Sakwe
JF-Expert Member
- Jul 31, 2022
- 245
- 879
Wakuu hongereni na poleni sana na harakati za maisha.
Mtaji wa kwanza kwa mwanadamu ni Afya tusiache kulingia afya tuliyonayo maana wapo wenzetu humu na wengine ma hospitalini huko wana pambania Afya zao.
Turudi kwenye mada tajwa hapo juu leo nikaona sio sawa kupita hivi hivi bila kurejea visa vya watu mashuhuri walio pitia joto la watawala baada ya kukosoa au kuhoji serikali na mifumo ya utawala.
Swali langu kwenu wataalamu,watu wazima na watu mliowahi kushika au kupewa nyadhifa mbalimbali,
Je ni sawa kuhoji au kukosoa utawala na mifumo yao? Turejeee
(swali la kikatiba la bwana PASCHAL MAYALLA tena kwa head of state aliyekiri kuwa sio mtaalam wa sheria na kulivagaa swali na kutoa majibu yasiyokuwa na muelekeo)
Hoja za bwana Humphrey tena kwa watawala walio mnufaisha na baadaye akaja na maswali mazito (alipo mpka leo hakujulikani)
Wenu katika ujenzi wa taifa
Sakwe sakwe
Binadamu mashaka 🙏
Mtaji wa kwanza kwa mwanadamu ni Afya tusiache kulingia afya tuliyonayo maana wapo wenzetu humu na wengine ma hospitalini huko wana pambania Afya zao.
Turudi kwenye mada tajwa hapo juu leo nikaona sio sawa kupita hivi hivi bila kurejea visa vya watu mashuhuri walio pitia joto la watawala baada ya kukosoa au kuhoji serikali na mifumo ya utawala.
Swali langu kwenu wataalamu,watu wazima na watu mliowahi kushika au kupewa nyadhifa mbalimbali,
Je ni sawa kuhoji au kukosoa utawala na mifumo yao? Turejeee
(swali la kikatiba la bwana PASCHAL MAYALLA tena kwa head of state aliyekiri kuwa sio mtaalam wa sheria na kulivagaa swali na kutoa majibu yasiyokuwa na muelekeo)
Hoja za bwana Humphrey tena kwa watawala walio mnufaisha na baadaye akaja na maswali mazito (alipo mpka leo hakujulikani)
Wenu katika ujenzi wa taifa
Sakwe sakwe
Binadamu mashaka 🙏