Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 16,410
- 42,396
1. Je Yuko hai?
2. Kama Yuko hai anafanywaje? Kula na kulala milele au ?
3.Je anayemtunza kama Yuko hai Huwa anaongea nae?
4. Au anampa Chakula na kuondoka?
5. Je kama Yuko hai anawaza nini? Kwamba kuna siku nitaliona jua?
6. Je anayemtunza/mfuga anamwambia maneno gani?
7. Kwamba pengine wewe hutaliona jua maisha yako yote?8. Kama ndivyo je serikali zijazo zenye utu zitamwachia huru?
9. Je anayempa Chakula polepole nayeye anafwatiliwa 24/7?
10. Kama you hai kisaikolojia atakuwaje?
11.Haya kama wamemuuwa je mwisho wake ulikuwaje?
12. Alilia?
13 Alipata nafasi ya kutubu Kwa wauwaji wake?
14. Je kifo chake kilikuwaje?
15. Cha maumivu?
16. Cha taratibu?
16. Mwili wake uliçhomwa?
17. Ulitupwa baharini?
18. Ulimwagiwa tindikali?
19. Kumuua ni rahisi kuliko aendelee kuwa hai?
20. Atavujisha siri za alipokuwa nk.
Maswali haya yanayomhusu POLEPOLE ni ya wote waliokufa ambao maiti zao hazijaonekana mpaka leo. Baadhi ya maswali hapo hayamhusu mtu kama Mzee MOHAMMED ALLY KIBAO and the alike.
2. Kama Yuko hai anafanywaje? Kula na kulala milele au ?
3.Je anayemtunza kama Yuko hai Huwa anaongea nae?
4. Au anampa Chakula na kuondoka?
5. Je kama Yuko hai anawaza nini? Kwamba kuna siku nitaliona jua?
6. Je anayemtunza/mfuga anamwambia maneno gani?
7. Kwamba pengine wewe hutaliona jua maisha yako yote?8. Kama ndivyo je serikali zijazo zenye utu zitamwachia huru?
9. Je anayempa Chakula polepole nayeye anafwatiliwa 24/7?
10. Kama you hai kisaikolojia atakuwaje?
11.Haya kama wamemuuwa je mwisho wake ulikuwaje?
12. Alilia?
13 Alipata nafasi ya kutubu Kwa wauwaji wake?
14. Je kifo chake kilikuwaje?
15. Cha maumivu?
16. Cha taratibu?
16. Mwili wake uliçhomwa?
17. Ulitupwa baharini?
18. Ulimwagiwa tindikali?
19. Kumuua ni rahisi kuliko aendelee kuwa hai?
20. Atavujisha siri za alipokuwa nk.
Maswali haya yanayomhusu POLEPOLE ni ya wote waliokufa ambao maiti zao hazijaonekana mpaka leo. Baadhi ya maswali hapo hayamhusu mtu kama Mzee MOHAMMED ALLY KIBAO and the alike.