Humphrey Polepole is a Young Tanzanian politician presently serving as the Chama Cha Mapinduzi's Ideology and Publicity Secretary. Before being appointed Humphrey Polepole was a District Commissioner for Ubungo district
Happy birthday. Lakini moyoni mwangu bado nakuwaza. Mimi, pamoja na wengi, tunaendelea kutumai kuwa huenda siku moja tungepata majibu, kwa kuwa bado kuna sauti ndani yetu inayosema labda bado upo hai.
Hilo ndilo linalouma zaidi. Maumivu yangu huwa makubwa ninapomuona mama yako akiendelea kuomba...
Shida ya serikali yetu imechukua mizizi kwamba njia pekee ya kuwanyamazisha wananchi ni kuwatia mbaroni au kuwatisha kwa jeuri au kauli kali. Wamesahau kabisa kwamba kila siku watoto wa binadamu wanazaliwa. Kwa hiyo, kila siku wanaharakati wapya, wenye damu changa na shauku mpya, wanakuja...
Nimerudi kuwasanua mwenye masikio na asikie: asiyesikia la mkuu uvunjika guu.
Kuna wahuni wanapanga kutumia mwanya wa maandamano kuchochea kuni zaidi kwa maslahi yao binafsi. Sasa hivi ni wazi kabisa ni Lissu anayekuwa mhitajiwa.
Kuna mpango unaosukwa, wanamtandao wanasema, baada ya kuona...
Hii miamba mitatu ndiyo kwa sasa ina "Public Trust" kubwa nchi hii kuliko yeyote yule katika nyakati hizi. Hawa ndiyo imani ya wananchi wengi iko kwao, neno lao lina nguvu kushinda yeyote yule!
Hawa ndiyo the only "Checkmate" wa kututoa kwenye hili sekeseke na kutuliza hali ya hewa ya nchi...
Kwa mujibu wa kaka yake Balozi Humphrey Polepole, Kanali Agustino Polepole, amesema kuwa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete ndiye aliyetoa maelekezo kwamba Humphrey Polepole aendelee kushikiliwa.
“Kikwete alisema Humphrey Polepole aendelee kushikiliwa.” Kanali Agustino Polepole, kaka wa Balozi...
Kwa ukatili na unyama ulioandamana na mauaji ya halaiki, tumethibitisha hoja za Polepole kuwa tunatawaliwa na wahuni.
Bila uhuni, haya mambo yasingetokea. Ikibidi, tuanze upya kuwapatiliza hawa wahuni wasije kutuharibia nchi.
Washindwe wahuni wote chini ya mhuni mkuu na mwenzake anayemtumia...
Kwa Tafsiri isiyo rasmi kupitia ukurasa wake wa Intagram Wakali Peter kibatala ameandika kuwa;
"Kwanza kabisa tunaomba radhi kwa kukosa kutoa taarifa katika kipindi cha giza totoro; lakini kama mnavyoelewa, hicho kilikuwa ni kipindi kigumu zaidi katika historia ya maisha yetu hapa nchini, na...
Wewe babu unaongea kabisa kwa ujasiri! Yani Polepole ajifiche tu acha uchawa wako huo.
Umri wako ulipaswa kuongea kwa hekima. Usiropoke kama unavyoropoka ukiwa unaiongelea Simba
==================
Mfanyabiashara maarufu nchini, Azim Dewj, amesema kuwa hana imani na taarifa zinazodai kuwa...
Shauri namba 24514 la mwaka 2025 lililofunguliwa na aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania kwenye nchi za Malawi na Cuba Humphrey Polepole dhidi ya Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) na wenzake, linatarajiwa kutolewa uamuzi leo, Ijumaa Oktoba 24.2025, Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar...
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira amesema "Kupotezwa Watu ni uhalifu na CCM hakina Sera ya kupoteza Watu. Lakini uhalifu ni uhalifu, na uhalifu unabadili sura, na wakati mwingine uhalifu unaweza kufanyika kwa ajili ya kuchonganisha jamii"
"Uhalifu siyo ishu ya...
Kesi ya jinai iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania kwenye nchi za Malawi na Cuba Humphrey Polepole kupitia Wakili wake Peter Kibatala, inaendelea leo, Jumatano Oktoba 15.2025, Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam
Katika kesi hiyo ambayo inasikilizwa chini ya...
Mahojiano ya Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa alipozungumza na Kituo cha UTV, leo Jumatatu Oktoba 13, 2025.
Kuhusu Polepole nini kauli ya Serikali
Jeshi la Polisi limeshatangaza kutaka aende akatoe maelezo juu ya kauli...
Tunaomba mrudisheni Polepole kama kuna kosa alifanya mahakama zipo. Huyu alikua katibu Mwenezi wa chama taifa, balozi Mjumbe wa Bunge la katiba pia Mbunge huyu mtu anawezaje kupotea kama kuku?
Tafadhali wakuu naomba mtoe tamko Polepole yuko wapi? serikali ina kila kitu vyombo vyote vya ulinzi...
Kumekuwepo na Kipande cha Video kinacho sambaa kwenye Mtandao wa Facebook kikimuonesha Nchimbi akisema Samia Must Go huku akieleza kuwa Dhamira ni Kupinga Masuala ya Utekaji Nchini Tanzania.
Je video hiyo ina Ukweli kiasi gani.
Chukua tahadhali, huyu Mama ameshavua nguo zote za ubinadamu. Usifanye mzaha,usalama wako uko on test, tena test kubwa.
Chukua tahadhali! Umemshika masharubu simba mla watu. Take care please.
Nani atusaidie kumpata? Marekani? Maandamano ya 29.10.25 yakifanyika kama ya Nepal, tutampata na wengine angalau hata maiti zao!
Polepole kwanini ulijiaminisha kuwa hapa. Ungelikwenda hata Scandinavian countries ungekuwa salama!
Niseme kwanza. Mie si shabiki wa Humphrey Polepole ambaye ni mwanachama na kiongozi wa CCM. Sipendi CCM. Hivyo, CCM wakitekana na kuuana, huwa hainishughulishi. Kinachonishughulisha ni kelele na maombi nionayo hapa jf juu ya kukamata/kutekwa na sasa kuawa au kutoweka kwa Polepole. Je ikitokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.