Huduma Kenya Programme is a Kenya Vision 2030 flagship project captured under the Mid Term plan for 2013 – 2017. The Programme was launched by H.E Uhuru Kenyatta, President of the Republic of Kenya, on 7 November 2013 which coincided with the launch of the first Huduma Centre in Kenya at GPO Nairobi.
The aim of the Huduma Kenya program is to enhance the access and delivery of Government Services to all Kenyans. Ministry of Public Service, Youth and Gender Affairs is coordinating implementation of the Programme.c.Through the Huduma Kenya initiative, Kenya has been able to launch a Huduma Namba, which is equivalent to the US's Social Security Number (SSN).
•Taasisi ya Saratani Ocean ni hospital ya taifa kwa utoaji huduma za saratani hapa Tanzania.
•Huduma zinazotelewa zinajumuisha elimu ya afya, saratani,chanjo za saratani,uchunguzi wa awali ,vipimo,tiba, mafunzo na tafiti za saratani.
•Taasisi inahudumia wagonjwa kutoka ndani ya nchi wa nje ya...
Hali ya ubaguzi na upendeleo katika kila ofisi kuanzia zile za dini, binafsi hata serikali ni kubwa sana.
Bila kujulikana au rushwa hupewi huduma Bora zaidi utatoka ukiwa una huzuni na wakati mwingine machozi.
Jana nilimwona Mzee mmoja akifurahia alivyopewa huduma nzuri katika banda la RITA...
Baadhi ya wananchi waliotembelea Banda la Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) wameonesha kuridhishwa na huduma zinazotolewa na wizara hiyo.
Wakizungumza katika banda la Wizara ya Ardhi tarehe 4 Julai 2025 katika maonesho hayo...
Taaisis ya Rita kitengo cha mtandao na Habari kinakabiliwa na tuhuma za kutojibu wateja wao mitandaoni hasa wale wanao omba usaidizi kwenye mitandao ya kijamii.
Kwa sasa nchini Taasisi ambazo ziko chini ya serikali zimekuwa zikitoa huduma mbovu kwa wateja wake kwa kiasi ambacho kinakatisha...
Anonymous (e5dd)
Thread
habari
hudumahuduma mbovu
kitengo
matatizo
mbovu
mikoani
mitandaoni
mtandaoni
rita
wao
wateja
Nina malalamiko yangu kuhusu Hospitali ya Amana iliyopo Ilala Jijini Dar es Salaam huduma za pale zina huzunisha sana, tulimpeleka ndugu yetu alipata ajali ya Pikipiki, Jumatatu Juni 23, 2025 walikaa nae pale takribani siku nzima akapimwa kipimo cha CT Scan baada ya hapo mida ya Saa 10 Jioni...
Habari wafugaji natumaini wote ni wazima wa afya,Leo napenda kuwaletea huduma bora kwa mifugo yako ambayo husaidia kuongeza uzalishaji kwenye shamba lako la mifugo.
🔴HUDUMA ZINAZOTOLEWA:
✅ Uhimilishaji kwa nguruwe
✅ Matibabu ya wanyama
✅ Chanjo
✅ Upasuaji
✅ Ramani za mabanda
✅...
Kwa wale wenye Harusi , msiba , pamoja na Mambo mengine ambao mnahitaji kukodi Magari mnakaribishwa
Bei hizi hapa wakuu
Mercedes Benz
G Wagon - Tsh 2.3M
All Sedan Benz - 450k
Benz Above YOM: 2014 - Tsh 600k
Audi | BMW
Mostly - Tsh 800k
Ineos Grenadier - Tsh 1.8M
Toyota V8 | 200 Series -...
Karibu kwenye huduma ya APPLICATION YA AVN NUMBER, VYUO NA HELSB(MKOPO WA ELIMU YA JUU)
Hapa, tunatoa msaada kwa watu wote wenye uhitaji wa kupata AVN number kupitia mfumo wa HELSB (MKOPO). Huduma hii inapatikana kwa urahisi na inakusudia kuwasaidia wananchi katika mchakato wa kupata taarifa...
Hakika kazi imeendelea.
Leo muda wa Mchana wa Saa nane Tanzania imeendelea kuweka historia.
Treni ya mwendokasi maarufu kama S.G.R imeanza kutoa huduma za kubeba mizigo.
Unahitaji msaada wa kitaalamu katika uandishi wa Research, Data Analysis, Assignments, au Documents mbalimbali?
Vionex Solutions tunakupa huduma bora na nafuu — tutaandaa kazi yako kwa umakini na viwango vya juu!
Wasiliana nasi leo:
WhatsApp / Simu: 0615 044 338
Email...
Umoja wa Madereva wa Mtandaoni (UMM) umefanya maandamano ya amani leo Juni 26, 2025, katika jiji la Dar es Salaam kwa lengo la kutangaza na kuhamasisha matumizi ya SwifPack huduma mpya ya usafiri wa mtandaoni iliyoanzishwa na Shirika la Posta Tanzania.
Huduma hii ya kisasa ilizinduliwa rasmi...
Wakuu habari,
Naomba msaada wa maarifa kutoka kwa yeyote anayeifahamu huduma ya benki au mobile money inayoruhusu kuweka akiba ya muda maalum (fixed-term saving) kwa mfumo ufuatao:
Nijiwekee muda mfano mwezi 1 hadi mwaka 1
Niwe na uwezo wa kufanya deposit mara kwa mara wakati wa kipindi hicho...
Katika dunia ya kisasa ya biashara na mawasiliano, kufikia wateja kwa haraka, kwa ufanisi, na kwa gharama nafuu ni jambo la msingi.
Huduma ya kutuma ujumbe kwa pamoja (Bulk SMS) kwa kutumia jina la biashara yako (Sender ID) ni suluhisho bora kwa wafanyabiashara, taasisi, na mashirika...
Wakuu,
Hapa Majuzi Mbunge Musukuma alisema Bungeni kuwa wenza wa Wabunge wawe wanaruhusiwa kukaa VIP kama wenza wao.
Nimependa hoja ya Mzee wa Kaliua (Oscar oscar) kwamba kila anayetaka ViP basi alipie, kwasababu tukiruhusu tu wenza kupata huduma hiyo, basi ipo Siku watoto wao na wajukuu wao...
Habari wafugaji natumaini wote ni wazima wa afya napenda kutoa somo zuri sana kuhusiana na utoaji wa chanjo kwa magonjwa hatari kwa mifugo yako.
Kuna aina nyingi za chanjo ambazo tunawapatia mifugo yetu kuepuka hatari ya mlipuko kwenye shamba la mifugo.
Kuna aina nyingi za chanjo mfano...
Habr wanajukwaa, napenda kuwasilisha malalamiko yangu kwa kampuni ya TiGo sasa yas by Mix. Nimekuwa mteja wa kampuni hii since 2006, sijawahi kupata usumbufu kama huu nilioupata jana baada ya kutuma hela kwenda airtel. Muamala mpaka sasa hivi haujamfikia mlengwa na ni mtu ana shida ya...
Taarifa kwa uongozi wa CRDB Bank kulifanyia kazi swala hili maana ni kero kubwa sana kwa wateja wenu. Binafsi nimepata usumbufu huu mara nyingi, kukataliwa kufanya direct transfer kwa mawakala wenu kwa kisingizio kwamba hawapati commission yoyote kwa huduma hiyo, fanyeni Uchunguzi mtabaini, kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.