humphrey polepole

Humphrey Polepole is a Young Tanzanian politician presently serving as the Chama Cha Mapinduzi's Ideology and Publicity Secretary. Before being appointed Humphrey Polepole was a District Commissioner for Ubungo district

View More On Wikipedia.org
  1. ChekoFagia

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday Humphrey Polepole, Watanzania wanakukumbuka sana

    Happy birthday. Lakini moyoni mwangu bado nakuwaza. Mimi, pamoja na wengi, tunaendelea kutumai kuwa huenda siku moja tungepata majibu, kwa kuwa bado kuna sauti ndani yetu inayosema labda bado upo hai. Hilo ndilo linalouma zaidi. Maumivu yangu huwa makubwa ninapomuona mama yako akiendelea kuomba...
  2. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Unamzima Humphrey Polepole anabuka Larry Madowo; Serikali Isipuuzie Sauti za Raia

    Shida ya serikali yetu imechukua mizizi kwamba njia pekee ya kuwanyamazisha wananchi ni kuwatia mbaroni au kuwatisha kwa jeuri au kauli kali. Wamesahau kabisa kwamba kila siku watoto wa binadamu wanazaliwa. Kwa hiyo, kila siku wanaharakati wapya, wenye damu changa na shauku mpya, wanakuja...
  3. Griss

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Baada ya Polepole sasa anayewindwa ni Lissu. Lissu anatakiwa kulindwa kuliko kitu chochote

    Nimerudi kuwasanua mwenye masikio na asikie: asiyesikia la mkuu uvunjika guu. Kuna wahuni wanapanga kutumia mwanya wa maandamano kuchochea kuni zaidi kwa maslahi yao binafsi. Sasa hivi ni wazi kabisa ni Lissu anayekuwa mhitajiwa. Kuna mpango unaosukwa, wanamtandao wanasema, baada ya kuona...
  4. The Magnifico

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu, Humphrey Polepole na Josephat Gwajima ndiyo pekee ambao wakiachiwa na kuongea neno, kidogo itatuliza fukuto

    Hii miamba mitatu ndiyo kwa sasa ina "Public Trust" kubwa nchi hii kuliko yeyote yule katika nyakati hizi. Hawa ndiyo imani ya wananchi wengi iko kwao, neno lao lina nguvu kushinda yeyote yule! Hawa ndiyo the only "Checkmate" wa kututoa kwenye hili sekeseke na kutuliza hali ya hewa ya nchi...
  5. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Agustino Polepole: Kikwete alisema Humphrey Polepole aendelee kushikiliwa

    Kwa mujibu wa kaka yake Balozi Humphrey Polepole, Kanali Agustino Polepole, amesema kuwa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete ndiye aliyetoa maelekezo kwamba Humphrey Polepole aendelee kushikiliwa. “Kikwete alisema Humphrey Polepole aendelee kushikiliwa.” Kanali Agustino Polepole, kaka wa Balozi...
  6. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Kwa nini jina la Polepole halipo kwa wanaotakiwa kujisalimisha polisi?

    GT Mungu nimwema mara zote humuumbua mjinga,sasa hawa police mbona hawajamtaja polepole kama moja ya watu waliohamasisha raia kutoka?
  7. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Sasa wahuni wamethibitisha uhuni aliokuwa akiongelea Humphrey Polepole

    Kwa ukatili na unyama ulioandamana na mauaji ya halaiki, tumethibitisha hoja za Polepole kuwa tunatawaliwa na wahuni. Bila uhuni, haya mambo yasingetokea. Ikibidi, tuanze upya kuwapatiliza hawa wahuni wasije kutuharibia nchi. Washindwe wahuni wote chini ya mhuni mkuu na mwenzake anayemtumia...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Wakili Kibatala awataka wananchi kupuuzia taarifa zilizodai kuwa Polepole alipatikana katika eneo la ufukwe

    Kwa Tafsiri isiyo rasmi kupitia ukurasa wake wa Intagram Wakali Peter kibatala ameandika kuwa; "Kwanza kabisa tunaomba radhi kwa kukosa kutoa taarifa katika kipindi cha giza totoro; lakini kama mnavyoelewa, hicho kilikuwa ni kipindi kigumu zaidi katika historia ya maisha yetu hapa nchini, na...
  9. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Hatutanyamaza mpaka wakina Polepole waachiliwe

    Kesho tutakinukisha mpaka wakina Polepole waachiliwe hakuna kufungua huduma zozote tutasimamisha nchi hatutarudi nyuma
  10. M

    JamiiForums Tanzania KUMBUKIZI: Ushauri alioutoa Humphrey Polepole kwa Samia ukapuuzwa

    Hebu tujikumbushe:
  11. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Azim Dewji: Sidhani kama Humphrey Polepole ametekwa. Labda ameamua kujificha kimkakati

    Wewe babu unaongea kabisa kwa ujasiri! Yani Polepole ajifiche tu acha uchawa wako huo. Umri wako ulipaswa kuongea kwa hekima. Usiropoke kama unavyoropoka ukiwa unaiongelea Simba ================== Mfanyabiashara maarufu nchini, Azim Dewj, amesema kuwa hana imani na taarifa zinazodai kuwa...
  12. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Uamuzi wa kesi ya Polepole dhidi ya jamhuri kutolewa leo Oktoba 24, 2025

    Shauri namba 24514 la mwaka 2025 lililofunguliwa na aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania kwenye nchi za Malawi na Cuba Humphrey Polepole dhidi ya Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) na wenzake, linatarajiwa kutolewa uamuzi leo, Ijumaa Oktoba 24.2025, Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wasira: Kuna maswali kuhusu Polepole, alisema ametelekezwa Cuba halafu ghafla ikawa ametekwa Tanzania!

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira amesema "Kupotezwa Watu ni uhalifu na CCM hakina Sera ya kupoteza Watu. Lakini uhalifu ni uhalifu, na uhalifu unabadili sura, na wakati mwingine uhalifu unaweza kufanyika kwa ajili ya kuchonganisha jamii" "Uhalifu siyo ishu ya...
  14. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania Mama Polepole amefika mahakama kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam

    Kesi ya jinai iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania kwenye nchi za Malawi na Cuba Humphrey Polepole kupitia Wakili wake Peter Kibatala, inaendelea leo, Jumatano Oktoba 15.2025, Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam Katika kesi hiyo ambayo inasikilizwa chini ya...
  15. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania GE2025 Gerson Msigwa: Serikali haijui alipo Humphrey Polepole, ndio maana Polisi inafanya uchunguzi

    Mahojiano ya Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa alipozungumza na Kituo cha UTV, leo Jumatatu Oktoba 13, 2025. Kuhusu Polepole nini kauli ya Serikali Jeshi la Polisi limeshatangaza kutaka aende akatoe maelezo juu ya kauli...
  16. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Tunaomba mrudisheni Polepole, huyu alikuwa Balozi hawezi kupotea kama kuku

    Tunaomba mrudisheni Polepole kama kuna kosa alifanya mahakama zipo. Huyu alikua katibu Mwenezi wa chama taifa, balozi Mjumbe wa Bunge la katiba pia Mbunge huyu mtu anawezaje kupotea kama kuku? Tafadhali wakuu naomba mtoe tamko Polepole yuko wapi? serikali ina kila kitu vyombo vyote vya ulinzi...
  17. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Nchimbi amshukia Samia kutekwa kwa Polepole

    Kumekuwepo na Kipande cha Video kinacho sambaa kwenye Mtandao wa Facebook kikimuonesha Nchimbi akisema Samia Must Go huku akieleza kuwa Dhamira ni Kupinga Masuala ya Utekaji Nchini Tanzania. Je video hiyo ina Ukweli kiasi gani.
  18. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 ICC: Godfrey Malisa chukua tahadhali, usije kuwa kama Humphrey Polepole. Please and please take note of this

    Chukua tahadhali, huyu Mama ameshavua nguo zote za ubinadamu. Usifanye mzaha,usalama wako uko on test, tena test kubwa. Chukua tahadhali! Umemshika masharubu simba mla watu. Take care please.
  19. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Narudi kwa Polepole, kwahiyo ndiyo basi tena? Hivi kwanini ulijiamimisha hivyo kuwa hapa nchini

    Nani atusaidie kumpata? Marekani? Maandamano ya 29.10.25 yakifanyika kama ya Nepal, tutampata na wengine angalau hata maiti zao! Polepole kwanini ulijiaminisha kuwa hapa. Ungelikwenda hata Scandinavian countries ungekuwa salama!
  20. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Japo hakuna aliyethibitisha au kukanusha, kama kweli Humphrey Polepole ashauawa, nini kitatokea?

    Niseme kwanza. Mie si shabiki wa Humphrey Polepole ambaye ni mwanachama na kiongozi wa CCM. Sipendi CCM. Hivyo, CCM wakitekana na kuuana, huwa hainishughulishi. Kinachonishughulisha ni kelele na maombi nionayo hapa jf juu ya kukamata/kutekwa na sasa kuawa au kutoweka kwa Polepole. Je ikitokea...
Back
Top Bottom