internet

  1. Sam Gidori

    Huduma ya Intanet yarejea Ethiopia baada ya kuzuiwa mwishoni mwa juma

    Shirika linalofuatilia upatikanaji wa huduma ya intanet la NetBlocks limesema huduma ya intaneti kwa majukwaa ya Facebook, WhatsApp na Instagram imerudi nchini Ethiopia baada ya kukosekana mwishoni mwa juma. Taasisi ya Huduma za Habari ya Ethiopia na Kampuni inayomilikiwa na Serikali ya...
  2. TOHATO

    Haloteli kuhusu kasi ya internet mmeanza kuyumba, jirekebisheni

    Kwanza niwape hongera kwa kuwa moja ya mitandao inayotoa huduma nyingi kwa bei nafuu,kuanzia msg,dakika , kutoa na kutuma hela kwa Halopesa. Ila sasa mmezingwa na jambo la Kasi ya intenet kuwa ndogo sana. Mawazo yangu nadhani kwa vile kumekuwa na wigo kubwa na wahamiaji kwenye mtandao wenu...
  3. Sam Gidori

    Huawei kurusha satelaiti mbili za 6G mwezi Julai

    Kampuni ya Teknolojia ya Huawei inatarajiwa kurusha satelaiti mbili angani mwezi Julai, 2021 ikilenga kuingia katika teknolojia ya intaneti ya 6G. Kampuni hiyo ya China imekuwa mstari wa mbele duniani kuboresha kasi ya upatikanaji wa mtandao wa intanet, hii ikiwa ni mara ya pili kurusha...
  4. Geza Ulole

    Here is the rank for EA's data affordability and internet accessibility

    Tanzania remains the place to be for cheapest data, internet access WEDNESDAY APRIL 28 2021 Summary For the second year running, Tanzania is the country in East Africa where you will pay lowest to access the internet on your smartphone. PHOTO | FILE | NMG Countries with long-established...
  5. Nyani Ngabu

    The internet is still undefeated

    Mwishoni mwishoni mwa hotuba ya Rais Samia kazungumzia mambo ayaonayo mitandaoni. Mambo ya kizushi, ya kuchonganisha, na kila aina ya uzandiki. Ni jambo jema. Ni jema kwa sababu linaonyesha haishi peke yake kwa kujitenga kwenye puto alimo yeye tu mwenyewe. Anafuatilia kinachoendelea na...
  6. C

    INAUZWA Decoder ya internet kwa wenye smart Tv

    Nauza decoder ambayo itakusaidia kupata huduma ya internet kwa wenye TV za smart ingawa inaweza kutumika pia kwenye Laptop na desktop, inatumia line za mitandao yote ya simu. Being yake ni 50000 tu.
  7. AVO28

    Internet provider Kwa fiber | Tabata

    Wakuu naomba kujua kama kuna fiber internet provider yeyote ambae huduma zake zinafika mpaka Maeneo ya Tabata. Naomba Contact au Website name..
  8. Bana Balume

    Vifurushi vya internet: Ina maana Watanzania tumechezewa akili?

    Nawasalimu wanajukwaa wote kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania pia nawatakia Waislamu wote mfungo mwema wa mwezi mtukifu wa Ramadhani. Niende moja kwa moja kwenye topic, lengo la uzi huu ni kuhusu hili suala zima la vifurushi au mabando katika mitandao ya simu. Kama tunakumbuka kuna...
  9. The Boss

    Internet provider Kwa fiber

    Nikitaka niweze Ku provide fiber niwe internet provider Kwa kijiji kidogo mfano nyumba 200.. Natakiwa nifanyeje..? Nianzie wapi?
  10. M

    Maeneo yenye Internet za Bure ( free wifi hotspots locations)

    Wadau, Kutokana na hali halisi ya vifurushi kwa sasa kuwa haieleweki , naomba tufahamishane kwa wale wanaojua njia mbalimbali mbadala za kuendelea kuwa mtandaoni bila gharama , kwa mfano wifi hotspots ambazo mtu anaweza kwenda kukaa na kutumia internet bure , hii inaweza ikawa katika public...
  11. Maleven

    Je walio Serikalini hawafahamu umuhimu wa internet kwa dunia ya leo?

    Internet sio anasa, internet sio jambo la option, internet ni ulimwengu kama ulivyo ulimwengu wa kifizikia, Watu waanasoma mtandaoni Watu wanafanya biashara mtandaoni Watu wanaburudika mtandaoni Watu wanasoma mtandaoni Watu wanapata taarifa mtandaoni Watu wanajuliana hali na kuendeleza mambo...
  12. Cannabis

    Baada ya Malalamiko ya wananchi, Serikali yasitisha bei mpya za vifurushi

    Dar es Salaam. Saa chache baada ya kutangazwa kwa bei mpya za vifurushi, Serikali imetangaza kusitisha kutumika kwa gharama hizo hadi hapo itakapotangazwa baadaye. Uamuzi huo unaweza kuwa habari njema kwa watumiaji wa mitandao ya simu ambao, tangu kutangazwa kwa bei hizo mpya mapema leo Ijumaa...
  13. F

    TTCL huu ndio muda wenu wa kuvuna wateja wa voda, tigo, airtel, nyinyi shusheni bei ya internet - kodi tra wanawasamehe ki siri siri

    TTCL ni shirika la uma, limefufuka ila halina wateja wa kutosha Sasa huu ndio muda wa kuvuna wateja.. serikali iwabebe kama ilivyoibeba NHIF... Tigo, voda , hallotel mtawapora wateja wote
  14. sky soldier

    Kwa walio Dar es Salaam tu: Hili ndilo suluhisho la uhakika kukabiliana na gharama zilizopanda za internet

    Kama upo Dar maeneo ya Kariakoo, Mjini posta, Msasani, Peninsular, Upanga, Kinondoni ya Morocco, Mikocheni, Masaki, O'bey, n.k Kuna fiber za kutosha kama zuku, Raha, Gofiber, n.k Fibre ni internet ya waya, unavutiwa waya hadi sehemu ulipo nyumbani kwako, ni internet ya waya lakini kuna kifaa...
  15. Nivlark

    5G speed internet in Kenya

    Safaricom will Friday launch Kenya’s first fifth-generation (5G) mobile internet services targeting major urban centres, making it the inaugural operator to offer commercial and superfast services in the region. The firm last year completed testing and trials for the upgraded network as the...
  16. Nyani Ngabu

    The internet is undefeated: A painful lesson

    I hope this was a teachable moment. From it, they will grow through what they went through and do better going forward. They say if you know better, you do better. So I’m crossing my fingers that they will publicly acknowledge the error of their ways and promise us to do better and use some...
  17. Jokia

    Msaada: Nahitaji huduma ya internet

    Wakuu salama humu? Naombeni msaada katika hili. Mahali nilipo huduma ya internet kupitia mitandao ya simu haipatikani na ikitokea inasoma E kiasi kwamba siwezi fanya cha maana kwa kutumia mtandao. Naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa kuunganishiwa wireless internet ili niwe natumia wi-fi...
  18. The Dictator

    Naomba kujulishwa: TTCL internet configuration settings

    Kama ninavyosomeka hapo juu. Watz nahitaji kufahamu configuration za internet ya ttcl
  19. R

    This is too much! Internet sasa tukimbilie wapi?

    Yaan leo ndio nimechoka km hali ndio hii hii serikal sidhan km ipo kwamaslah ya wananch bali ipo kwa maslah yake yeye yenyewe Majuzi juz apo nilimsikia spika akisema kuwa sijui wapandishe kodi ili vijqna wasipate mda wa juingia mitandaon bali wafanye kaz sikujali sn nikapuuza ile taarifa...
Back
Top Bottom