Inawezekana kweli Katiba mpya ni Kitabu tu, Kenya Rais wao amegoma Kabisa kuitii Mahakama na hawana la kumfanya!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,004
142,034
Tanzania tumekuwa na hamu sana ya kutengeneza Katiba mpya bila kujali kama Wananchi wanajua maana ya Katiba ama la

Kenya Wana Katiba mpya lakini Rais Ruto amesema Mahakama inamuhujumu hivyo hataisikiliza bali ataendelea na KAZI zake kama alivyopanga

Ruto amesema Mahakama ni kakikundi la Watu Wachache sana hivyo Yeye anawasikiliza Wananchi walio Wengi

Nadhani kwa Africa Rais ndio kila Kitu mambo ya Katiba ni formality tu

Happy New Year 😄
 
Tanzania tumekuwa na hamu sana ya kutengeneza Katiba mpya bila kujali kama Wananchi wanajua maana ya Katiba ama la

Kenya Wana Katiba mpya lakini Rais Ruto amesema Mahakama inamuhujumu hivyo hataisikiliza bali ataendelea na KAZI zake kama alivyopanga

Ruto amesema Mahakama ni kakikundi la Watu Wachache sana hivyo Yeye anawasikiliza Wananchi walio Wengi

Nadhani kwa Africa Rais ndio kila Kitu mambo ya Katiba ni formality tu

Happy New Year 😄
Kama katiba haina kifungu kinachosema "rais hayuko juu ya sheria", basi hauwezi kumfanya lolote, sisi pia rais yuko juu sheria hivyo hauwezi kumshitaki.
 
Inatakiwa katiba mpya ila ikitokea mtu anaivunja hilo ni jambo lingine na kuvunja hakuhalalishi kwamba katiba isiwepo iliyobora. Mfano Biblia inasema usiibe lakini wezi wapo sasa kuwepo wezi hakuhalalishi kwamba Biblia isiwepo!
 
Kuwepo katiba mpya ni jambo lingine na kuvunja katiba ni jambo lingine, tunachukua jema tunatembea nalo, katiba ya kenya pamoja na kuvunjwa huko lakini ni bora mara mia kuliko hii ya machawa wa CCM, tunahitqji katiba mpya! Acha blabla
 
Mbona hatua zipo nyingi sana ambazo zinaweza zikachukuliwa? Dhidi ya rais ambaye anakiuka amri za mahakama au utawala wa sheria chini ya Katiba ya Kenya 2010?

Au unazungumza kuhusu katiba ya Kenya nyingine na sio hii hii nchi yetu tunayoijua? Tena sio lazima hatua hizo zianzishwe na mhimili wa mahakama au mihimili mingine. Hata raia wenyewe wakiamua, tena bila fujo ni saini zao tu milioni kumi ndio zinahitajika.(Muungano wa upinzani, Azimio la Umoja, tayari wameanza shughuli ya kuokota saini hizo kote nchini.)

 
Peana mifano ya mambo ambayo rais amepewa amri na mahakama alafu akagoma kutii. Tuanzie hapo kwanza
 
Tanzania tumekuwa na hamu sana ya kutengeneza Katiba mpya bila kujali kama Wananchi wanajua maana ya Katiba ama la

Kenya Wana Katiba mpya lakini Rais Ruto amesema Mahakama inamuhujumu hivyo hataisikiliza bali ataendelea na KAZI zake kama alivyopanga

Ruto amesema Mahakama ni kakikundi la Watu Wachache sana hivyo Yeye anawasikiliza Wananchi walio Wengi

Nadhani kwa Africa Rais ndio kila Kitu mambo ya Katiba ni formality tu

Happy New Year 😄
La kumfanya lipo, kenya siyo waoga wataingia barabarani na anaweza akawa forced kujiuzulu!
 
Tanzania tumekuwa na hamu sana ya kutengeneza Katiba mpya bila kujali kama Wananchi wanajua maana ya Katiba ama la

Kenya Wana Katiba mpya lakini Rais Ruto amesema Mahakama inamuhujumu hivyo hataisikiliza bali ataendelea na KAZI zake kama alivyopanga

Ruto amesema Mahakama ni kakikundi la Watu Wachache sana hivyo Yeye anawasikiliza Wananchi walio Wengi

Nadhani kwa Africa Rais ndio kila Kitu mambo ya Katiba ni formality tu

Happy New Year
Lakini amesema katiba hiyo hiyo ndiyo iliyomuweka madarakani. Sasa kama yeye kapatikana kwa mujibu wa katiba kwanini hataki kuitii?
 
Tanzania tumekuwa na hamu sana ya kutengeneza Katiba mpya bila kujali kama Wananchi wanajua maana ya Katiba ama la

Kenya Wana Katiba mpya lakini Rais Ruto amesema Mahakama inamuhujumu hivyo hataisikiliza bali ataendelea na KAZI zake kama alivyopanga

Ruto amesema Mahakama ni kakikundi la Watu Wachache sana hivyo Yeye anawasikiliza Wananchi walio Wengi

Nadhani kwa Africa Rais ndio kila Kitu mambo ya Katiba ni formality tu

Happy New Year 😄

Kitu kinachohitajika ni kujenga utamaduni wa kuheshimu vitabu. Tukifikia kwenye ustaarabu huo, tutakuwa tumefika mbali.
 
Kwahiyo tunahitaji katiba mpya ili tumshtaki Rais?
Inchi ngumu hii.
Nadhani wenzako hawa na watanzania walio wengi wanahitaji kuhamasishwa kwanza na kuelimishwa, kuhusu katiba. Ili wajue katiba ni nini haswa, kabla ya hatua zozote zingine.

Maanake kama wakenya wangekuwa na fikra kama hizo. Enzi hizo walipoandika katiba mpya 2010, sijui kama tungetoboa. Jirani wa kumtazama, kumuiga au wakujifananisha naye kwenye masuala hayo angekuwa ni nani ukanda huu wote? Wote waliotuzunguka kusini, kaskazini, magharibi, kote kote ni utopolo mtupu tu.
 
Tanzania tumekuwa na hamu sana ya kutengeneza Katiba mpya bila kujali kama Wananchi wanajua maana ya Katiba ama la

Kenya Wana Katiba mpya lakini Rais Ruto amesema Mahakama inamuhujumu hivyo hataisikiliza bali ataendelea na KAZI zake kama alivyopanga

Ruto amesema Mahakama ni kakikundi la Watu Wachache sana hivyo Yeye anawasikiliza Wananchi walio Wengi

Nadhani kwa Africa Rais ndio kila Kitu mambo ya Katiba ni formality tu

Happy New Year
The good thing, ni kwamba, anaweza kushitqkiwa, na, kufungwa, au, kuondolewa madarakani na wananchi bila kupitia sanduku la kura,
Sio upuuzi, wa huku kwetu na majambazi, wa CCM,
 
Back
Top Bottom