Wananchi wa Iran wanapata burudani kwa namna mapolisi yao yanababaika kila yakisikia sauti ya drone.... Imekua mazoea kuchezesha hizo sauti za drone karibu na mapolisi ya doria halafu wanachekelea namna inavyokua tafrani.
https://www.facebook.com/reel/1451297260343677
Nimewaza tu. Hawa wanafaa sana kuongoza nchi kama Iran. Je kwa nini Iran isije kuazima wakawapa nafasi za juu kule nchini kwao? Na je hawawezi pia kumchukua na IGP wetu naye akaenda kuwa Mkuu wa kikosi cha Bajis?
Nadhani katika kipindi hiki Iran ingepata viongozi wa karba hii tulio nao...
Uwanja wa Mapinduzi mjini Tehran: Mazishi ya Ali Larijani, mwanawe, washirika wake, na kamanda wa Basij waliouawa na Israeli.
Adiosamigo gallow bird 100 others gTurn mdogoee lini mnaanua Matanga?
Nachoka kabisa Mume wenu, Kaka yenu,Ndugu yenu, Rafiki yenu Chizi Maarifa. Nachoka sana.
Hawa jamaa wanasema sasa ndo wataanza kuua yaani ile mwanzo ilikuwa ni trailer sasa ndo picha litaanza rasmi. Na wamefanya onesho la mfano kwa kupiga kuangusha jengo ambalo walikuwa wamekutana viongozi wa Iran.
Wakati dunia inashuhudia kuuwawa kwa viongozi madhalimu wa huko Iran watu wengi wanajiuliza Kiongozi mpya wa Kidini Ayatollah Mojtaba Khamenei yuko wapi?
Kuna watu wengi wanadai jamaa hao hawaogopi kufa sasa huyu Majitaka Khamenei anatafutwa sana kwa nini hajitokezi ili afe shahidi? Adiosamigo...
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu atoa ujumbe kwa watu wa Iran wakati Wafuga Midevu na Majini wanadai amekufa!!
"Niko hapa na Waziri wa Ulinzi wa Israeli, Mkuu wetu wa Majeshi, mkuu wa Mossad, Mkuu wa Jeshi la Anga, makamanda wetu wakuu. Katika saa 24 zilizopita, tuliwaangamiza wakuu...
Iran’s intelligence minister Esmail Khatib
Israeli Defense Minister Israel Katz says Iran’s intelligence minister Esmaeil Khatib was eliminated in an overnight strike in Tehran.
Katz warns of “significant surprises” expected today across multiple arenas, signaling further escalation against...
Jameni Myahudi amechafukwa, ukizingatia mindege yake inaruka na kupiga popote...
Hakuna aliyejaribu kufuta jamii ya Wayahudi akafanikiwa, hata miungu yote ya awali wakiwemo akina Baal wote walishindwa, maana Jehovah muumba wa vyote ndiye yuko nao....hata mubuni dini yenu leo na kuchukia Israel...
Iran's embassy in Mexico on Tuesday said the country is negotiating with FIFA to move Iran's World Cup matches from the U.S. to Mexico after President Donald Trump discouraged the team from attending the tournament, citing safety concerns.
It was already unclear whether such talks were even...
Rais wa Iran anatarajiwa kubwaga manyanga hivi karibu baada ya yeye kushindwa kutekeleza majukumu yake kikamilifu.
Haya yanajiri kutokana na viongozi wengi wa Iran kuwindwa kama Sungura na Majeshi ya Israel!!
Masoud Pezeshkian ni Rais wa Iran aliyechaguliwa kwa kura nyingi za Wairani wakitarajia labda kutokana na misimamo yake ambayo haichagizwi na allah na pia mafundisho (hadith) ya Muhammad anaweza leta unafuu ktk kujiamulia maisha yao kwa Uhuru. Pezeshkian aliongezewa ktk orodha ya wagombea urais...
Dkt. Anwar Gargash, ambaye ni mshauri wa kidiplomasia wa Rais wa UAE, amethibitisha leo (Jumanne, Machi 17, 2026) kuwa UAE inaweza kujiunga na juhudi za kimataifa zinazoongozwa na Marekani ili kulinda usalama wa njia ya maji ya Strait of Hormuz.
Gargash alitoa kauli hiyo wakati akizungumza...
Uvumi wa kifo cha Netanyahu ulipoanza, Israel waliona taarifa hizo zinaweza kutumika kwenye vita. hawakupoteza muda, waligeuza uvumi huo kuwa silaha, kama msemo wa Wazungu unavyosema “ukipewa malimao, tengeneza juice ya lemonade.” Kwa ustadi wa hali ya juu, walitumia taarifa hizo kama chambo na...
Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz, amesema leo Machi 17, 2026 kuwa mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, ameuawa katika shambulio la Israel.
Ali Larijani amekuwa akijulikana kwa miongo kadhaa kama kiongozi mwenye msimamo wa wastani na mtazamo wa kimkakati ndani ya uongozi wa Iran...
Memorial actions for the 168 schoolgirls – the “Angels of Minab” killed by an American missile in Iran – are taking place around the world
Activists, civil society groups and children are placing pink backpacks in front of Iranian embassies in several countries.
The world is still reeling from...
Hii ni kwenye mahojiano na Waandishi siku ya jana ambapo Rais Donald Trump alikiri kuwa changamoto ya kuishughulikia Iran sio rahisi kama wengi wanavyodhani kwani yupo kwenye hali inayomfanya ashindane na watu anaodai;
Trump analejerea ugumu wa vita ya Iran kwa hapo ilipofikia. Ni wazi Rais...
Moja kwa moja .
Babu Trump ameyatimba inaonekana hii vita aliingia kichwa kichwa bila kupiga hesabu kisawasawa ya all possible scenarios , njia za kuOvercome , pamoja na mbinu za kushinda na kimaliza vita kwa ufanisi .
Sasa ameanza kufoka , kuleta bitishonna kutia huruma kuwa mataifa mengine...
Suala Iran linaonekana limeanza kuwa gumu kwa Marekani, Trump leo ametema Nyongo na kuzishutumu baadhi ya nchi kutokuwa na shauku za kuisaidia Marekani kutatua changamoto ya mfereji wa Hormuz, licha ya kuwa nchi hizo zilikuwa zinaitegemea Marekani kiulinzi kwa zaidi ya miaka 40.
Trump anadai...
Baada ya kuponea kwenye tundu la sindano kuuwawa hapo Feb 28,2026 Gaidi Ayatollah Majitaka Khamenei alijeruhiwa vibaya na Hali yake huko alikojificha Inasemekana ni mbaya sana.
Taarifa kutoka vyombo mbalimbali huko Israel na Russia zinathibitisha kuwa Hali yake ya ki afya si rafiki kutokana na...
Waziri wa Hazina wa Marekani, Scott Bessent, ameviambia vyombo vya habari kuwa; Marekani imekubali kwa makusudi kuruhusu meli za mafuta za Iran kupita katika Mlango wa Hormuz bila kuzuiliwa kijeshi kwa sasa.
Hatua hii imechukuliwa ili kudhibiti bei ya mafuta duniani isipae zaidi (baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.