Afcon kinanuka
JF-Expert Member
- Apr 5, 2026
- 761
- 2,014
Mimi kama mtanganyika nilimkubali sana hamphrey polepole kutokana na elimu aliyokuwa anatupa watanganyika kwenye kipindi chake cha elimu ya uongozi.
Toka yaanze maandamano sikuwahi kushiriki lakini kwa kumteka polepole na wengine zaidi ya miamoja kama inavyoonesha taarifa ya TLS iliyosomwa na rais wa chama hicho boniphace mwambukusi imenipa ujasiri wa kuandamana siku ya sabasaba.
Bila kukinukisha kisawasawa,haya mambo ya utekaji hayataisha.haiwezekani mtu anauliwa mchana kweupe halafu wenye mamlaka wanakenua meno tu(mzee kibao,pepole,mdude,chaula,soka.n.k
KUIDAI HAKI LAZIMA BAADHI WAUMIE,WATANGANYIKA TUSIOGOPE KUUMIA MAANA HATA BAADHI YA MABABU ZETU KIPINDI WANAMTOA MKOLONI MWEUPE WALIUMIA NA KUPOTEZA MAISHA,NA SISI TUSIOGOPE KUMTOA MKOLONI MWEUSI.
Aluta continua...
Toka yaanze maandamano sikuwahi kushiriki lakini kwa kumteka polepole na wengine zaidi ya miamoja kama inavyoonesha taarifa ya TLS iliyosomwa na rais wa chama hicho boniphace mwambukusi imenipa ujasiri wa kuandamana siku ya sabasaba.
Bila kukinukisha kisawasawa,haya mambo ya utekaji hayataisha.haiwezekani mtu anauliwa mchana kweupe halafu wenye mamlaka wanakenua meno tu(mzee kibao,pepole,mdude,chaula,soka.n.k
KUIDAI HAKI LAZIMA BAADHI WAUMIE,WATANGANYIKA TUSIOGOPE KUUMIA MAANA HATA BAADHI YA MABABU ZETU KIPINDI WANAMTOA MKOLONI MWEUPE WALIUMIA NA KUPOTEZA MAISHA,NA SISI TUSIOGOPE KUMTOA MKOLONI MWEUSI.
Aluta continua...