iran

  1. bwawani90

    JamiiForums Tanzania Ikiwa ubashiri wako vita ya Israel na Iran, Israel akisaidiwa na Marekani ni mihemuko kiimani. Jitafakari

    Nimekaa na kuwaza kwa kina pamoja na ukweli kwamba imani yangu haifungamani na upande wowote, ni vizuri ukajiuliza. Wengi wa wachambuzi wanakimbilia maandiko yamesema kwamba iran itapotea kwenye ramani. Wengine wanadai Israel itapotea na wengine marekani inaendelea kutafuta shimo la kupotelea...
  2. Keyboard_Warrior

    JamiiForums Tanzania George Galloway: Askari 173 wa Marekani kutoka katika kikosi cha Delta force wametekwa na Iran

    George Galloway anasema askari 173 kutoka katika kikosi hatari cha Delta force wametekwa na Jeshi la Iran.
  3. J

    JamiiForums Tanzania Against All Odds, Vita vya USA/Israel na Iran Vitadumu Muda Mfupi na Utawala wa Kiayatollah Kufutiliwa mbali

    Kumekuwa na wasiwasi kuwa vita dhidi ya Iran huenda ikadumu muda mrefu! Lahasha kwa vita hii kinyume na hofu iliyopo utadumu muda mfupi na usikute Wayahudi wakasherehekea Pesach bila ya Tishio tena la Maayatollah na IRGC. Vita hii inatimiza unabii wa Mathayo 24:14 wa kuwezesha waislamu wa Iran...
  4. Yoda

    JamiiForums Tanzania Diaspora wa Iran wanaichukia sana Serikali ya Iran

    Katika diaspora wanaoongoza kuichukua serikali yao waIran wanaoishi nje ya nchi yao wanaweza kuwa wanaongoza, wengi wao wanafurahia hadi Iran inavyoharibiwa kwa mabomu! Hakuna diaspora kabisa wa kuutetea utawala wa Ayatollah, yani wanazidiwa hata na CCM ambao angalau ina watetezi huko ughaibuni!
  5. Ritz

    JamiiForums Tanzania Trump: Tumeharibu mfumo wote wa makombora ya Iran kwa asilimia 90

    Wanaukumbi. Trump na Israel, wanachekesha sana wanasema imengamiza uwezo wa makombora ya Iran kwa asilimia 90 hawana tena huwezo wa kurusha makombora na wanadhibiti anga yote ya Iran. 😂 https://x.com/jacksonhinklle/status/2030767973946810563?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
  6. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Trump: Kiongozi mpya wa juu wa Iran hatadumu bila idhini yake.

    Rais wa Marekani amesema kiongozi anayefuata wa juu wa Iran “hatadumu muda mrefu” ikiwa Tehran haitapata idhini yake kwanza ili kuchukua nafasi ya Ayatollah Ali Khamenei aliyeuawa katika shambulio la anga siku ya kwanza ya vita. “Atalazimika kupata idhini kutoka kwetu,” Trump aliambia ABC News...
  7. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Nimelia jinsi Iran inavyopigwa mabomu

    Nimelia kuona Teheran ikipigwa mabomu kila mahali,natamani watawala wajisalimishe wananchi wapate nafuu
  8. S

    JamiiForums Tanzania Iran wanashindwa nini kulipiza kisasi kwa kumuua Netanyau?

    Kama wanaweza ku-hit target zilizoko katika mataifa jirani ya kiarabu kama Airport ya Dubai, n.k, wanashindwa nini kumlq kichwa Netanyau alieua kiongozi wao? Sikumpenda Ayatollah kwa ukatili wake, lakini pia siipendi zaidi US na Israeli kwa mauji na uonevu kisa tu masilahi yao ya kiuchumi huku...
  9. 2019

    JamiiForums Tanzania Ni vigumu sana Iran kutawaliwa na US na Israel watapigana mpaka mwisho naaamini.

    Hainiingii akilini kuwa eti makombora na mabomu yanaweza kuibadili uongozi au mfumo wa utawala Iran. Hata mtoto mdogo atakataa, Iran inaweza kupigana vita vya muda mrefu historia inaonyesha,wana uvumilivu wana nguvu na wana bidii,kama wamevumilia vikwazo toka enzi ya Mapinduzi kwanini...
  10. loose Nut

    JamiiForums Tanzania Houthi mbona kimya hawamsaidii Iran.

    Wale wanamgambo wala mirungi wa Yemen tangu Iran kubondwa na Wateule na Marekani wamekuwa kimya kulikoni? Ni zaidi ya wiki sasa hata kimondo hawajarusha kuelekea ardhi tukufu, takatifu na teule. Wamemuachia tu mwenzao Hezbollah anayejitahidi kurusha vimondo kinyonge. Houthi waache uwoga bana...
  11. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania KWELI Picha zinazoonyesha wanajeshi wa Marekani wamekamatwa nchini Iran zimetengenezwa kwa kutumia Akili Unde

  12. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Iran Wakianza Kushambuliwa Vituo na Maghala ya Mafuta, Hapo Vita Itakuwa Imeisha

    Iran Wakianza Kushambuliwa Vituo na Maghala ya Mafuta, Hapo Vita Itakuwa Imeisha Sidhani kama kwa sasa Iran wanategemea sana vifaa vya kijeshi vinavyotumia umeme. Kwa kiasi kikubwa, mifumo mingi ya kijeshi duniani ikiwemo ya Iran bado inategemea mafuta kama dizeli, petroli, na jet fuel...
  13. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Marekani na Israel hawataweza kubadali mfumo wa utawala wa Irani kutoka Sharia hadi Demokrasi bila kuweka vikosi vya ardhini ndani ya Irani.

    Uthabiti wa kimfumo na kiutawala ndani ya serikali ya jamuhuri ya Iran. Uthabiti huo utawawia vigumu mno Marekani na mshirika wake Isarael kubadili kabisa utawala wa sharia za kiislam unaotumika na kuimpose utawala wa kidemokrasia. Ili kufanikisha hilo, ni sharti kwanza pawepo na vikosi vya...
  14. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Ghafla iran imeanza kuchangamka! Tazama waalivyoishambulia ndege ya kivita ya IAF kwa ujasiri

    min -me secretarybird naona mmeamka sasa😁
  15. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Iran Inavyotazamwa

    https://youtu.be/_ISTsBrxXF4?si=NLMcrnIJdbgr2z0N
  16. H

    JamiiForums Tanzania Iran Yanyong'onyea, Yawaomba Msamaha Nchi Jirani. Trump Asema Marekani Itafanya Shambulizi Kubwa Leo

    Iran, baada ya kauli za kibabe kuwa atapiga nchi zote marafiki wa Marekani Mashariki ya kati, baada ya kurusha makombora hovyo hovyo kwa nchi za kiarabu, na Waarabu kuamua kuwa na kikao kesho ili kupambana kwa pamoja dhidi ya Iran, leo Rais wa Iran ameyaomba radhi mataifa jirani. Iran's...
  17. Chizi Maarifer

    JamiiForums Tanzania Marekani hawana demokrasia ya kweli ; ofisa katolewa nje kama mbwa kisa kupinga vita dhidi ya Iran

    Mzuka wana jamvi . Nimeshangaa Marekani inayosifika kwa demokrasia na uhuru wa maoni Jana nimeona clip ya ofisa mstaafubwa jeshi akitolewa kwa nguvu kama takataka kisa kupinga Marekani kutumia na Israel kuingia vitani kipuuzi. Jamaa alivyoanza kupiga spana tu polisi walimtoa nje kwa nguvu...
  18. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Waisreal wanakimbia nchi yao kuukwepa moto wa Iran

  19. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Rais wa Iran aziomba radhi nchi jirani walizoshambuliwa

    KATI YA AJENDA ILIYOKUWA IKIMTESA IRAM WALIAMBIWA KABLA YA MAZUNGUMZO YOYOTE AOMBE RADHI NCHI JORA. ALIZOZIPIGA TUENDELEE HATIMAE 🚨 Iran's President Masoud Pezeshkian apologised on Saturday to neighbouring countries for attacks launched during the Islamic republic's war with ‘Israel’ and the...
  20. Sir John Deere

    JamiiForums Tanzania Iran imesitisha mashambulizi kwa nchi za kiarabu kwa masharti. Mashambulizi kwa Israel na Marekani yataendelea kama kawaida

    Rais masudi pezeshkian wa Iran Leo ametangaza kusitisha mashambulizi kwa nchi jirani za kiarabu kwa masharti kwamba wasiruhusu anga wala ardhi zao kutumika kushambulia Iran. Lakini msemaji wa jeshi la Iran nae akasisitiza kuwa mashambulizi dhidi ya Israel na marekani yataendelea kama kawaida...
Back
Top Bottom