Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,248
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tunduru , Julius Mtatiro amehamishiwa Shinyanga baada ya kipindi kirefu kuhudumu Tunduru.
Tunamshukuru kwa Utumishi wake uliotukuka uliosaidia kupunguza watoto kuingizwa kwenye Jando na unyago.
Ila tunamuomba asirudie kuzindua Vitu kama hivi.
Tunamshukuru kwa Utumishi wake uliotukuka uliosaidia kupunguza watoto kuingizwa kwenye Jando na unyago.
Ila tunamuomba asirudie kuzindua Vitu kama hivi.