Bajeti ya Ulinzi ya Iran pamoja na bajeti ya Ulinzi ya Marekani kwa mwaka 2025

Bajeti ya Ulinzi ya Iran pamoja na bajeti ya Ulinzi ya Marekani kwa mwaka 2025

Lee Van free

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2024
Posts
2,431
Reaction score
7,582
Supapawa wa Dunia akishirikiana na supapawa wa Middle East Israel wakipigana na nchi iliyowekewa vikwazo na kutengwa na Dunia kwa miaka zaidi ya 40 Iran.

Sasa tuangalie bajeti zao za ulinzi kwa mwaka 2025.

Iran

Iran's official military and security budget for the 2024–2025 period was set at approximately \(\$23.4\) billion. While nominal spending has risen sharply, real-term increases are offset by high annual inflation.

USA
The U.S. national defense budget for FY 2025 was approximately $916 billion to $954 billion, depending on the accounting scope used. This accounted for about 13% of the total U.S.

Hii Dunia ngumu sana hii.
Bila kusahau Katika vita hiyo Israel nayo ilikua ikiipiga Iran moja kwa moja waziwazi.
 
Hii n habari njema na ya kufurahisha kwenda kwa makobaz 🔥

Tumsalie mtume mudy
Siku za nyuma tulikua tunaambiwa aaaah Urusi!
Urusi Cha mtoto TU kwa Marekani,
Uchumi wa Urusi haufiki hata Nusu ya uchumi wa Jimbo la California.
Watu wakaenda mabali Zaid na kusema Urusi haiwezi kupigana na marekani kwa sababu bajeti ya Ulinzi ya Marekani hata china na Urusi ziunganishe bajeti zao za ulinzi hazifiki kwa bajeti ya Ulinzi ya Marekani.
Sasa Leo tumekua ukweli kua bajeti ya Ulinzi ya Marekani si lolote si chochote katika vita,hiyo bajeti Yao kubwa ni upigaji na starehe TU.
Leo hii ukweli ni kwamba nchi dhaifu ya Irani iloyoishi kwenye vikwazo Kwa miaka zaidi ya 40 imeweza kuidhibiti Marekani yenye uchumi mkubwa na bajeti kubwa ya Ulinzi.
Ushahidi mwingine ni vita ya Vietnam,Talabans na somalia.
Pamoja na bajeti kubwa yote hivyo lkn bado supapawa wa mchongo akawa anaomba washirika wake na NATO wakamasaidie kupita TU Homusi achilia mbali kuipiga Iran.
 
Siku za nyuma tulikua tunaambiwa aaaah Urusi!
Urusi Cha mtoto TU kwa Marekani,
Uchumi wa Urusi haufiki hata Nusu ya uchumi wa Jimbo la California.
Watu wakaenda mabali Zaid na kusema Urusi haiwezi kupigana na marekani kwa sababu bajeti ya Ulinzi ya Marekani hata china na Urusi ziunganishe bajeti zao za ulinzi hazifiki kwa bajeti ya Ulinzi ya Marekani.
Sasa Leo tumekua ukweli kua bajeti ya Ulinzi ya Marekani si lolote si chochote katika vita,hiyo bajeti Yao kubwa ni upigaji na starehe TU.
Leo hii ukweli ni kwamba nchi dhaifu ya Irani iloyoishi kwenye vikwazo Kwa miaka zaidi ya 40 imeweza kuidhibiti Marekani yenye uchumi mkubwa na bajeti kubwa ya Ulinzi.
Ushahidi mwingine ni vita ya Vietnam,Talabans na somalia.
Pamoja na bajeti kubwa yote hivyo lkn bado supapawa wa mchongo akawa anaomba washirika wake na NATO wakamasaidie kupita TU Homusi achilia mbali kuipiga Iran.
Marekani huwa ni mbwa koko. Anabweka kwa nguvu sana ili akuogopeshe kumbe hamna lolote.
 
Back
Top Bottom