Nesi mkunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 701
- 1,840
Nyie media house ambao kutwa adubuhi na mapema mnaanza na kupiga kwaya za kikristo mnatukera na mnatuchukiza sana sie wakristo na tunaona huo ni.udini mkubwa sana kwanini hata siku moja moja mkaweka mawaidha mtapungukiwa nini? Hamuoni huo ni udini
Sisi kanisa ni mwanzo na mwisho kuanzia leo muumini yoyote nyumbani kwake kufungulia au kutazamana hizo media house zenye udini na chuki kwa ajili dini nyingine. Sijazitaja hizo media house ila zinajijua kuanzia leo hatutazitaxams
Sisi kanisa ni mwanzo na mwisho kuanzia leo muumini yoyote nyumbani kwake kufungulia au kutazamana hizo media house zenye udini na chuki kwa ajili dini nyingine. Sijazitaja hizo media house ila zinajijua kuanzia leo hatutazitaxams