house

A house is a building that functions as a home. They can range from simple dwellings such as rudimentary huts of nomadic tribes and the improvised shacks in shantytowns to complex, fixed structures of wood, masonry, concrete or other materials containing plumbing, ventilation, and electrical systems. Houses use a range of different roofing systems to keep precipitation such as rain from getting into the dwelling space. Houses may have doors or locks to secure the dwelling space and protect its inhabitants and contents from burglars or other trespassers. Most conventional modern houses in Western cultures will contain one or more bedrooms and bathrooms, a kitchen or cooking area, and a living room. A house may have a separate dining room, or the eating area may be integrated into another room. Some large houses in North America have a recreation room. In traditional agriculture-oriented societies, domestic animals such as chickens or larger livestock (like cattle) may share part of the house with humans.
The social unit that lives in a house is known as a household. Most commonly, a household is a family unit of some kind, although households may also be other social groups, such as roommates or, in a rooming house, unconnected individuals. Some houses only have a dwelling space for one family or similar-sized group; larger houses called townhouses or row houses may contain numerous family dwellings in the same structure. A house may be accompanied by outbuildings, such as a garage for vehicles or a shed for gardening equipment and tools. A house may have a backyard or front yard, which serve as additional areas where inhabitants can relax or eat.

View More On Wikipedia.org
  1. CCSN

    Fursa ya Kazi - Kuendesha Guest House Mwanza

    Habari wana Jamii, Ninatafuta mtu anayeweza kuendesha nyumba ndogo ya wageni iliyoko mjini Mwanza, maeneo ya Buswelu. Mwombaji kazi awe na elimu na uzoefu katika mambo ya biashara na kompyuta (kwa ajili ya uendeshaji wa biashara hiyo na kuitangaza katika majukwaa tofauti tofauti likiwemo la...
  2. Lord Denning

    Ilikuwaje aliyejenga Twin Towers za BoT alifungwa na aliyejenga Mpingo House hajafungwa?

    Nipo Dar es Salaam kwa shughuli zangu za kutafuta mkate. Wiki hii nimetembelea majengo mawili. Moja ni Majengo ya BOT yaliyopo karibu na Mahakama Kuu na lingine ni jengo la Mpingo House ambapo zamani ilikuwepo Wizara ya Maliasili ya Utalii. Kilichonishangaza jengo la BOT limejengwa kwa viwango...
  3. Nyendo

    Mjadala wa DP World unaendelea sasa kati ya Msemaji wa Serikali na wadau huko Club House comment zote zinapinga mkataba huo

    Nasikiliza mjadala unaondelea unahusu DP World huko Club House kwa kweli comment zote zinakataa uwepo wa Muwekezaji huyo kutoka Dubai kupewa bandari yetu, sijui kwa nini Serikali bado imekomaza shingo na kutaka watu wakubaliane nao na huku hali inaonesha wamekataa kila sababu wanayopewa na...
  4. S

    Ukiolewa usikubali kupewa masharti, kumpikia, kumfulia na kusafisha nyumba. Wewe siyo house girl

    Amkeni akina dada. Wewe amekukuta ukiwa mtu mzima, hivyo endelea kufanya yale yote aliyokukuta ukiyafanya. Usigeuzwe kuwa mtumwa ama mfanyakazi wa kazi za ndani baada ya kuolewa. Wewe ni msaidizi wake. Maana yake mume ndiyo anatakiwa kupika, kufua na kusafisha nyumba, akilemewa wewe ndiyo...
  5. JF Member

    CONTEMPORARY HOUSE- Bati gani zinafaa kuezekea.

    Nimekuwa nikitamani kujenga hizi nyumba lakini changamoto imekuwa ni kuvuja. Watu wengi naona wanapata tabu nyumba kuvuja pembeni, katikati na pale bati zinapochoka. Kwa maeneo ya unyevunyevu kama pwani bati zinachoka ndani ya miaka mitatu tu zinaanza kuvuja. Hii ni kwa sababu Contemporary...
  6. A

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kibaha

    Kipo kibaha kwa Mathias, Squire meter 400. Kipo msangani juhudi,jirani na stend ya bajaji Bei milioni 3
  7. JanguKamaJangu

    Dar es Salaam: House girl amshtaki bosi wake kwa kutomlipa mshahara kwa miaka Mitano

    Zuhura Ramadhani ambaye ni dada wa kazi za ndani amemshitaki mwajiri wake Khadija Katusi Muoza katika Serikali za Mtaa wa Mpiji Magoe Jijini Dar es Salaam akidai kutolipwa mshahara wake kwa muda wa miaka mitano. Akisimulia kilichotokea Zuhura ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 30 anasema...
  8. peterdon192219

    House4Sale Nyumba inauzwa Dundan Mkuranga

    House For Sale Location : Dundan Mkuranga near to neelsalt Price : 45,000,000/ Negatiable Details 3 bedroom 1 Master room Big sitting room Dinning room Kitchen Store 2 vallander + 2 Flem Plot size : 21*30 Metre For more infomation Call 0622408585
  9. Black fighter

    Natafuta kazi ya udereva wa magari madogo, security na house work

    Nina umri wa miaka 20 mkazi wa Dar es Salaam ninatafuta kazi kati ya hizo tajwa hapo juu na uzoefu wa kuendesha magari wa miaka 2 pia nakazi za nyumbani. Elimu yangu ni form four level pia na driving certificate ya magari madogo
  10. MTINGIJOLI

    Naomba kujuzwa mahali pazuri pa kufikia Zanzibar

    Wakuu nimepata ka-trip kuelekea Zanzibar, katika kutembea kwang kote, sijawahi fika Zanzibar, hii ni mara ya kwanza, sasa naomba kujuzwa mahali pazuri pa kufikia (pasiwe gharama sana) sehemu za kwenda kupata kilaji na ku enjoy na totoz, kwa anayefahamu please ningeomba ange-share hapa nipate...
  11. C

    House4Sale House For Sale - Kibaha CBD

    House for Sale 3 Bedrooms 1 Sitting Room 1 Kitchen Plot size: 35 X 20 Location: Kibaha, Kwa Mathias, Tanzania Price: 35,000,000 TZs ($15,225) Call: +255 658 700 510
  12. Unavoidable Servant

    House4Rent House appartments for rent, latest one

    APPARTMENT HOUSE FOR RENT🔥🔥 Very latest apartments. ✍️✍️ Location: Kiwalani Kijiwe Samli, Mama Samia Suluhu Road. ✍️Vyumba Viwili Kimoja Master ✍️Sitting room ✍️Open kitchen ✍️Public Toilet ✍️Maji Dawasa Mita yako ✍️Umeme Luku yako ✍️Fenced ✍️Parking ipo...
  13. D

    Pablo Escobar aliwezaje kupiga picha mbele ya White House? FBI na CIA hawakumtambua?

  14. Afro Super Bags

    Afro Super Bags os in the house

    Afro Super Bags ni wauzaji na wasambazaji wa mabegi ya aina mbalimbali, mabegi kutoka China, Uturuki, India, Kenya na hapa Tanzania. Tuna mabegi ya aina mbalimbali kama School 🚸 Bags, Sport Bags, Safari Bags, Culture Element Bags, Sleeping bags, briefcase 💼 za aina mbalimbali. Tunapatikana...
  15. mugah di matheo

    Tunalazimisha "Full house" kwa Mkapa

    Ni wazi kabisa kuwa Taifa Stars haivutii wengi, hivyo ni mkakati wa kulazimisha uwanja ujae. Ndiyo maana unaona tiketi zinagawiwa bure bure tu nadhani had saivi zimefika 30,000 hivi za bure+15000 za kununua ni Kama 45,000 hivyo uwanja hutajaa kwenye mechi dhidi ya Uganda. Hapo TFF na Serikali...
  16. F

    Policeman dies in Tanzania guest house

    A policeman Stewart Saiba(40) force number Pf 18530 died at Mrina Shine guest house in Arusha.Saiba came to the guesthouse at midnight accompanied by a young woman.He recorded his details in the visitors book and he was given room number 5.He was carrying a bag and a walkie talkie. According to...
  17. JanguKamaJangu

    Wafanyakazi wa Ikulu ya Kenya kuanza mfungo wa kutokula ili kuombea Nchi

    Rais wa Kenya, William Ruto na mkewe wametambulisha mfumo mpya wa kufanya maombi kwa ajili ya Nchi hiyo kwa kufunga kutokula na kufanya maombi mara moja kwa wiki ikidaiwa kuwa utaratibu huo pia unaweza kuanza kutumiwa na wafanyakazi wa Ikulu. Utaratibu unatarajiwa kufanyika kila Jumatano ambapo...
  18. BARD AI

    TCRA yadai Clubhouse ilipotea kwasababu ya Kiufundi, sasa ipo hewani

    Siku moja tangu utokee mkwamo wa upatikanaji wa mtandao wa Clubhouse nchini, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema haikuufungia bali kulikuwa na changamoto za kiufundi, lakini umesharejea. Mtandao huo ambao watu huutumia kuwasiliana kwa sauti, kufanya mikutano na mijadala mbalimbali...
  19. TODAYS

    ZANZIBAR: Hatimaye House of Wonder Imepata mkandarasi, kutoka Oman

    Hili jengo (pichani) Nyumba ya Maajabu (House of Wonder) ni sehemu ya urithi wa visiwa hivi vya Zanzibar, toka mkoloni alipong'olewa kuja mpaka miaka ya hivi karibuni jengo hilo limeingizia Zanzibar mapato mengi yatokanayo na utalii. Miaka ya hivi karibuni jengo hilo lilibomoka na kuanguka hali...
Back
Top Bottom