Nikiwa Rais moja ya mambo ntakayoyafanya ni kuhakikisha huduma ya dialysis inakua bure
Mfano mashine moja ya dialysis ni sh 200,000,000 haya ni makadirio
200,000,000 × 184= 36,000,000,000
(184 ni jumla ya wilaya zote zilizopo Tanzania) ukizidisha mara mbili ni sh billion 72,000,000,000 kila...