda wa...
  2. F

    Netanyahu wa Israel kufungwa. Trump anaweza kupoteza urais wake. Magufuli anafanya analotaka haulizwi chochote

    Kuna taarifa leo kuwa Binyamin Netanyahu au Bibi ameshtakiwa na mwendesha mashtaka (DPP) pamoja na Mwanasheria Mkuu (Attorney General) wa serikali ya Israel kwa kosa la rushwa, ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka. Kwa vyovyote vile hataweza kushinda, kama ilivyotokea kwa Ehud Olmert...
  3. Superbug

    Lijue chaguo la Samson kwenye jeshi la Israel “the Samson option”

    Hii Ni sera ya kiulinzi ya taifa la israel na jeshi lake ambayo inasisitiza na kutamka wazi kuwa ikiwa Israel itashambuliwa na aui na hapohapo marafiki zake wakubwa kama USA uk German Italy France na Canada hawatamsaidia wakiona taifa la Israel linakaribia kuangukia mikononi mwa adui huku rafiki...
  4. YEHODAYA

    Hivi inakuwaje Mji wa Nazareth Israel waislamu ni wengi lakini hawana ugomvi na Wayahudi Kama wapalestina

    Mji wa Nazareth Israel ndio Mji mkubwa ndani ya Israel wenye waarabu waislamu wengi. Waislamu katika mji huo Ni asilimia 70 ya wakazi wote wa mji huo. Misikiti ipo mingi na hawana ugomvi na Wayahudi huishi nao kwa amani na utulivu. Huwezi kuta mwarabu muislamu akimsema vibaya myahudi Wala Huwezi...
  5. Kaka Pekee

    Is Tanzania discarding Nyerere’s freedom-fighting legacy?

    Tanzania Palestine: Former Palestinian leader Yasser Arafat with Tanzania’s former President Julius Nyerere. Tanzania’s stance on Palestine suggests its history of fighting global injustice could be making way for a more pragmatic “economic diplomacy”. In November 2018, representatives of...
  6. Kaka Pekee

    Onyo la kistaarabu dhidi ya uhusiano wa Tanzania na Israel

    Inabidi tuanze kujifikirisha tena kidogo kwa fikra yakinifu dhidi ya Faida na Hasara za Uhusiano wa kidplomasia na Mataifa yenye Migogoro ili tusije kuingia kwenye kaburi ya Halaiki lililochimbwa na Reputations za Migogoro hiyo kwa kuingia Kichwa kichwa. Leo Tunashuhudia Palestina wakitupa...
  7. mwanaume suruali

    Chanzo cha Mgogoro Mashariki ya Kati. You must read this

    Tangu Disemba 27 hadi 18 Januari 2009 vyombo vya habari duniani vilitawaliwa na taarifa za mapigano kati ya Israel na kundi la Hamas la Palestina. Katika vita hiyo takriban wapalestina 1300 na Waisraeli 13 walipoteza maisha. Dunia imegawanyika huku upande mmoja ukiunga mkono kundi la Hamas na...
Back
Top Bottom