Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, ametangaza kuwa Ufaransa itapeleka meli nane za kivita, manowari ya kubeba ndege za kivita, na meli mbili za kubeba helikopta katika maeneo ya Bahari ya Mediterania, Bahari Nyekundu, na Mlango wa Bahari wa Hormuz ili kukabiliana na Iran. Hatua hii inaonekana...